Lissu, kuondoka Msigwa is not an issue, the issue should be “Is CHADEMA crumbling due to his defection”?

Lissu, kuondoka Msigwa is not an issue, the issue should be “Is CHADEMA crumbling due to his defection”?

Retired

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2016
Posts
44,629
Reaction score
83,056
Issue ni Je kuondoka kwa Msigwa, Chadema imeteteleka? Is Chadema crubmling due Msigwas's cross over the floor/defecting to CCM? haya ndiyo maswali ya Msingi.

Watu wa maana ni wengi lakini kuna mtu akiondoka mnatikisika. Msigwa alikuwa wa maana, sawa lakini umaana wake ni kwa kiwango cha kuwa mhimili wa chadema?

Je kutokuwepo kwa Nyerere kumeiathiri Tanzania? JIBU ni NDIYO. KWANINI? Nyerere angelikuwepo rasilimali za nchi zisingelichezewa kama zinavyochezewa namna hii!
 
kuondoka kwa msigwa hakujaathiri kiasi kikubwa utendaji wa chama ila huenda ikaleta negative effect kwenye mapambano yao,msigwa akitumia roho ngumu kwa chadema basi anytime chadema itakuwa inapigana dhidi ya dola. mfano msigwa akiongelea matendo mabaya ya ugaidi,upangangaji njama ovu za chadema hapo lazima chadema wakumbane na matatizo mengi.
 
Kuondoka kwa Mchungaji Msigwa kumeathiri Chadema na mfano wa Wazi ni jinsi Chadema Kanda ya Nyasa walivyoshindwa kufanya mkutano wa Siku ya vijana

Sugu ni legelege sana 🐼
 
Kuondoka kwa Mchungaji Msigwa kumeathiri Chadema na mfano wa Wazi ni jinsi Chadema Kanda ya Nyasa walivyoshindwa kufanya mkutano wa Siku ya vijana

Sugu ni legelege sana 🐼

Kuondoka kwa Mchungaji Msigwa kumeathiri Chadema na mfano wa Wazi ni jinsi Chadema Kanda ya Nyasa walivyoshindwa kufanya mkutano wa Siku ya vijana

Sugu ni legelege sana 🐼

kuondoka kwa msigwa hakujaathiri kiasi kikubwa utendaji wa chama ila huenda ikaleta negative effect kwenye mapambano yao,msigwa akitumia roho ngumu kwa chadema basi anytime chadema itakuwa inapigana dhidi ya dola. mfano msigwa akiongelea matendo mabaya ya ugaidi,upangangaji njama ovu za chadema hapo lazima chadema wakumbane na matatizo mengi.
sidhani , maana akisema ungo itabidi aburuzwe mahakamani kuchafua hadhi za watu, itamgeuka
 
Kuondoka kwa Mchungaji Msigwa kumeathiri Chadema na mfano wa Wazi ni jinsi Chadema Kanda ya Nyasa walivyoshindwa kufanya mkutano wa Siku ya vijana

Sugu ni legelege sana 🐼
Mkutano ulikuwa Mbeya not Iringa
 
Salute Mingi sana Mkuu.....mtu akijiunga na SHETANI maramoja anakuwa SHETANI
 
Jibu ni lile lile angekuwepo Nunda Msigwa Kongamano lingefanyika, yule Sugu ni bwanyenye 😄
1723992742019.png


huyu kuna siku atakuwa na zamu ya kufua zile nanii za nani vile? kama amefikishwa hapa kubeba masanamu, mtu mzima na familia, then, , hata zile nguo za naniliu atapangiwa zamu ya kufua ili apate uteuzi ili kulingia chadema
 
Back
Top Bottom