Uchaguzi 2020 Lissu, Kiburi si maungwana!

Uchaguzi 2020 Lissu, Kiburi si maungwana!

Mwisho mtasema hata Kanisani asiende maana watu watayabasamu kwa furaha kumuona na kumsalimia.

Hivi nyie mmetiwa upofu ili NENO litimie au ni ujinga wenu wa asili?

Hamuwezi kujiuliza mbona kila mnalopanga baya LA kumzuia linaleta manufaa Mara mbili tofauti na mategemeo yenu?

Jana askofu Mwamakula amewaambia pale Kiluvya kuwa mnatengeneza ugumu kwa viongozi wa dini kama kutahitajika maridhiano baada ya uchaguzi.

Kwani hakuna ajuaye nani atashinda Urais. Akishinda Lissu jee? Haya manyanyaso mnayomfanyia mnategemea maridhiano yatakuwa mepesi? Maana Lissu ni mwanadamu ana kiwango cha uvumilivu na usamehevu.

JIEPUSHENI KUMCHOKOZA RAIS AJAYE
 
Lissu sasa hivi anawageni wengi nyumbani kwake kwenda sokoni kutafuta mahitaji ya wageni ni kitu Cha kawaida maana wanahitaji kula, kulala na kuvaa Mimi hapo sijaona hoja hapo. Na hata wengine kusafiri.
 
Lissu sasa hivi anawageni wengi nyumbani kwake kwenda sokoni kutafuta mahitaji ya wageni ni kitu Cha kawaida maana wanahitaji kula, kulala na kuvaa Mimi hapo sijaona hoja hapo. Na hata wengine kusafiri.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]kwamba anawaageni wengi kwahiyo anafata mahitaji ...aisee this time kweli disco kaingia masai
 
Mbona mwandishi hajaweka namba yake ya simu, akumbukwe kwenye teuzi..?
 
Acha bangi mzee, mbona kuna sehemu Anko Magu anakuwa prezdaa na kwingine anakuwa mgombea?
 
#MitanoTenaKwaJPM.
MenukaJr.
Yoooooote uliyoyaandika, yamekuja kuharibiwa na ulivyo malizia!
Mwanzoni nilijua ni MUUNGWANA mmoja ameamua kumpa Lissu ushauri wa kumsaidia, kumbe ni TAGA/BUKU 7 lipo kazini!
 
JPM wisho wake oct 28. Rais ajaye ni Lissu. Lissu ni binadamu anahitaji mahitaji ya msingi lazima atoke mataga acheni wivu wa kijinga Lisu kawashika pabaya karoho kanawauma kweli ila hakuna namna
 
Si dhani analotenda kama ni kosa hata kidogo kutokana na nafasi yake katika jamii, kama mtu huru ambaye anamahitaji kama mtu mwingine hivyo hivyo nafasi yake ya uongozi ndani ya chama inampa wajibu wa kutekeleza majukumu fulani kwa kuwa hayaondolewi baada ya kuteuliwa kugombea.

Ndivyo hivyo hivyo hata kwa Rais wetu kwa kuwa ni rais kuna baadhi ya majukumu hawezi kuacha kutekeleza kwa kuwa ni mteuliwa au mgombea wa chama tawala lazima ayafanye tu.

Kwenye hoja zako naona umeonesha gap za kisheria ambazo zinatakiwa kifanyiwa kazi ili kizuia haya tunayoyaona yakiyendeka sasa.
 
Too long but rubbish. Ulitaka ajifungie ndani? Lissu ni public figure. Popote atapoenda hata kwa shughuli binafsi watu watamfata tuu

Acha kumdhalilisha Babako namna hiyo, hakuleta kiumbe hapa Duniani ili kije kiabudu na kutukuza Wanaume wengine, jipange na jiamini haujechelewa bado, ...
 
Ujinga na uharo mtu ,Majaliwa anafanya kampeni kwa mwamvuli wa mjumbe wa halmashauri kuu huku ni waziri mkuu na ni mtu mmoja ,anapofanya kampeni ni huyo huyo mmoja ni waziri mkuu pia ,Lissu akifanya the same ni nongwa ,hivi nye CCM mbona mna akili za kuku kiasi hivi
 
Mungu anawaadhibu vizuri sana CCM mwaka huu. Yaaani anamnyanyua Lissu kwenye huo huo ufedhuli wenu mnaomfanyia.

