chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 16,859
- 28,112
Lissu alikuwa mmoja wa viongozi wa chama Cha wanasheria wa mazingira (LEAT) .
Chama hiki kilipokea mabilioni kutoka kwa wafadhili, na mara tu baada ya kupokea, chama hiki kiliuwawa kimyakimya na Hela ikaliwa.
Ni wazi Kuna ufisadi mkubwa ulifanyika ....ndugu yetu Lissu, hebu funguka ili upate moral authority kupambana na ufisadi
Chama hiki kilipokea mabilioni kutoka kwa wafadhili, na mara tu baada ya kupokea, chama hiki kiliuwawa kimyakimya na Hela ikaliwa.
Ni wazi Kuna ufisadi mkubwa ulifanyika ....ndugu yetu Lissu, hebu funguka ili upate moral authority kupambana na ufisadi