ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Ndio maana nimesema hiyo ni taasisi ya Wala Rushwa inayotaka kupambana na Rushwa πππππHilo sio tatizo la mkemeaji sasa, bali ni la taasisi inayapaswa kupambana na rushwa.
Narudia tena, huo ni wajibu wa Takukuru kupambana ni hiyo rushwa.Ndio maana nimesema hiyo ni taasisi ya Wala Rushwa inayotaka kupambana na Rushwa πππππ
Kukemea hadharani,gizani unavuta Mlungula itakusaidia nini? ππ
We mla Rushwa usinichosheNarudia tena, huo ni wajibu wa Takukuru kupambana ni hiyo rushwa.
Ni ww unashoboka na mimi tu.We mla Rushwa usinichoshe
Siku zote sijawahi kuamini kama Lissu ana busara hiyo unayotaka awe nayo.Nimekusikia ukinukuu BUSARA za Mwalimu Nyerere, lakini Mwalimu Nyerere busara zilimuongoza mambo mengine kuyazungumza in Camera na si hadharani. Nilitegemea majibu ya busara zaidi kuliko ulivyojibu.
Pia soma: Kuelekea 2025 - Tundu Lissu: Tuhuma za Msigwa kwa CHADEMA zichunguzwe, sisi si Malaika
SIKIA BUSARA ZA NYERERE
Mwandishi wa habari alimuuliza Nyerere kuwa kuna habari/tetesi kuwa unataka kuipindia serikali ya Rais Mwinyi. Wakataka comment zake/ afafanue kuwa anataka kuipindua serikali ya Rais Mwinyi. Nyerere alichukia kuulizwa ujinga kama huo. AKAMJIBU HIVI/AKAMUULIZA SWALI HUYO MWANDISHI HIVI
"UKIAMBIWA KUWA MIMI NDIYE BABA YAKO UTAENDA KUANDIKA FRONT PAGE HABARI HIYO?"
na mkutano ukaisha hapo hapo π π π π π π π π
All in all you have my support until then! Erythrocyte
"usiyazungumze hadharani...".... Huo ndio unafiki ulioifikisha CCM ilipo sasa hivi. Ni ajabu kwamba bado kuna watu wanataka hata CHADEMA ifuate njia hiyo hiyo!All in all you have my support until then! @Erythrocyte
Ninayo matumaini, kwamba huko huko ndani ya CHADEMA kuna kundi kubwa linalokubaliana na Lissu. Hawa itabidi wajizatiti kupambana na kundi lililo nunuliwa na CCM ndani ya chama hicho.Lisu ameongea ukweli, tabia za kuogopa kusema ukweli ziko huko ccm kwa ajili ya watu kulinda vyeo. It's for Mbowe to go. Yeye ndio sababu ya hii sintofahamu. Lisu ninayemjua mimi sio huyo wa kunyamizia utopolo muda wote. Ukiona Lisu kaamua kutoka na kusemea nje ujue huko ndani kuna uhuni. Nina imani na Lisu akiwa cdm, au chama kingine lakini isiwe ccm.
Wametoka wangapi na chama kipo. Hata atoke Mbowe hana haki milikiAtoke basi tuone hatima yake na ya chama chenu
Kwani CCM hawakemei rushwa? Kama wanakemea basi kuna Wapokea rushwa. Hauwezi kuhubiri kwamba acheni uzinzi, ina maana unajua kuwa unaowahubiri wamo wazinzi. Unatakiwa kusema msifanye uzinzi ni dhambi. Siyo acheniWapi Huwa haikemewi hadharani? Watu waliacha kuchukua? π€£π€£π€£π€£
Eti ishara
Na unadhani mambo haya mawili, ya Mwalimu Nyerere na Mwinyi, na haya aliyo yasemea Tundu Lissu kuhusu kuchunguza tuhuma ndani ya chama yanafanana; kwamba Tundu Lissu anakosa busara kwa kushauri uchunguzi kusafisha chama?A NYERERE
Mwandishi wa habari alimuuliza Nyerere kuwa kuna habari/tetesi kuwa unataka kuipindia serikali ya Rais Mwinyi. Wakataka comment zake/ afafanue kuwa anataka kuipindua serikali ya Rais Mwinyi. Nyerere alichukia kuulizwa ujinga kama huo. AKAMJIBU HIVI/AKAMUULIZA SWALI HUYO MWANDISHI HIVI
"UKIAMBIWA KUWA MIMI NDIYE BABA YAKO UTAENDA KUANDIKA FRONT PAGE HABARI HIYO?"
na mkutano ukaisha hapo hapo π π π π π π π π
All in all you have my support until then! @Erythrocyte
Kwa muda mrefu sana nimewaasa CDM kwamba ni wakati Mbowe aondoke.Lisu ameongea ukweli, tabia za kuogopa kusema ukweli ziko huko ccm kwa ajili ya watu kulinda vyeo. It's for Mbowe to go. Yeye ndio sababu ya hii sintofahamu. Lisu ninayemjua mimi sio huyo wa kunyamizia utopolo muda wote. Ukiona Lisu kaamua kutoka na kusemea nje ujue huko ndani kuna uhuni. Nina imani na Lisu akiwa cdm, au chama kingine lakini isiwe ccm.
