Mugabe one
JF-Expert Member
- Nov 15, 2016
- 2,327
- 1,683
Members I salute!
Ni hakika katika uchaguzi huu wa 2020 mgombea urais kupitia cdm atasababisha chama chake kuanguka vibaya sana kwenye sanduku la kura kwa zifuatazo:
1. Lisu hatumii akili ya ufahamu kwamba yuko kwenye kampeni ya urais Bali yeye anadhani yuko kwny kampeni ya ubunge jimboni.
2. Lisu hafafanue yaliyoandikwa kwny ilani ya chama chake badala yake anatumia muda mwingi kuongea ya kumshambulia mgombea wa ccm maneno ambayo hayajengi chama.
3. Lisu hana Lugha ya ushawishi kwa wapiga kura Bali ana lugha ya ushawishi kwa wasiowapiga kura.
4.Lisu hana kabisa ushawishi kwa kundi Fulani la watanzania ambao wengi wao ndio wapiga kura.
5. Siku zinayoyoma zinapungua hakuna cha maana alichoahidi kwa maslahi mapana ya Watanzania.
6.Ni kweli mkoa wa Songwe alipata mapokezi makubwa kuliko mikoa yote lakini wakati mwingine mapokezi siyo kura anatakiwa ashawishi wapiga kura kwa kunadi Sera ilani chama chake siyo porojo mara Magufuli hana cheti cha kuzaliwa wakati hata baba yake Lisu hana cheti cha kuzaliwa.
6.Mahusiano yake Na ACACIA ndiyo yatamnyima kura zingi sana
Ni hakika katika uchaguzi huu wa 2020 mgombea urais kupitia cdm atasababisha chama chake kuanguka vibaya sana kwenye sanduku la kura kwa zifuatazo:
1. Lisu hatumii akili ya ufahamu kwamba yuko kwenye kampeni ya urais Bali yeye anadhani yuko kwny kampeni ya ubunge jimboni.
2. Lisu hafafanue yaliyoandikwa kwny ilani ya chama chake badala yake anatumia muda mwingi kuongea ya kumshambulia mgombea wa ccm maneno ambayo hayajengi chama.
3. Lisu hana Lugha ya ushawishi kwa wapiga kura Bali ana lugha ya ushawishi kwa wasiowapiga kura.
4.Lisu hana kabisa ushawishi kwa kundi Fulani la watanzania ambao wengi wao ndio wapiga kura.
5. Siku zinayoyoma zinapungua hakuna cha maana alichoahidi kwa maslahi mapana ya Watanzania.
6.Ni kweli mkoa wa Songwe alipata mapokezi makubwa kuliko mikoa yote lakini wakati mwingine mapokezi siyo kura anatakiwa ashawishi wapiga kura kwa kunadi Sera ilani chama chake siyo porojo mara Magufuli hana cheti cha kuzaliwa wakati hata baba yake Lisu hana cheti cha kuzaliwa.
6.Mahusiano yake Na ACACIA ndiyo yatamnyima kura zingi sana