Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ungependa tuzungumzie nini kama Marekani wana zaidi ya miaka 200 ya uhuru wao bado wanazjngumzia maendelea ya infrustructure!Yaani nchi ina miaka 62 bado tuzungumze lami?
Marekani hakuna mpumbavu anayeweza kukupa kura kwa hoja ya kijinga hiyo eti umetumia fedha za wananchi kujengea barabara ndio wakupe kura, hakuna kitu kama hicho, haya ni mambo ya kudanganyia misukule kama nyie lkn sio sisi.Ungependa tuzungumzie nini kama Marekani wana zaidi ya miaka 200 ya uhuru wao bado wanazjngumzia maendelea ya infrustructure!
AhahahhKwa Mara ya kwanza katika historia ya upinzani mgombea urais Tundu Lissu ameshiindwa kutoa ahadi ya hata KM moja ya barabara.
Maoni yamekuwa mengi kutoka kwa wapiga kura huku wengi wakidai kuwa hajui barabara nyingi kutokana na kukaa nje kwa muda mrefu.
Pia Chadema kwa mara ya kwanza Hanna sehemu yoyote katika jukwaa lao walipoituhumu CCM kwa ufisadi, kweli mambo yanakimbia sana.
Weka hapa wamezungumzia hayo wapi kilaza wa lumumba wewe??Ungependa tuzungumzie nini kama Marekani wana zaidi ya miaka 200 ya uhuru wao bado wanazjngumzia maendelea ya infrustructure!
Nyie ni vilaza na mfumo mbovu wa elimu wa Ccm umedumaza akili zenu na Ndo mana hamuwezi kumuelewa Lissu.Lissu ana nchi yake ya kufikirika kichwani.. Huyu ukimuweka field kwenye uhalisia hataweza chochote
Hawana akili watu wa Lumumba usishangae Ndo mana Tanzania ni masikini hivi. Watu wanajua kujenga barabara ni hisani 😂😂😂😂Kujenga bararabara za lami ni mmojawapo ya majukumu ya msingi ya serikali. Kwa nini upoteze muda kutaja kitu kilicho wazi?
Hiki ndicho alichokisema Ndugu yangu Machanda Mukandamijaji
Nami kumripoti humu jf
PUchaguzi 2020 - Kuona ni Kuamini: Je, Oktoba 28, utachagua nini kati ya unachoona kwa macho kitu cha ukweli kilichopo vs ahadi tupu? Msikilize Masanja Mkandamizaji...
Wanabodi, Sisi wana tasnia ya habari, kwenye uchaguzi huu, zaidi ya kuwahimiza watu na kuwahamasisha, hiyo tarehe 28 October, wajitokeze kwa wingi, kwenda kupiga kura, na kuitumia haki yao ya kidemokrasia, kuwachagua viongozi wanao wataka, media pia tuna wajibu wa ziada wa kuwaelimisha...www.jamiiforums.com
Nenda kapate elimu kidogo,nchi inajengwa na kodi za wananchi,kwa kufata mipango iliyowekwa chini ya Irani ya chama kitakachoshinda,Kwa Mara ya kwanza katika historia ya upinzani mgombea urais Tundu Lissu ameshiindwa kutoa ahadi ya hata KM moja ya barabara.
Maoni yamekuwa mengi kutoka kwa wapiga kura huku wengi wakidai kuwa hajui barabara nyingi kutokana na kukaa nje kwa muda mrefu.
Pia Chadema kwa mara ya kwanza Hanna sehemu yoyote katika jukwaa lao walipoituhumu CCM kwa ufisadi, kweli mambo yanakimbia sana.
Kwa vile kuna kauli huumba, naombeni msinizeeshe vibaya, jee nifanye nini ili nizeeke vizuri?Unazeeka vibaya
Ufisadi umeongelewa Sana na chademaKwa Mara ya kwanza katika historia ya upinzani mgombea urais Tundu Lissu ameshiindwa kutoa ahadi ya hata KM moja ya barabara.
Maoni yamekuwa mengi kutoka kwa wapiga kura huku wengi wakidai kuwa hajui barabara nyingi kutokana na kukaa nje kwa muda mrefu.
Pia Chadema kwa mara ya kwanza Hanna sehemu yoyote katika jukwaa lao walipoituhumu CCM kwa ufisadi, kweli mambo yanakimbia sana.
Jiamini unaweza bila ya mbeleko ya ccm,Kwa vile kuna kauli huumba, naombeni msinizeeshe vibaya, jee nifanye nini ili nizeeke vizuri?
P
Mlikimbia kwenye bunge la katiba. Hamueleweki.Katiba mpya ndio mpango mzima.
Pia ameahidi kuondoka na Amsterdam.1. Ameahidi kuweka rehani madini.
2. Ameahidi kuifanya nchi kuwa ya kishoga.
3. Ameahidi kuigawa nchi vipandevipande.
Kama huo ndo uwezo wake wa kufikiri + matusi kwa wingi, unataka aahidi nini zaidi?
Hatuwezi kushiriki kwenye ufedhuli wa kugeuka maoni ya wananchiMlikimbia kwenye bunge la katiba. Hamueleweki.
Kwa vile kuna kauli huumba, naombeni msinizeeshe vibaya, jee nifanye nini ili nizeek
Kwa vile kuna kauli huumba, naombeni msinizeeshe vibaya, jee nifanye nini ili nizeeke vizuri?
P