LGE2024 Lissu: CHADEMA tunahitaji kurudi nyuma na kujipanga upya, kwenda mbele kwenye mazingira haya ni kujihahakishia anguko

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Lissu yuko sawa.

Kwa aina hii ya siasa za polepole hayo majambazi ya CCM hamtowamudu.

Hebu fikiria ushenzi tuliouona kuanzia uandikishaji, kuchukua fomu, kurudisha fomu na uenguaji wagombea wa Chadema.

Chadema inaendaje kushiriki huo ushenzi uliobandikwa jina la uchaguzi ambao unaona kabisa mkwe wa rais amecheza na script ya maagizo ya mkwewe?
 
Wafanye uchaguzi kureplace mwenyekiti na katibu then wasonge mbele
 
Wacha wajifariji Leo wajishindishe,. Tukichukuannchi 2025 itabidi uchaguzi wa mitaa urudiwe wakati huo kifua kipana atakuwa jela
 
 

Attachments

  • Screenshot_2024-07-16-21-00-20-1 (1).png
    420.8 KB · Views: 2
  • 20240907_095744 (1).jpg
    116.1 KB · Views: 2
  • IMG-20200726-WA0000.jpg
    43.7 KB · Views: 2
  • 5810871-156c33252d331784831e630b50148deb.mp4
    2 MB
  • 5811523-6041f5af6e2b5c7600d07027005d6658.mp4
    3.7 MB
  • 5808629-57f86e47f2e7305376bcccf74fb56df4.mp4
    2.1 MB
  • 5808626-bde51487c15170759ed7838e0c83538c.mp4
    339 KB
Lissu na ubinafsi wake hajali huu uchaguzi wa serikali za mitaa maana yeye hagombei. Anasema tujipange upya kwa vile 2025 apete. Kwanini kama kuna mapungufu wasiombe zoezi kurudiwa
Lisu sio mjinga, hawezi kujifanya anajali uchaguzi ambao umejaa hujuma za wazi na kishenzi.
 
Umenisoma kweli?
Nimekusoma sana lakini sioni hata unapendekeza nini. Watu wanaharibu uchaguzi kwa makusudi, ww unasema waombe walicharibu kwa makusudi kurudiwa?
 
Naona Lissu anaendesha mambo ya chama kama anavyofanya shughuli zake binafsi. Anatoa tamko kwamba huu uchaguzi wa mitaa chadema tumeshashindwa asubuhi tu. Hii inakatisha tamaa wanachama ambao walishajipanga ngazi za mitaa. Yaani katikati ya vita, anatangazia wanajeshi wa chadema kwamba watashindwa vita

Ametumwa na kikao kipi cha chama kutoa kauli hizo za kutangazia umma kwamba Chadema imepigwa uchaguzi wa mitaa. Nadhani huu ni ushahidi Lissu anatumika na maadui wa Chadema.
 
 

Attachments

  • Screenshot_2024-07-16-21-00-20-1 (1).png
    420.8 KB · Views: 2
  • 20240907_095744 (1).jpg
    116.1 KB · Views: 2
  • IMG-20200726-WA0000.jpg
    43.7 KB · Views: 3
  • 5810871-156c33252d331784831e630b50148deb.mp4
    2 MB
  • 5811523-6041f5af6e2b5c7600d07027005d6658.mp4
    3.7 MB
Ni kweli kwa 100%
 

Braza fanya maisha yako haya mambo ya siasa waachie wana siasa
 
Mnajaribu kufanya damage control eh

Lissu kama mwanachama ana haki ya kutoa maoni yake kama raia na mwanachama huo haukuwa mkutano wa chama.

Halafu CCM mbona hamna makamu mwenyekiti hadi leo tangia Kinana alazimishwe "kujiuzulu" kama Ndugai.
 
Mnajaribu kufanya damage control eh

Lissu kama mwanachama ana haki ya kutoa maoni yake kama raia na mwanachama huo haukuwa mkutano wa chama.

Halafu CCM mbona hamna makamu mwenyekiti hadi leo tangia Kinana alazimishwe "kujiuzulu" kama Ndugai.
mambo ya ccm waachie ccm wenyewe hayakuhusu
 
Ccm mnahangaika sana yaani.

Kwann msitulie na chama chenu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…