Lissu kashinda ila tuiombee CHADEMA inaingia kwenye kipindi kigumu sana

Lissu kashinda ila tuiombee CHADEMA inaingia kwenye kipindi kigumu sana

Master Legendary

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2013
Posts
576
Reaction score
876
Kwanza niwape Hongera CHADEMA kwa kuendesha Uchaguzi wa Kiwango cha juu, na nimpongeze Lissu kwa Ushindi.

Pili niombe Watanzania wote tuungane kuiombea CHADEMA kwa kipindi kigumu itakachopitia cha kuunganisha Chama chao,hekima ya hali ya juu sana inahitajika wakati huu.

Ukiangalia Matokeo naona Chama kimepasuka katikati,hata Kamati Kuu yao imepasuka katikati nilisikia Wenyeviti wote wa Kanda ni wa Mbowe na Viongozi wa BAZECHA na BAWACHA ni Team Mbowe sijajua Matokeo ya wajumbe wa Kamati Kuu itakuwaje?

Kuna kazi kubwa sana ya kufanya, sitashangaa kumuona Mbowe akistaafu Siasa na kubaki na ujumbe wa Kamati Kuu pekee,Sijajua nafasi ya Mnyika bado itakuwaje.

Akina Mdee nadhani wataahirisha mipango yao ya kurudi CHADEMA.

Tuwaombee CHADEMA.

Povu linaruhusiwa.
 
Kwanza niwape Hongera CHADEMA kwa kuendesha Uchaguzi wa Kiwango cha juu, na nimpongeze Lissu kwa Ushindi.

Pili niombe Watanzania wote tuungane kuiombea CHADEMA kwa kipindi kigumu itakachopitia cha kuunganisha Chama chao,hekima ya hali ya juu sana inahitajika wakati huu.

Ukiangalia Matokeo naona Chama kimepasuka katikati,hata Kamati Kuu yao imepasuka katikati nilisikia Wenyeviti wote wa Kanda ni wa Mbowe na Viongozi wa BAZECHA na BAWACHA ni Team Mbowe sijajua Matokeo ya wajumbe wa Kamati Kuu itakuwaje?

Kuna kazi kubwa sana ya kufanya, sitashangaa kumuona Mbowe akistaafu Siasa na kubaki na ujumbe wa Kamati Kuu pekee,Sijajua nafasi ya Mnyika bado itakuwaje.

Akina Mdee nadhani wataahirisha mipango yao ya kurudi CHADEMA.

Tuwaombee CHADEMA.

Povu linaruhusiwa.
Una hoja
 
Kwanza niwape Hongera CHADEMA kwa kuendesha Uchaguzi wa Kiwango cha juu, na nimpongeze Lissu kwa Ushindi.

Pili niombe Watanzania wote tuungane kuiombea CHADEMA kwa kipindi kigumu itakachopitia cha kuunganisha Chama chao,hekima ya hali ya juu sana inahitajika wakati huu.

Ukiangalia Matokeo naona Chama kimepasuka katikati,hata Kamati Kuu yao imepasuka katikati nilisikia Wenyeviti wote wa Kanda ni wa Mbowe na Viongozi wa BAZECHA na BAWACHA ni Team Mbowe sijajua Matokeo ya wajumbe wa Kamati Kuu itakuwaje?

Kuna kazi kubwa sana ya kufanya, sitashangaa kumuona Mbowe akistaafu Siasa na kubaki na ujumbe wa Kamati Kuu pekee,Sijajua nafasi ya Mnyika bado itakuwaje.

Akina Mdee nadhani wataahirisha mipango yao ya kurudi CHADEMA.

Tuwaombee CHADEMA.

Povu linaruhusiwa.
Povu la omoo linahurusiwaa

🤣
 
Hakuna kupoa, tunataka tuone utofauti wa FAMA ba TAL....watoe ratiba ya maandamano sasa - watu waingie front
 
Kwanza niwape Hongera CHADEMA kwa kuendesha Uchaguzi wa Kiwango cha juu, na nimpongeze Lissu kwa Ushindi.

