Lissu hana uwezo wa kuiongoza CHADEMA hata kwa mwezi mmoja tu. Ataipasua na kuigawa kwa mdomo wake usio na breki

Huu mdomo wako pia hauna breki
 
Kinachokutesa wewe ni chuki binafsi na ubaguzi tu. Acha mawazo ya kijinga.
 
Unaonaje Mbowe akigombea nafasi ya mwenyekiti wa CCM, maana kwa sifa hizi anaonekana kuwa na uzoefu mkubwa sana🐼
Kwani Mbowe ni CCM? Kwanini unashindwa kutumia vyema akili ulizopewa na Mungu? Au umeshikiwa akili na mtu?
 
Comrade,
umeamua kupasua ukweli wazi wazi hadharani namna hii
 
Mama yako mama Abdul ameleta mabadiriko gani hapa nchini?
Nimeshayasema sana na kila mtanzania anayaona hata bila kuonyeshwa.ila wewe kwa sababu ni kipofu wa akili na macho ndio maana ndio maana huoni .maana upo tu kama hayawani.
 

Chadema nayo ni chama kumbe!
 
Hizo ni propaganda tu. Moyoni mwako unacheka kwa machozi ya furaha.
 
Unafirwa wewe
 
Tundu Lissu akiingia madarakani hakutakuwa na maridhiano yo yote ya hiyo reform anayoitaka. Kwa makusudi mazima CCM haitafanya reform yo yote ili chadema wasishiriki uchaguzi mkuu ujao. Hiyo kaulimbiu yao ya 'no reform no election ' haitafua dafu mbele ya vyombo vya dola watakapotaka kuzuia uchaguzi huo kwa kuleta vurugu. Wataswekwa ndani, chadema itazuiwa kufanya maandamanoyo na mikutano ya hadhara. Baada ya uchaguzi mkuu chadema itakuwa sawa na kile chama cha ubwabwa.
 
Kwani akiipasua si ndio vizuri na nafuu kwa kijani kibichi basi ni vizuri achaguliwe ili kijifie kabisa au unasemaje lucas chawa?
 

Lissu hana uwezo wa kuiongoza CHADEMA hata kwa mwezi mmoja tu. Ataipasua na kuigawa kwa mdomo wake usio na breki​

Lucas Mwashamba, huu ni mtiririko wa thread ulizoanzisha kuhusu Lissu/Chadema ndani ya siku 30. Obsession ni ugonjwa na unatabika.
  1. Lissu Ataiongoza Vipi CHADEMA wakati Muda wote Anashinda Nje ya Nchi? Mnyimeni kura ili aendelee Kuzurura ulaya na Marekani.

  2. Tundu Lissu anatakiwa kukatwa Jina lake kutokana na kuwachafua viongozi wenzake na Kuharibu taswira ya chama

  3. CCM Itavuna na kupokea Viongozi wengi Sana waandamizi na wanachama kutoka CHADEMA baada ya kumalizika kwa uchaguzi wake Mapema Mwakani

  4. Uchaguzi 2025 Itakuwa ni uwendawazimu mkubwa kwa CHADEMA kumpa Lissu uenyekiti na kumuacha mwamba Mbowe

  5. Mwenyeketi wa CHADEMA Mkoa Asema walimpa Lissu Nafasi ya Kugombea Urais Kwa sababu Alikuwa anaweza kuropoka dhidi ya Hayati Magufuli Lakini hana uwezo

  6. Pendekezo: John Heche chukua fomu ya kungombea wenyekiti Taifa (CHADEMA) Lissu na Mbowe wote wapigwe chini

  7. Mbowe Jabali wa Siasa za Upinzani awabubujisha machozi ya furaha CHADEMA mitaani utafikiri wamekamuliwa vitunguu vibichi machoni

  8. Uchaguzi 2025 Nape Nnauye amtabiri mshindi wa Uenyekiti wa CHADEMA Taifa bila goli la mkono

  9. Uchaguzi 2025 Itakuwa ni uwendawazimu mkubwa kwa CHADEMA kumpa Lissu uenyekiti na kumuacha mwamba Mbowe

  10. Lissu Anaungwa Mkono na Watu Wababaishaji wasio na Ushawishi wala kukubalika kwa Jamii

  11. Uchaguzi 2025 TAKUKURU kuchunguza madai ya Rushwa ndani ya CHADEMA

  12. Tazama katika Picha, Ofisi ya CHADEMA Mkoani Mbeya

  13. CHADEMA Wazikana Kauli za Baraza la Wazee kwa kusema siyo Msimamo wa chama

  14. Mwenyeketi wa CHADEMA Mkoa Asema walimpa Lissu Nafasi ya Kugombea Urais Kwa sababu Alikuwa anaweza kuropoka dhidi ya Hayati Magufuli Lakini hana uwezo

  15. Kama Lissu Anakubalika CHADEMA Kwanini Sasa Wafuasi Wake Wanalialia Na kupiga Mayowe Baada ya Mwamba Mbowe kutangaza Kugombea?