Kama hujui kutafsiri sheria kaa tulia tu. Mlimzuia kufanya kampeni sio kwenda sokoni, sio kufanya vikao vya ndani vya organaizesheni kama kiongozi wa Chama.

Mwaka huu lazima hadi mtavua nguo kwa kuwehuka. Mlikuwa hamumjui vizuri huyo mpakwa mafuta wa Bwana. Huyo ndo mpaka mafuta wa Mungu Tundu Antiphas Lissu.

Vumilieni tu sindano zake😂😂
LISSU; KIBURI SI MAUNGWANA!!

Imeandikwa, kiburi si maungwana na mtoto mkaidi hawezi kufaidi hadi siku ya Iddi. Tundu Lissu anaingia ktk kundi hili kwa kushauriwa vibaya au kukaidi ushauri mzuri.

1. Aliemshauri Lissu kuwa baada ya kuadhibiwa na Kamati ya Maadili ya NEC anaweza kuendelea na shughuli za Chama kama Makam Mwenyekiti wa Chama amemshauri vibaya.

Tundu Lissu ni mmoja, hakuna nafsi mbili ktk mtu mmoja. Popote atakapokuwa Tundu Lissu ndipo alipo Mgombea wa Urais wa Chadema na Makam wa Mwenyekiti wa Chadema. Hakuna mstari wowote wa kutenganisha kati ya Lissu Mgombea na Lissu M/Mwenyekiti.

Kukosekana kwa tofauti hiyo ndio maana popote alipo mgombea wa CCM, Dr. John Pombe Magufuli ndipo alipo Rais wa JMT. Huwezi kuutofautisha ugombea wa John Pombe Joseph Magufuli na Urais wake au Uenyekiti wake wa CCM. Hivyo hivyo huwezi kuutofautisha ugombea wa Tundu Lissu na Umakam Mwenyekiti wake vinginevyo ni kujidanganya tu.

Aliemshauri Lissu kuwa baada ya kuadhibiwa anaweza kuendelea na kazi za kisiasa amemdanganya, amemshauri vibaya na amempotosha bure. Anachagiza vurumai za bila sababu. Lissu ashauriwe vizuri, ugombea wake na Umakam Mwenyekiti wake ni alfa na Omega, huwezi kuvitenganisha. Kimoja kinaathiri kingine!

2. Aliemshauri Lissu kuwa, kufungua matawi ya Chama au kutembelea masoko sio shughuli za Kampeni amemshauri vibaya, amemdanganya. Ni bahati mbaya kuwa Lissu licha ya kuwa Mwanasheria amedanganyika kirahisi mno. Mazingira na wakati vinanguvu zaidi ktk kuamua kesi, Lissu anafahamu hilo. Hakuna mstari wowote unaotenganisha kufungua matawi ya chama, kutembelea masoko na shughuli za Kampeni kwa wakati huu. Wakati uliopo sasa na mazingira anayokwenda kutembelea Tundu Lissu ni ushahidi wa wazi kuwa ameamua kufanya kampeni kwa mlango mwingine. Ni kosa, ni ukaidi.

Kampeni ni hamasa, kampeni ni ushawishi. Kufungua matawi ya vyama ni hamasa na ushawishi kuwa Chama kipo hai, hii ni kampeni zaidi kuliko kufanya mkutano wa hadhara.
Kuwatembelea watu ktk soko na maeneo ya wazi ni hamasa na ushawishi pia. Watu waliosoma elimu maalumu watanielewa vzr hapa kwamba kuna lugha ya picha na alama. Unaweza kufika mahala bila kuongea jambo lolote, ukasabahi kwa ishara na kuondoka lkn mavazi yako na muda vika-deliver ujumbe uliokusudiwa kwa watu. Kwenda Kibaha, kukutana na Wanachama au Wananchi hata bila kuongea jambo lolote ni kampeni kwa Lissu. Kati ya nafasi ya Umakam Mwenyekiti na nafasi ya Ugombea Urais kwa Lissu inayotangulia kwa sasa ni ya Ugombea. Hii ni principle ya wakati!!

Ushauri:

1. Mwambieni Tundu Lissu akili nyingi mbele ni giza. Awasikilize wenzake, aachane na mpango huu hauna faida. Polisi watamzuia kwa sababu hawawezi kutofautisha Ugombea wake na Umakam Mwenyekiti wake. Sio Polisi tu, hata wewe huwezi kwa sababu hakuna tofauti hiyo.

Polisi ndicho chombo chenye dhamana ya kusimamia na kushurutisha utekelezaji wa sheria. Ninahisi wataendelea na kusimamia utaratibu huu bila kujali kwa sababu ni wajibu wao, tusiwalaumu.

