Ikitokea hii nachoma kadi ya CCM. Hakika hii timu itatisha bila kumsahau HECHELisu, Mwabukusi, Dr Slaa, Mdude, Mimi hapo lazima Katiba mpya ipatikane kwa ajili ya Wajukuu zetu dadeki 😄😄😄🔥
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ikitokea hii nachoma kadi ya CCM. Hakika hii timu itatisha bila kumsahau HECHELisu, Mwabukusi, Dr Slaa, Mdude, Mimi hapo lazima Katiba mpya ipatikane kwa ajili ya Wajukuu zetu dadeki 😄😄😄🔥
Ndoto za mwewe kuwa kama kunguru ndiyo hizi.Pafukapo moshi ujue kuna moto ,
za chini ya kapeti Makamu Mwenyekiti wa Chadema yupo, kwenye harakati za chini kwa chini kutaka kumpindua mwenyekiti na kukiongoza chama kama mwenyekiti.
Kikao chao cha siri inasemakana ameona Mbowe ni kikwazo chama kukamata dola hata kama sio kukamata ila chama kuendeshwa kiharakati zaidi kuliko uongozi wake Mbowe, ambaye chama kinafanya siasa za uoga .
Na inasemekana wanamtuhumu Mh Mbowe kuwa chama kimepokea mabilioni ili kutimiza matakwa ya kuwaweka wale watu wasio na siasa kali za kiharakati ,hivyo makamu mwenyekiti kama atafanikiwa kuchukua madaraka amepanga kumvuta mwabukusi kama makamu wake ,na katibu ni dkt slaa.
Sis tulio nje tunasema wacha wapasuane pesa haijawahi muacha mtu salama!
Chadema na ife kabisa Act ichukue nafasi!
Kuliko wewe.Kimejaa wahuni na madalali wa kisiasa.
Gari ikipata ajali unakufa na dereva!Seat ya mbele kabisa
Chadema wanayumbisha wenyewe kwa kuwa hoja za msingi hakuna tena!Hizi harakati za kijinga sana,chadema haiyumbishwi kijinga hivyo
We unataka mtendaji au muigizaji, yule hafai kuwa kiongozi ht wa kitongojiLissu ni talented, ukianza kumsikiliza hauchoki.. anavutia kusikiliwa..
Kwa hiyo nyie maccm mmepanga mje na propaganda za kindezi namna hii Kisha moment wenyewe! Hovyo sana nyie.Pafukapo moshi ujue kuna moto,
Za chini ya kapeti Makamu Mwenyekiti wa Chadema yupo, kwenye harakati za chini kwa chini kutaka kumpindua mwenyekiti na kukiongoza chama kama mwenyekiti.
Kikao chao cha siri inasemakana ameona Mbowe ni kikwazo chama kukamata dola hata kama sio kukamata ila chama kuendeshwa kiharakati zaidi kuliko uongozi wake Mbowe, ambaye chama kinafanya siasa za uoga .
Na inasemekana wanamtuhumu Mh Mbowe kuwa chama kimepokea mabilioni ili kutimiza matakwa ya kuwaweka wale watu wasio na siasa kali za kiharakati, hivyo makamu mwenyekiti kama atafanikiwa kuchukua madaraka amepanga kumvuta mwabukusi kama makamu wake, na katibu ni Dkt. Slaa.
Sisi tulio nje tunasema wacha wapasuane pesa haijawahi muacha mtu salama!
Chadema na ife kabisa Act ichukue nafasi!
Utasema tu pesa za mama abdul zinawavuruga!Bado hamjasema
Huna ujualo tulia!Kwa hiyo nyie maccm mmepanga mje na propaganda za kindezi namna hii Kisha moment wenyewe! Hovyo sana nyie.
Umejuaje!Weka bango hapa kwenye kibanda chako:
"Mganga maarufu kutoka Sumbawanga. Njoo nikutabirie nyota yako". Hutawakosa punguani wa kuwaokota.