Binadamu tunatofautiana sana uoni, haya watu mnayasema leo, niangalieni mimi mwenzenu niliyasema lini CCM Imechokwa, CHADEMA Haijajipanga! humo nilisemaKwa muda mrefu sana nimewaasa CDM kwamba ni wakati Mbowe aondoke.
Mbowe ameishiwa mbinu hana nguvu za uongozi wala maono mapya.
Mbowe amekuwa Mwenyekiti kwa miaka 30 hana sababu za kuendelea.
Ikiwa katiba na anataka, Mbowe akubali ushindani na aache kutumiaVijana kuzua '' frustrations'
Mzee Mtei hakukaa miaka 30, Bob Makani hakukaa miaka 30, ' 'MBOWE MUST GO'
Mbowe ni polazrizing figure, he must go.
Habari za kurudi kwa COVID 19 '' behind the scenes'' Mbowe anaziingiza kiani! Huo ni ukweli
Mnakumbuka aliposema wiki chache zilizopita ''... ni wakati watu wasameheane katika chama..''
CDM kama mnataka chama imara, simameni katika ukweli.
Msitafute mchawi CCM au JF, mkabilini Mwenyekiti na kumwambia ukweli. Thank you for everything, it's time you pack an go.! Mbowe anapasua chama akitumia kikundi cha Vijana wake wasiotaka ukweli.
Pascal Mayalla JokaKuu
Ushauri huu ulitolewa 2010, ungefuatwa , 2015 ilikuwa Chadema inatinga ikulu!.Wanabodi,
Hakuna ubishi, Chadema imenyanyuka, toka wabunge 5 mpaka 22 wa kuchaguliwa tena majimbo ya haja yenye impact ikiwemo kuyashika majiji makubwa katika mikoa the big five!, huku sio kukua bali ni kupaa, tatizo kubwa la Chadema, bado hawajipanga mkao wa kichama tawala, ili kikabidhiwe nchi, kitawale, Chadema bado kimekaa kichama harakati, hivyo kuna wengi wanakiona kama bado hakijakomaa kiasi cha kukabidhiwa ikulu yetu!.
Kichama, wanachadema mkubali msikubali, chama chenu kwa sasa japo kipo juu, lakini bado hamjakomaa kufikia kiwango cha kukabidhiwa nchi, bado mko kiuana harakati zaidi kuliko ki chama tawala, na hamjajipanga kwa sura ya kitaifa na utayari wa kutawala nchi.
Kwa vile CCM imechokwa na imekaa mkao wa kifo, hii ndio opportunity yenu Chadema kuongeza offensive ili kuisindikiza CCM kaburini, kwa kujipanga kimkakati ili muwe na sura ya kitaifa, kwa kuonyesha Watanzania kuwa mmekomaa na mko tayari kutawala, hivyo Watanzania watawamini watawakabidhi nchi mwaka 2015.
Kwa upande wa Chadema, lazima kibadilike, first and foremost, anzeni na Mwenyekiti wenu Freeman Mbowe, he should go!. Ajiuzulu uenyekiti, ampishe more able person kama Dr. Slaa kwenye usukani wa chama, Katibu Mkuu mpeni Zitto strategically, hii itaifuta ile dhana ya udini na nepotisim kwenye chama chenu, na kulivua lile koti la udini, ukanda na ukabila ili walioichoka CCM wawafungulie mikono kwa kujitokeza kwa wingi kuwapigia kura 2015 kwa kujionyesha Chadema ni chama cha wote, dini zote na kanda zote.