2. Mwambieni Tundu Lissu aache kukifanya kichwa chake kigumu, kitavunjika na asipate dawa. Aache kutukana watu kila kukicha, binadamu tumeumbwa na vinyongo. Siku Polisi wakikinai kuitwa wajinga au siku wakitamani kuufanya ujinga hadharani itakua hatari kwa nchi yetu. Hii ni nchi yetu sote, tuilinde!!

3. Mwambieni Lissu, walio nyuma yake ni ndugu zake ktk Chama, ndugu zake ktk damu na ni Watanzania wenzetu. Asiwatumie vibaya, majuto ni mjukuu. Likitokea la kutokea hasara ya kwanza ni kwetu sisi kama nchi, aachane na mzaha huo. Ni kosa kutumia njia haramu kuutafuta mwisho halali, Ikulu mtu hawezi kwenda kwa kupita ktk mifereji ya damu za watu. Aache mara moja!!

#MitanoTenaKwaJPM.
MenukaJr.
Mataga tulieni dawa iwaingie huyo ndiye Tundu Anti-ccm Lisu
 
Nchi hii vilaza wamezidi kuliko wakati wowote uliopita!
 
Ukisikia milio mingi namna hii wenye akili tunajua tayari mmekwisha
 
Mleta mada umetoa maelezo mazuri kabisa, TAL sio kwamba anshauriwa Bali anafanya maamuzi akiamini yeye anaijua sheria kuliko hata wale waliomfundisha, kisheria hayupo sahihi hata kidogo.

Chukulia mfano JESHI LA POLISI limshikilie TAL mgombea je utapatikana mwili wa TAL naibu mwenyekiti???? Jibu ni hapana Hivyo Basi ni makusudi ya kutafuta ubaya kwa jeshi la polisi na serikali kwa ujumla.

TAL anafanya makosa ya kitaalamu katika utafsiri wa sheria yaani ( statutory. Interpretation) na hapa hujiona yeye ndiye hutoa tafsiri iliyo sahihi.

Mwisho, ni wachache Sana wanaomuelewa TAL, na ni wengi saana wanaomuunga mkono, TAFAKARI CHUKUA HATUA.
 
LISSU; KIBURI SI MAUNGWANA!!

Imeandikwa, kiburi si maungwana na mtoto mkaidi hawezi kufaidi hadi siku ya Iddi. Tundu Lissu anaingia ktk kundi hili kwa kushauriwa vibaya au kukaidi ushauri mzuri.

1. Aliemshauri Lissu kuwa baada ya kuadhibiwa na Kamati ya Maadili ya NEC anaweza kuendelea na shughuli za Chama kama Makam Mwenyekiti wa Chama amemshauri vibaya.

Tundu Lissu ni mmoja, hakuna nafsi mbili ktk mtu mmoja. Popote atakapokuwa Tundu Lissu ndipo alipo Mgombea wa Urais wa Chadema na Makam wa Mwenyekiti wa Chadema. Hakuna mstari wowote wa kutenganisha kati ya Lissu Mgombea na Lissu M/Mwenyekiti.

Kukosekana kwa tofauti hiyo ndio maana popote alipo mgombea wa CCM, Dr. John Pombe Magufuli ndipo alipo Rais wa JMT. Huwezi kuutofautisha ugombea wa John Pombe Joseph Magufuli na Urais wake au Uenyekiti wake wa CCM. Hivyo hivyo huwezi kuutofautisha ugombea wa Tundu Lissu na Umakam Mwenyekiti wake vinginevyo ni kujidanganya tu.

Aliemshauri Lissu kuwa baada ya kuadhibiwa anaweza kuendelea na kazi za kisiasa amemdanganya, amemshauri vibaya na amempotosha bure. Anachagiza vurumai za bila sababu. Lissu ashauriwe vizuri, ugombea wake na Umakam Mwenyekiti wake ni alfa na Omega, huwezi kuvitenganisha. Kimoja kinaathiri kingine!

2. Aliemshauri Lissu kuwa, kufungua matawi ya Chama au kutembelea masoko sio shughuli za Kampeni amemshauri vibaya, amemdanganya. Ni bahati mbaya kuwa Lissu licha ya kuwa Mwanasheria amedanganyika kirahisi mno. Mazingira na wakati vinanguvu zaidi ktk kuamua kesi, Lissu anafahamu hilo. Hakuna mstari wowote unaotenganisha kufungua matawi ya chama, kutembelea masoko na shughuli za Kampeni kwa wakati huu. Wakati uliopo sasa na mazingira anayokwenda kutembelea Tundu Lissu ni ushahidi wa wazi kuwa ameamua kufanya kampeni kwa mlango mwingine. Ni kosa, ni ukaidi.

