CHIBURABANU
JF-Expert Member
- Sep 19, 2013
- 2,921
- 3,474
Maji kwanza.Kwa Mara ya kwanza katika historia ya upinzani mgombea urais Tundu Lissu ameshiindwa kutoa ahadi ya hata KM moja ya barabara.
Maoni yamekuwa mengi kutoka kwa wapiga kura huku wengi wakidai kuwa hajui barabara nyingi kutokana na kukaa nje kwa muda mrefu.
Pia Chadema kwa mara ya kwanza Hanna sehemu yoyote katika jukwaa lao walipoituhumu CCM kwa ufisadi, kweli mambo yanakimbia sana.
Kujenga bararabara za lami ni mmojawapo ya majukumu ya msingi ya serikali. Kwa nini upoteze muda kutaja kitu kilicho wazi?Yaani nchi ina miaka 62 bado tuzungumze lami?
basi aahidi aana ufipa ujenzi wa ofisi pale ufipaMarekani ilijenga barabara za kuunganisha majimbo yake kuanzia mwaka 1956. Karne kadhaa baada ya kuwa huru.
Hizi porojo na kuishiwa HOJA.1. Ameahidi kuweka rehani madini.
2. Ameahidi kuifanya nchi kuwa ya kishoga.
3. Ameahidi kuigawa nchi vipandevipande.
Kama huo ndo uwezo wake wa kufikiri + matusi kwa wingi, unataka aahidi nini zaidi?
Kaahidi miradi gani ya maji?Maji kwanza.
Yaani ndugu zake Magufuli mnajadili miradi ya kumnufaisha Mayanga Construction!!Kwa Mara ya kwanza katika historia ya upinzani mgombea urais Tundu Lissu ameshiindwa kutoa ahadi ya hata KM moja ya barabara.
Maoni yamekuwa mengi kutoka kwa wapiga kura huku wengi wakidai kuwa hajui barabara nyingi kutokana na kukaa nje kwa muda mrefu.
Pia Chadema kwa mara ya kwanza Hanna sehemu yoyote katika jukwaa lao walipoituhumu CCM kwa ufisadi, kweli mambo yanakimbia sana.
Huyu mbona hamuachi kumtaja humu kuna shida na wakati anafanya kz vizuriMayanga construction
Pia wanajadili ushogaKweli CCM imewafanya akili zenu zidumae, kwa iyo kwa upeo wako unaona barabara ndo jambo la kuongelewa na Raisi kwenye kampeni?
Barabara, Maji na Shule kiujenzi ni majukumu ya msingi ya serikali yeyote ile hata iwe ya chizi.
Kwenye kampeni watu wanajadili mfumo wa elimu, mfumo wa afya, mfumo wa pensheni, uchumi, ajira, Sera ya mambo ya nje, kodi na uwekezaji.
Ndo mana tukisema hapo Lumumba mmejaa vilaza muwe mnatuelewa
Haki na Maendeleo = Kwa akili zako maendeleo ni nini? Hiyo habari km 1 ya lami ndio majivuno yanaoonekana ni jambo la kupiga kelele huko kwenu TZ, Kenya apo achlia mbali huku ulaya maendeleo ya barabara serikali hutimiza wajibu wake tu wala hakuna kelele sjui tumejenga km ngap wapi mpka wapi ni ujinga tu ulio huko kwenu, ndio mana Lissu hakupata shida kuzoa maelfu kwa malaki kwa mamilioni ya watanzania wanaomuunga mkono, sera za ccm ni za kizaman sana watu wamechoka na uhakika ni kwamba itawacost sana ccm tareh 28 octoberKwa Mara ya kwanza katika historia ya upinzani mgombea urais Tundu Lissu ameshiindwa kutoa ahadi ya hata KM moja ya barabara.
Maoni yamekuwa mengi kutoka kwa wapiga kura huku wengi wakidai kuwa hajui barabara nyingi kutokana na kukaa nje kwa muda mrefu.
Pia Chadema kwa mara ya kwanza Hanna sehemu yoyote katika jukwaa lao walipoituhumu CCM kwa ufisadi, kweli mambo yanakimbia sana.
Ni zaidi ya sh. milioni hamsini mambo yaliyofanyika huko vijijini.Zile milioni hamsini kila kijiji mlipata? Laptop kwa kila mwalimu zilitoka? Mnapenda sana kudanganywa ndiyo maana mijitu mizima inakenua na kusema mitano tena, upuuzi mtupu.
Alishawahi kukupiga mzinga? Kama wewe nanga imepaa unafikiri kila mtu yuko kama wewe.
Nonsense.Uko kuweza kulisha kwake kwa milo mitatu ndio tunako kuongelea kwamba maendeleo lazima yaendane na watu.
Sasa ajira hutoi, mishahara huongezi, unakamata vijana unafunga miaka 30 jela, Unafukuza shule watoto wakike waliojifungua, unabambikia watu kesi, unaongeza kodi kila uchochoro wakati wewe mwenyewe hulipi, Unachota fedha za Umma kadri unavojiskia tena bila maelezo yoyote wala hutaki kuhojiwa!!
Kwa hali kama izo raia ataitolea wapi milo mitatu?
Muwe mnaelewa, kila mkiambiwa vilaza ndio mnaona sifa!
Hakika wewe ni mjinga kuliko wajinga wote...Kwa Mara ya kwanza katika historia ya upinzani mgombea urais Tundu Lissu ameshiindwa kutoa ahadi ya hata KM moja ya barabara.
Maoni yamekuwa mengi kutoka kwa wapiga kura huku wengi wakidai kuwa hajui barabara nyingi kutokana na kukaa nje kwa muda mrefu.
Pia Chadema kwa mara ya kwanza Hanna sehemu yoyote katika jukwaa lao walipoituhumu CCM kwa ufisadi, kweli mambo yanakimbia sana.
Marekani ilipata uhuru mwaka 1776 ukitoa mwaka 1956 unapata tofauti ya miaka 178 sisi 59 tuu ccm inapiga kazi kwelikweli mitano tena kwa jpm.Marekani ilijenga barabara za kuunganisha majimbo yake kuanzia mwaka 1956. Karne kadhaa baada ya kuwa huru.
1. Ameahidi kuweka rehani madini.
2. Ameahidi kuifanya nchi kuwa ya kishoga.
3. Ameahidi kuigawa nchi vipandevipande.
Kama huo ndo uwezo wake wa kufikiri + matusi kwa wingi, unataka aahidi nini zaidi?