Lissu si wakumpa siri kabisa maana hana dhamana hata sekunde===
Lissu akijibu swala kuwa yeye hana "KABA" yaani hana siri,
Lissu amesema Kuna Siri aina mbili Kuna Siri kwa masilahi ya chama hizi zinaitwa Siri HALALI lakini zile ziri zinazokigjarimu chama kama rushwa na uongo wa Mwenyekiti hizo ni Siri haramu na yeye hawezi acha kuzisema na kuzitafutia dawa.
Soma Pia: Mdahalo wa Wagombea Uenyekiti CHADEMA Taifa
Siri za kula RUSHWA na UPIGAJI kaeni nazo hukohuko CCM.Lissu si wakumpa siri kabisa maana hana dhamana hata sekunde
Ni balaaSiri za kula RUSHWA na UPIGAJI kaeni nazo hukohuko CCM.
Ukweli unalipa zaidiKwa sababu ya kuwa mkweli Lissu awe mbaya?Ikiwa Watanzania tumejengwa kwa nguzo hii ndiyo maana CCM wanatawala kwani kule uongo ni sera..Enzi za mwendazake uomgo ulifika mahali kusikiliza chombo cha habari cha serikali ni kinyaa.
Siri gani uliyonayo wewe tofauti na ya uzinzi.Lissu si wakumpa siri kabisa maana hana dhamana hata sekunde
Yupo sahihi.===
Lissu akijibu swali kuwa yeye hana "KABA" yaani hana siri,
Lissu amesema Kuna Siri aina mbili Kuna Siri kwa masilahi ya chama hizi zinaitwa Siri HALALI lakini Kuna zile ziri zinazokigharimu chama kama rushwa na uongo wa Mwenyekiti hizo ni Siri haramu na yeye hawezi acha kuzisema na kuzitafutia dawa ili kukiponya chama.
Soma Pia: Mdahalo wa Wagombea Uenyekiti CHADEMA Taifa
Nazo zifichwe kwa maslahi ya nani?Siri nyingine ni zile kesi zilizokua zinaiandama nchi kimataifa
Sawa Mungu amtangulie LISSU===
Lissu akijibu swali kuwa yeye hana "KABA" yaani hana siri,
Lissu amesema Kuna Siri aina mbili Kuna Siri kwa masilahi ya chama hizi zinaitwa Siri HALALI lakini Kuna zile ziri zinazokigharimu chama kama rushwa na uongo wa Mwenyekiti hizo ni Siri haramu na yeye hawezi acha kuzisema na kuzitafutia dawa ili kukiponya chama.
Soma Pia: Mdahalo wa Wagombea Uenyekiti CHADEMA Taifa