Kampeni ni hamasa, kampeni ni ushawishi. Kufungua matawi ya vyama ni hamasa na ushawishi kuwa Chama kipo hai, hii ni kampeni zaidi kuliko kufanya mkutano wa hadhara.
Kuwatembelea watu ktk soko na maeneo ya wazi ni hamasa na ushawishi pia. Watu waliosoma elimu maalumu watanielewa vzr hapa kwamba kuna lugha ya picha na alama. Unaweza kufika mahala bila kuongea jambo lolote, ukasabahi kwa ishara na kuondoka lkn mavazi yako na muda vika-deliver ujumbe uliokusudiwa kwa watu. Kwenda Kibaha, kukutana na Wanachama au Wananchi hata bila kuongea jambo lolote ni kampeni kwa Lissu. Kati ya nafasi ya Umakam Mwenyekiti na nafasi ya Ugombea Urais kwa Lissu inayotangulia kwa sasa ni ya Ugombea. Hii ni principle ya wakati!!

Ushauri:

1. Mwambieni Tundu Lissu akili nyingi mbele ni giza. Awasikilize wenzake, aachane na mpango huu hauna faida. Polisi watamzuia kwa sababu hawawezi kutofautisha Ugombea wake na Umakam Mwenyekiti wake. Sio Polisi tu, hata wewe huwezi kwa sababu hakuna tofauti hiyo.

Polisi ndicho chombo chenye dhamana ya kusimamia na kushurutisha utekelezaji wa sheria. Ninahisi wataendelea na kusimamia utaratibu huu bila kujali kwa sababu ni wajibu wao, tusiwalaumu.

2. Mwambieni Tundu Lissu aache kukifanya kichwa chake kigumu, kitavunjika na asipate dawa. Aache kutukana watu kila kukicha, binadamu tumeumbwa na vinyongo. Siku Polisi wakikinai kuitwa wajinga au siku wakitamani kuufanya ujinga hadharani itakua hatari kwa nchi yetu. Hii ni nchi yetu sote, tuilinde!!

3. Mwambieni Lissu, walio nyuma yake ni ndugu zake ktk Chama, ndugu zake ktk damu na ni Watanzania wenzetu. Asiwatumie vibaya, majuto ni mjukuu. Likitokea la kutokea hasara ya kwanza ni kwetu sisi kama nchi, aachane na mzaha huo. Ni kosa kutumia njia haramu kuutafuta mwisho halali, Ikulu mtu hawezi kwenda kwa kupita ktk mifereji ya damu za watu. Aache mara moja!!

#MitanoTenaKwaJPM.
MenukaJr.
Jipige kifuani sema...mimi Sami O ni mjinga

Ivi nikwamba huwa mnasoma kwa unga unga, yaan akili ni kiduchu, ila unakomaa miaka namiakaa .

Mpaka unamiliki cheti ??? Kiuhalisia , unakua bado una ubongo ambao ni mziiiiito wenye kujaa matope, naivo unahitajika muda mwingi ili umuelewe Lissu.

Nakupa Mfano...Lissu alipomlalamikia Majaliwa kuzunguka nchi hii... Mlisema anazunguka kama mjumbe wa kamati kuu sijui nn nn????



Niishie hapo...WEWE NI TOPE ,TOPE LA KUFIGIA MINYOOOOO LIMEJAZA KICHWA NAHUKO ULIKO NDO KABISAAAA UNAZIDI KUA NA TOPEEEE KICHWAN LENYE UNAFIKI NDANI YAKE.


Makalio wee, bichwa Kubwa lkn ubongo topeee
 
Huyo JPM anapowaita kina Museveni,Mrithi wa Nkurunziza na Malawi president pia ni kampeni?Mbona ni kama Mh.Lissu anachofanya ndiyo kampeni lakini kwa JPM siyo kampeni?Hao POLISI wanaruhusiwa kumwaga damu za Watanzania wasio na hatia?Kushiriki mikutano au kudai Haki kutendeka au kuzuia wizi wa kura kwa ulinzi shirikishi ni kosa linalostahili hukumu ya kupigwa na POLISI?
 
Back
Top Bottom