Pre GE2025 Lissu, kuna baadhi ya mambo busara inakutaka usiyazungumze in Camera mpaka inapokulazimu kufanya hivyo

Pre GE2025 Lissu, kuna baadhi ya mambo busara inakutaka usiyazungumze in Camera mpaka inapokulazimu kufanya hivyo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Retired

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2016
Posts
44,629
Reaction score
83,056
Nimekusikia ukinukuu BUSARA za Mwalimu Nyerere, lakini Mwalimu Nyerere busara zilimuongoza mambo mengine kuyazungumza in Camera na si hadharani. Nilitegemea majibu ya busara zaidi kuliko ulivyojibu.

Pia soma: Kuelekea 2025 - Tundu Lissu: Tuhuma za Msigwa kwa CHADEMA zichunguzwe, sisi si Malaika

SIKIA BUSARA ZA NYERERE
Mwandishi wa habari alimuuliza Nyerere kuwa kuna habari/tetesi kuwa unataka kuipindia serikali ya Rais Mwinyi. Wakataka comment zake/ afafanue kuwa anataka kuipindua serikali ya Rais Mwinyi. Nyerere alichukia kuulizwa ujinga kama huo. AKAMJIBU HIVI/AKAMUULIZA SWALI HUYO MWANDISHI HIVI

"UKIAMBIWA KUWA MIMI NDIYE BABA YAKO UTAENDA KUANDIKA FRONT PAGE HABARI HIYO?"

na mkutano ukaisha hapo hapo 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀

TAKE NOTE; Mpaka leo hakuna anyejua kwanini Knna alijiuzulu, haya ni mambo ya ndani. ukiyeweka hadharani utaleta mpasuko

All in all you have my support until then! Erythrocyte
 
labda ni intorolerable××( intolerable) tayari.
 
Nimekusikia ukinukuu BUSARA za Mwalimu Nyerere, lakini Mwalimu Nyerere busara zilimuongoza mambo mengine kuyazungumza in Camera na si hadharani. Nilitegemea majibu ya busara zaidi kuliko ulivyojibu.

SIKIA BUSARA ZA NYERERE
Mwandishi wa habari alimuuliza Nyerere kuwa kuna habari/tetesi kuwa unataka kuipindia serikali ya Rais Mwinyi. Wakataka comment zake/ afafanue kuwa anataka kuipindua serikali ya Rais Mwinyi.
Nyerere alichukia kuulizwa ujinga kama huo. AKAMJIBU HIVI/AKAMUULIZA SWALI HUYO MWANDISHI HIVI

"UKIAMBIWA KUWA MIMI NDIYE BABA YAKO UTAENDA KUANDIKA FRONT PAGE HABARI HIYO?"

na mkutano ukaisha hapo hapo 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀

All in all you have my support until then! Erythrocyte
ana kiburi cha kuzaliwa halafu muoga kichizi, ni kama Hamas tu kwa Israel 🐒
 
Lisu ameongea ukweli, tabia za kuogopa kusema ukweli ziko huko ccm kwq qjili yq watu kulinda vyeo. It's for Mbowe to go. Yeye ndio sababu ya hii sintofahamu. Lisu ninayemjua mimi sio huyo wa kunyamizia utopolo muda wote.
Atoke basi tuone hatima yake na ya chama chenu
 
Sasa uliona wapi dhambi ikafichwa?

Au hujui ukificha dhambi, MAUTI itakuumbua?

Yaani unaanzaje kujisitiri RUSHWA na Wala RUSHWA ndani ya chama?

Si Rahisi kuwakemea ndani ya vikao pekee wakaisha maana wengine hutoka nje,

Hivyo Kutoka hadharani kukemea ni jambo la kheri kabisa.
 
Nimekusikia ukinukuu BUSARA za Mwalimu Nyerere, lakini Mwalimu Nyerere busara zilimuongoza mambo mengine kuyazungumza in Camera na si hadharani. Nilitegemea majibu ya busara zaidi kuliko ulivyojibu.

Pia soma: Kuelekea 2025 - Tundu Lissu: Tuhuma za Msigwa kwa CHADEMA zichunguzwe, sisi si Malaika

SIKIA BUSARA ZA NYERERE
Mwandishi wa habari alimuuliza Nyerere kuwa kuna habari/tetesi kuwa unataka kuipindia serikali ya Rais Mwinyi. Wakataka comment zake/ afafanue kuwa anataka kuipindua serikali ya Rais Mwinyi. Nyerere alichukia kuulizwa ujinga kama huo. AKAMJIBU HIVI/AKAMUULIZA SWALI HUYO MWANDISHI HIVI

"UKIAMBIWA KUWA MIMI NDIYE BABA YAKO UTAENDA KUANDIKA FRONT PAGE HABARI HIYO?"

na mkutano ukaisha hapo hapo 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀

All in all you have my support until then! Erythrocyte
Lissu mbona kajizuia sana?