  16. Hivi Tundu Lissu kwa sasa anafanya shughuli gani ya kumuingizia kipato inayoweza kumfanya akisaidie hata Chama Kama ilivyo kwa Mwamba?

  17. Uchaguzi 2025 LGE2024 Simiyu: CHADEMA yapata pigo Wanachama 60 wahamia CCM

  18. Uchaguzi 2025 Naishauri CHADEMA imchukulie Lissu hatua kali sana za kinidhamu na kumpa onyo kali kwa kukichafua Chama na kuwapaka Matope viongozi wenzake

  19. Uchaguzi 2025 Mchungaji Peter Msigwa: CHADEMA ni saccos ya mtu

  20. Uchaguzi 2025 CHADEMA Wamekata tamaa ya Siasa na kuna uwezekano wa kushindwa kushiriki Uchaguzi wa serikali za Mitaa kwa visingizio Dhaifu.

  21. Lissu Ataiongoza Vipi CHADEMA wakati Muda wote Anashinda Nje ya Nchi? Mnyimeni kura ili aendelee Kuzurura ulaya na Marekani.

  22. Mchungaji Peter Msigwa Awatupia CHADEMA Vijembe vya Moto

  23. LGE2024 Lissu Alitaka CHADEMA Ishinde uchaguzi Kupitia Kura ya Nani Wakati yeye Mwenyewe Hakupiga Kura?

  24. Baada ya Kumalizika Uchaguzi wa ndani wa CHADEMA Lissu Atahama na kuondoka Zake

  25. Maandamano ya CHADEMA yapuuzwa na kukataliwa na Wananchi

  26. CHADEMA iache mara moja kuwadhalilisha watia nia, huu siyo uungwana

  27. Mbowe ametumia ujana wake wote kuitesekea CHADEMA kwa jasho na machozi

  28. Uchaguzi 2025 Itakuwa ni uwendawazimu mkubwa kwa CHADEMA kumpa Lissu uenyekiti na kumuacha mwamba Mbowe

  29. Mbowe Jabali wa Siasa za Upinzani awabubujisha machozi ya furaha CHADEMA mitaani utafikiri wamekamuliwa vitunguu vibichi machoni

  30. Serikali iwe Makini Na Lissu ili Asije Fanya utakatishaji wa pesa na kuingiza Pesa Chafu Nchini Kwa ajili ya kuvuruga Amani ya Taifa letu

  31. Uchaguzi 2025 Naishauri CHADEMA imchukulie Lissu hatua kali sana za kinidhamu na kumpa onyo kali kwa kukichafua Chama na kuwapaka Matope viongozi wenzake

  32. Kama Lissu Anakubalika CHADEMA Kwanini Sasa Wafuasi Wake Wanalialia Na kupiga Mayowe Baada ya Mwamba Mbowe kutangaza Kugombea?

  33. Tetesi: Lissu kuhama CHADEMA muda wowote kuanzia sasa

  34. Mbowe alijua Lissu hana uwezo wa kuwa Rais wa Nchi hii, ndiyo Maana hakuzunguka kumnadi kama alivyomnadi Hayati Lowassa 2015

  35. Uchaguzi 2025 LGE2024 Ni aibu na fedheha kubwa sana kwa Tundu Lissu kukimbia kujiandikisha kwenye Daftari la Mpiga Kura

  36. Hivi Tundu Lissu kwa sasa anafanya shughuli gani ya kumuingizia kipato inayoweza kumfanya akisaidie hata Chama Kama ilivyo kwa Mwamba?

  37. Rais Samia: Simba alikuwa hatulii kama ‘Mwanangu Lissu’, ndio maana nikasema apewe jina hilo

  38. Tundu Lissu anatakiwa kukatwa Jina lake kutokana na kuwachafua viongozi wenzake na Kuharibu taswira ya chama

  39. Lissu Anaungwa Mkono na Watu Wababaishaji wasio na Ushawishi wala kukubalika kwa Jamii

  40. Uchaguzi 2025 Mbowe ndiye aliyepambania Uhai wa Lissu kwa Jasho na Damu Mpaka Kumvushia Nairobi Kenya lakini leo Lissu anampaka matope na kumuona hafai

  41. Matukio makubwa yaliyotikisa Nchi kwa mwaka huu: Kifo cha Hayati Mwinyi na Lowassa. Kutenguliwa kwa January Makamba na Lissu Kugombea Uenyekiti

  42. Tazama picha hii ya Lissu upate kujua anachukuliwaje ndani ya CHADEMA

  43. Na bado zingine​

 
You're a sucker !
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…