Tetesi: Lissu karibu CCM Upumzike

Tetesi: Lissu karibu CCM Upumzike

Synonyms MP

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2024
Posts
320
Reaction score
346
Mbowe na genge lake wanamtumia Lissu kama ndoano ya kuvutia pesa CCM

Kwa hali ilivyo,

Mwenyekiti wa CHADEMA Mhe Freeman Mbowe amekuwa akitumia gia ya kuwatisha Viongozi wa CCM kuwa endapo Lissu atakuwa mwenyekiti wa CHADEMA basi mambo kwenye Taifa hili hayatakuwa sawa

Huenda CCM ikatumia nguvu kubwa kumzuia Lissu ikiamini ni kweli Lissu ni hatari kwa Taifa hili kumbe ni mbinu za Bwana Mwenyekiti katika kujipatia chochote toka CCM.

Vita ya team Mbowe ni kuhakikisha Lissu hagombei Urais kwa CHADEMA mwaka 2025 ili Bwana Mwenyekiti Mbowe agombee na aingie kwenye nusu mkate jambo ambalo litaiacha CHADEMA ikiwa vipande vipande.

|Lissu karibu CCM Upumzike huko CHADEMA unapambana na adui unayeishi nae CCM sio adui yako yaliyopita yamepita njoo tujenge Taifa letu |
 
Kwahy ccm watakuwa wamefanya usajili mzuri au siyo 😂
 
Waliompiga risasi Lissu ni akina nani?
Waliotoa camera kwenye makazi ya viongozi ni akina nani?
Ina maana wewe mtoa mada una akili nyingi kuliko wana CCM wenzako wote?
Acha hizo hata kama una njaa sio kwa kuandika mashudu kiasi hiki.
 
Waliompiga risasi Lissu ni akina nani?
Waliotoa camera kwenye makazi ya viongozi ni akina nani?
Ina maana wewe mtoa mada una akili nyingi kuliko wana CCM wenzako wote?
Acha hizo hata kama una njaa sio kwa kuandika mashudu kiasi hiki.
CCM ni Chama kikubwa na kinapokea Kila mtu bila kujali huko nyuma amekiukiza maeneo gani
 
Waliompiga risasi Lissu ni akina nani?
Waliotoa camera kwenye makazi ya viongozi ni akina nani?
Ina maana wewe mtoa mada una akili nyingi kuliko wana CCM wenzako wote?
Acha hizo hata kama una njaa sio kwa kuandika mashudu kiasi hiki.
Nadhani hauijui vizuri CCM
 
Mbowe na genge lake wanamtumia Lissu kama ndoano ya kuvutia pesa CCM

Kwa hali ilivyo,

Mwenyekiti wa CHADEMA Mhe Freeman Mbowe amekuwa akitumia gia ya kuwatisha Viongozi wa CCM kuwa endapo Lissu atakuwa mwenyekiti wa CHADEMA basi mambo kwenye Taifa hili hayatakuwa sawa

Huenda CCM ikatumia nguvu kubwa kumzuia Lissu ikiamini ni kweli Lissu ni hatari kwa Taifa hili kumbe ni mbinu za Bwana Mwenyekiti katika kujipatia chochote toka CCM.

Vita ya team Mbowe ni kuhakikisha Lissu hagombei Urais kwa CHADEMA mwaka 2025 ili Bwana Mwenyekiti Mbowe agombee na aingie kwenye nusu mkate jambo ambalo litaiacha CHADEMA ikiwa vipande vipande.

|Lissu karibu CCM Upumzike huko CHADEMA unapambana na adui unayeishi nae CCM sio adui yako |
MAVI MATUPU UMEANDIKA
 
Mfumo umefaulu kuwavuruga Chadema, hawana ujanja. Wakae chini wafanye reform kubwa pengine baada ya uchaguzi. Kwa sasa waelekeze nguvu kwenye uchaguzi,wasitolewe kwenye focus. Kama wana taka kuendelea kuwepo. Udhaifu wao umekwisha fahamika,Pesa!
 
Watakao ondoka chadema msimu huu wa 2024-2025 ni 1. Lissu ambaye probably ACT watamchukua kuwa mgombea Urais 2025 ambapo yamkini watapata wabunge wengi kiasi cha kuwa chama kikubwa cha upinzani na mwaka 2030 kuwa chama mbadala wa ccm. Watakao ongozana na lissu ni Katibu wa chadema mnyika pamoja na John heche na mhuni wa Arusha lema.
 
Chadema haiwezi kuwa chama cha upinzani tena 2025, kime collapse. Wote hao pamoja na wale cov 19 basi chama kitakuwa kimekufa.
 
Mbowe na genge lake wanamtumia Lissu kama ndoano ya kuvutia pesa CCM

Kwa hali ilivyo,

Mwenyekiti wa CHADEMA Mhe Freeman Mbowe amekuwa akitumia gia ya kuwatisha Viongozi wa CCM kuwa endapo Lissu atakuwa mwenyekiti wa CHADEMA basi mambo kwenye Taifa hili hayatakuwa sawa

Huenda CCM ikatumia nguvu kubwa kumzuia Lissu ikiamini ni kweli Lissu ni hatari kwa Taifa hili kumbe ni mbinu za Bwana Mwenyekiti katika kujipatia chochote toka CCM.

Vita ya team Mbowe ni kuhakikisha Lissu hagombei Urais kwa CHADEMA mwaka 2025 ili Bwana Mwenyekiti Mbowe agombee na aingie kwenye nusu mkate jambo ambalo litaiacha CHADEMA ikiwa vipande vipande.

|Lissu karibu CCM Upumzike huko CHADEMA unapambana na adui unayeishi nae CCM sio adui yako yaliyopita yamepita njoo tujenge Taifa letu |
Watu walimpinga sana Mzee Kenyata alipomwambia Nyerere anaongoza wafu, ila kiukweli wewe ni mfano wa hawa wafu. Badala ya kufurahia nchi iwe na upinzani mzuri ili Serikali ibanwe hivyo iwajibike kuwaletea wananchi maendeleo, watu wa aina yako mnataka upinzani ufe. Hii nchi ina wajinga wengi sana.
 
Back
Top Bottom