Juzi alikuwa Clubhouse kaulizwa kuhusu ugomvi kati yake na Mbowe, kasema jambo hilo kashaliongelea sana, hataki kuliongelea zaidi kwa sababu kila akiliongelea maswali hayaishi.
 
Lisu ameongea ukweli, tabia za kuogopa kusema ukweli ziko huko ccm kwa ajili ya watu kulinda vyeo. It's for Mbowe to go. Yeye ndio sababu ya hii sintofahamu. Lisu ninayemjua mimi sio huyo wa kunyamizia utopolo muda wote. Ukiona Lisu kaamua kutoka na kusemea nje ujue huko ndani kuna uhuni. Nina imani na Lisu akiwa cdm, au chama kingine lakini isiwe ccm.
Kwani Mbowe anasemaje. Safari watajuta kukiua chama. CCM imewakamata pabaya.
 
Hatima yake itakuwa poa tu maana ana ushawishi, cdm kama chama ndio itapoteza. Kwa taarifa yako Lisu akibaki cdm itaendelea kuwa na mvuto, kuliko Lisu akiondoka na Mbowe akabakia.
Ushawishi Kwa nani na umaskini huo mnatembeza bakuli Hadi la maisha yake binafsi? Utafaulu kwenye siasa bila pesa?
 
Ushawishi Kwa nani na umaskini huo mnatembeza bakuli Hadi la maisha yake binafsi? Utafaulu kwenye siasa bila pesa?
Huo ndio uhalisia, na hatuna tatizo na ukweli. Chama la majizi nyie ndio mnategemea kutisha wakwepa kodi, na wauza unga kupata hela.
 
ana kiburi cha kuzaliwa halafu muoga kichizi, ni kama Hamas tu kwa Israel 🐒
Mmefanya awe na kiburi nyinyi wenyewe wanachama mnamuona bingwa wa siasa,ndiyo shida ingawaje na Mbowe naye anashindwa kudhibiti hali ya kisiasa ndani ya chama chake,safari hii chadema inapigwa vibaya mno ACT inawaka na kuchukua uongozi.
 
Nimekusikia ukinukuu BUSARA za Mwalimu Nyerere, lakini Mwalimu Nyerere busara zilimuongoza mambo mengine kuyazungumza in Camera na si hadharani. Nilitegemea majibu ya busara zaidi kuliko ulivyojibu.

Pia soma: Kuelekea 2025 - Tundu Lissu: Tuhuma za Msigwa kwa CHADEMA zichunguzwe, sisi si Malaika

SIKIA BUSARA ZA NYERERE
Mwandishi wa habari alimuuliza Nyerere kuwa kuna habari/tetesi kuwa unataka kuipindia serikali ya Rais Mwinyi. Wakataka comment zake/ afafanue kuwa anataka kuipindua serikali ya Rais Mwinyi. Nyerere alichukia kuulizwa ujinga kama huo. AKAMJIBU HIVI/AKAMUULIZA SWALI HUYO MWANDISHI HIVI

"UKIAMBIWA KUWA MIMI NDIYE BABA YAKO UTAENDA KUANDIKA FRONT PAGE HABARI HIYO?"

na mkutano ukaisha hapo hapo 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀

All in all you have my support until then! Erythrocyte
Nilidhani Lissu ni smart kumbe sio.
 
Nimekusikia ukinukuu BUSARA za Mwalimu Nyerere, lakini Mwalimu Nyerere busara zilimuongoza mambo mengine kuyazungumza in Camera na si hadharani. Nilitegemea majibu ya busara zaidi kuliko ulivyojibu.

Pia soma: Kuelekea 2025 - Tundu Lissu: Tuhuma za Msigwa kwa CHADEMA zichunguzwe, sisi si Malaika

SIKIA BUSARA ZA NYERERE
Mwandishi wa habari alimuuliza Nyerere kuwa kuna habari/tetesi kuwa unataka kuipindia serikali ya Rais Mwinyi. Wakataka comment zake/ afafanue kuwa anataka kuipindua serikali ya Rais Mwinyi. Nyerere alichukia kuulizwa ujinga kama huo. AKAMJIBU HIVI/AKAMUULIZA SWALI HUYO MWANDISHI HIVI

"UKIAMBIWA KUWA MIMI NDIYE BABA YAKO UTAENDA KUANDIKA FRONT PAGE HABARI HIYO?"

na mkutano ukaisha hapo hapo 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀

All in all you have my support until then! Erythrocyte

Ukiguswa ufisadi wa Mbowe ndiyo mnakumbuka kuwa kuna busara??
 
Huo ndio uhalisia, na hatuna tatizo na ukweli. Chama la majizi nyie ndio mnategemea kutisha wakwepa kodi, na wauza unga kupata hela.
Sasa nyie chama la Wala Rushwa mnaonunuliwa ndio mnayegemea kupambana na Rushwa? 🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom