Lissu katika mikutano yake ya kampeni anasema yeye na Mwenyekiti wanatembelea magongo kwa kupigwa na watu wasiojulikana

Vijana was CCM wanatia huruma sana.
Wenyewe walijua kampeni za mwaka huu zitakuwa rahisi sana kwa Mwenyekiti wao, kumbe imekuwa kinyume chake.

Meko alijua kwamba hata kipindi cha kampeni atatamba peke yake majukwaani kama ilivyokuwa katika nyakati alizozuia mikutano ya hadhara ya wanasiasa.

Sasa amekumbana na muziki wa Lissu ambaye watanzania wanamwita ni mzalendo namba moja.
 
Mkuu Kuna watu Wana laana waache waandike tu. But we know the truth... In 2020 our votes must count
 
Ulibemendwa wewe sio bure
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…