Pili niombe Watanzania wote tuungane kuiombea CHADEMA kwa kipindi kigumu itakachopitia cha kuunganisha Chama chao,hekima ya hali ya juu sana inahitajika wakati huu.

Ukiangalia Matokeo naona Chama kimepasuka katikati,hata Kamati Kuu yao imepasuka katikati nilisikia Wenyeviti wote wa Kanda ni wa Mbowe na Viongozi wa BAZECHA na BAWACHA ni Team Mbowe sijajua Matokeo ya wajumbe wa Kamati Kuu itakuwaje?

Kuna kazi kubwa sana ya kufanya, sitashangaa kumuona Mbowe akistaafu Siasa na kubaki na ujumbe wa Kamati Kuu pekee,Sijajua nafasi ya Mnyika bado itakuwaje.

Akina Mdee nadhani wataahirisha mipango yao ya kurudi CHADEMA.

Tuwaombee CHADEMA.

Povu linaruhusiwa.
Usiwe na hofu kamanda...

Mabadiliko siku zote huambatana na hofu na woga kwa wapokea mabadiliko hayo...

Let me assure, there is better tomorrow than yesterday...
 
Kwanza niwape Hongera CHADEMA kwa kuendesha Uchaguzi wa Kiwango cha juu, na nimpongeze Lissu kwa Ushindi.

Pili niombe Watanzania wote tuungane kuiombea CHADEMA kwa kipindi kigumu itakachopitia cha kuunganisha Chama chao,hekima ya hali ya juu sana inahitajika wakati huu.

Ukiangalia Matokeo naona Chama kimepasuka katikati,hata Kamati Kuu yao imepasuka katikati nilisikia Wenyeviti wote wa Kanda ni wa Mbowe na Viongozi wa BAZECHA na BAWACHA ni Team Mbowe sijajua Matokeo ya wajumbe wa Kamati Kuu itakuwaje?

Kuna kazi kubwa sana ya kufanya, sitashangaa kumuona Mbowe akistaafu Siasa na kubaki na ujumbe wa Kamati Kuu pekee,Sijajua nafasi ya Mnyika bado itakuwaje.

Akina Mdee nadhani wataahirisha mipango yao ya kurudi CHADEMA.

Tuwaombee CHADEMA.

Povu linaruhusiwa.
Hakuna mpasuko wowote ni mambo ya kawaida ya uchaguzi.
 
Naam , Mwenyezi-Mungu amjaalie hekima na maarifa ya hali ya juu mwenyekiti mpya wa Chadema Tundu Antipas Lissu katika kukiongoza chama cha chadema hatimaye kipate mafanikio makubwa katika kutimiza malengo yake.
 
Kwanza niwape Hongera CHADEMA kwa kuendesha Uchaguzi wa Kiwango cha juu, na nimpongeze Lissu kwa Ushindi.

Pili niombe Watanzania wote tuungane kuiombea CHADEMA kwa kipindi kigumu itakachopitia cha kuunganisha Chama chao,hekima ya hali ya juu sana inahitajika wakati huu.

Ukiangalia Matokeo naona Chama kimepasuka katikati,hata Kamati Kuu yao imepasuka katikati nilisikia Wenyeviti wote wa Kanda ni wa Mbowe na Viongozi wa BAZECHA na BAWACHA ni Team Mbowe sijajua Matokeo ya wajumbe wa Kamati Kuu itakuwaje?

Kuna kazi kubwa sana ya kufanya, sitashangaa kumuona Mbowe akistaafu Siasa na kubaki na ujumbe wa Kamati Kuu pekee,Sijajua nafasi ya Mnyika bado itakuwaje.

Akina Mdee nadhani wataahirisha mipango yao ya kurudi CHADEMA.

Tuwaombee CHADEMA.

Povu linaruhusiwa.
Acha mawazo mabaya, toa pongezi
 
Back
Top Bottom