Kupumzishwa kwa Freeman Mbowe sio kuwa hafai no, anafaa sana lakini kwa background yake na nature ya kazi zake, as a businessman, hapo alipoifikisha Chadema amaishafanya kazi kubwa na kufikia mwisho wa uwezo wake. Kwa background yake ya a former DJ na sasa ni mfanyabiashara, focus ya wafanyabiashara kote dunia nzima ni maximisation of profits, hivyo Mbowe atahitaji ruzuku ya Chadema itumike kuivest kwenye assets, kwenye vitu vya kuonekanika yaani assets kama magari, mavazi, etc
Ili Chadema kiweze kushika nchi 2015, it has to invest on people na sio ku invest kwenye vitu. Chadema must invest kwenye mass mobilisation na sio kutegemea mikutano ya hadhara na maandamano. Chadema needs to have able people kuiwezesha kushika dola five years to come kwa kutumia reaching out mechanism kuwafikia the mases kwa kumiliki media yake yenyewe. Chadema lazima ifanye recruitment ya loyal able people, watakaokuja kuendesha serikali ya Chadema. Mbowe hawezi kukubali ruzuku ya Chadema itumike to invest on people, kwasabu it's a loss making venture kwa mfanyabiashara na kuivest kwenye mass media sio profitable investment kwa business man ambaye ni in for profits making!. Dr.Slaa na Zitto sio wafanyabiashara hawa ni ma technocrats. Chama kishikwe na wanasiasa watendaji ma technocrats na sio wanasiasa wafanyabiashara!. Chadema iwekeze kwenye watu na kupanua mtandao wake hadi vijijini, ili kwenda kuiongoa CCM kuanzia kule chini kabisa kwenye mizizi yake ambako ni kule kwenye mashina. Chadema imiliki media yake yenyeshe for mass mobilization na sio kutegemea mikutano na maandamano, huko ni kuendeleza uanaharakati, Chadema inatakiwa kukaa mkao wa kutawala, ikitangaza kitu, kinafika Tanzania nzima!
Paskali
Hapaana! Mimi nimesimama siku zote kueleza kwamba Mbowe ni tatizo. Rejea mabandiko yangu yoteBinadamu tunatofautiana sana uoni, haya watu mnayasema leo, niangalieni mimi mwenzenu niliyasema lini CCM Imechokwa, CHADEMA Haijajipanga! humo nilisema
Ushauri huu ulitolewa 2010, ungefuatwa , 2015 ilikuwa Chadema inatinga ikulu!.
P
TAL asiende popote kwasababu anachosimamia ndio msimamo wa mtu mwenye akili.Hatima yake itakuwa poa tu maana ana ushawishi, cdm kama chama ndio itapoteza. Kwa taarifa yako Lisu akibaki cdm itaendelea kuwa na mvuto, kuliko Lisu akiondoka na Mbowe akabakia.
Mshaanza kumtishaNimekusikia ukinukuu BUSARA za Mwalimu Nyerere, lakini Mwalimu Nyerere busara zilimuongoza mambo mengine kuyazungumza in Camera na si hadharani. Nilitegemea majibu ya busara zaidi kuliko ulivyojibu.
Pia soma: Kuelekea 2025 - Tundu Lissu: Tuhuma za Msigwa kwa CHADEMA zichunguzwe, sisi si Malaika
SIKIA BUSARA ZA NYERERE
Mwandishi wa habari alimuuliza Nyerere kuwa kuna habari/tetesi kuwa unataka kuipindia serikali ya Rais Mwinyi. Wakataka comment zake/ afafanue kuwa anataka kuipindua serikali ya Rais Mwinyi. Nyerere alichukia kuulizwa ujinga kama huo. AKAMJIBU HIVI/AKAMUULIZA SWALI HUYO MWANDISHI HIVI
"UKIAMBIWA KUWA MIMI NDIYE BABA YAKO UTAENDA KUANDIKA FRONT PAGE HABARI HIYO?"
na mkutano ukaisha hapo hapo π π π π π π π π
All in all you have my support until then! Erythrocyte
Unakosea.Lissu ameamua kubaki upande wa kukubali kukosea.Kuna kitu anakijua na hapendi kimtafune.ana kiburi cha kuzaliwa halafu muoga kichizi, ni kama Hamas tu kwa Israel π
Nimekusikia ukinukuu BUSARA za Mwalimu Nyerere, lakini Mwalimu Nyerere busara zilimuongoza mambo mengine kuyazungumza in Camera na si hadharani. Nilitegemea majibu ya busara zaidi kuliko ulivyojibu.
Pia soma: Kuelekea 2025 - Tundu Lissu: Tuhuma za Msigwa kwa CHADEMA zichunguzwe, sisi si Malaika
SIKIA BUSARA ZA NYERERE
Mwandishi wa habari alimuuliza Nyerere kuwa kuna habari/tetesi kuwa unataka kuipindia serikali ya Rais Mwinyi. Wakataka comment zake/ afafanue kuwa anataka kuipindua serikali ya Rais Mwinyi. Nyerere alichukia kuulizwa ujinga kama huo. AKAMJIBU HIVI/AKAMUULIZA SWALI HUYO MWANDISHI HIVI
"UKIAMBIWA KUWA MIMI NDIYE BABA YAKO UTAENDA KUANDIKA FRONT PAGE HABARI HIYO?"
na mkutano ukaisha hapo hapo π π π π π π π π
All in all you have my support until then! Erythrocyte
Nilidhani Lissu ni smart kumbe sio.
Lissu anafaa kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA ili akirudishe kwenye misisngi yake, sio huyo Mbowe vuguvugu. Na CHADEMA itadondoka kutokana na kiburi Cha Mbowe.