Tetesi: Lissu kufanya mapinduzi CHADEMA kuwavuta Mwabukusi, Dkt Slaa na Mpina

Katika vitu ccm wanatakiwa kuna macho ni Lisu asije kuwa mwenyekiti wa Chadema maana mtaisoma namba Lisu hana chakupoteza, Mbowe anabusara sana
 
Ndoto za mwewe kuwa kama kunguru ndiyo hizi.
 
Katika vitu ccm wanatakiwa kuna macho ni Lisu asije kuwa mwenyekiti wa Chadema maana mtaisoma namba Lisu hana chakupoteza, Mbowe anabusara sana
 
Katika vitu ccm wanatakiwa kuna macho ni Lisu asije kuwa mwenyekiti wa Chadema maana mtaisoma namba Lisu hana chakupoteza, Mbowe anabusara sana
 
Nililitarajia hili.

Ikifika msimu wa uchaguzi ni lazima drama zitokee.

Yote haya ni balance of power ina-take place.
 
Mnyukano wa hivi na kila mmoja akitaka ugali wa familia basi madhara yakitokea tunaamza kupiga ramli ooh atakuwa flani
Siasa za Africa zinatisha sana
 
Kwa hiyo nyie maccm mmepanga mje na propaganda za kindezi namna hii Kisha moment wenyewe! Hovyo sana nyie.
 
Mbowe iache chadema itukomboe.huoni hadi watumishi wa umma wanalia hakuna nyongeza ya mishahara.
 
Reactions: mky
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…