Issue ni Je kuondoka kwa Msigwa, Chadema imeteteleka? Is Chadema crubmling due Msigwas's cross over the floor/defecting to CCM? haya ndiyo maswali ya Msingi.
Watu wa maana ni wengi lakini kuna mtu akiondoka mnatikisika. Msigwa alikuwa wa maana, sawa lakini umaana wake ni kwa kiwango cha kuwa mhimili wa chadema?
Je kutokuwepo kwa Nyerere kumeiathiri Tanzania? JIBU ni NDIYO. KWANINI? Nyerere angelikuwepo rasilimali za nchi zisingelichezewa kama zinavyochezewa namna hii!
Watu wa maana ni wengi lakini kuna mtu akiondoka mnatikisika. Msigwa alikuwa wa maana, sawa lakini umaana wake ni kwa kiwango cha kuwa mhimili wa chadema?
Je kutokuwepo kwa Nyerere kumeiathiri Tanzania? JIBU ni NDIYO. KWANINI? Nyerere angelikuwepo rasilimali za nchi zisingelichezewa kama zinavyochezewa namna hii!