===
Lissu akijibu swali kuwa yeye hana "KABA" yaani hana siri,
Lissu amesema Kuna Siri aina mbili Kuna Siri kwa masilahi ya chama hizi zinaitwa Siri HALALI lakini Kuna zile ziri zinazokigharimu chama kama rushwa na uongo wa Mwenyekiti hizo ni Siri haramu na yeye hawezi acha kuzisema na kuzitafutia dawa ili kukiponya chama.
Soma Pia: Mdahalo wa Wagombea Uenyekiti CHADEMA Taifa
Lissu akijibu swali kuwa yeye hana "KABA" yaani hana siri,
Lissu amesema Kuna Siri aina mbili Kuna Siri kwa masilahi ya chama hizi zinaitwa Siri HALALI lakini Kuna zile ziri zinazokigharimu chama kama rushwa na uongo wa Mwenyekiti hizo ni Siri haramu na yeye hawezi acha kuzisema na kuzitafutia dawa ili kukiponya chama.
Soma Pia: Mdahalo wa Wagombea Uenyekiti CHADEMA Taifa