Lissu: Mimi sio mropokaji. CHADEMA walianza kuniita mropokaji baada ya kusema tunadanganywa kuhusu maridhiano

Lissu: Mimi sio mropokaji. CHADEMA walianza kuniita mropokaji baada ya kusema tunadanganywa kuhusu maridhiano

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakuu,

Baada ya kutuhumiwa na wanachama wenzake kuwa ni mropokaji na kwamba hawezi kutunza siri za chama, Tundu Lissu leo ame-fire back.

Soma Pia: Mdahalo wa Wagombea Uenyekiti CHADEMA Taifa

Lissu amesema kuwa tuhuma za kwamba yeye ni mropokaji zilianza mara tu baada ya kuanza kupinga maridhiano kati ya CHADEMA na Rais Samia na kwamba inashangaza sana kuwa ameshika nafasi nyingi ndani ya CHADEMA lakini hoja za kuwa mropokaji zimeanza miezi 2 iliyopita

 
Wakuu,

Baada ya kutuhumiwa na wanachama wenzake kuwa ni mropokaji na kwamba hawezi kutunza siri za chama, Tundu Lissu leo ame-fire back.

Lissu amesema kuwa tuhuma za kwamba yeye ni mropokaji zilianza mara tu baada ya kuanza kupinga maridhiano kati ya CHADEMA na Rais Samia na kwamba inashangaza sana kuwa ameshika nafasi nyingi ndani ya CHADEMA lakini hoja za kuwa mropokaji zimeanza miezi 2 iliyopita

View attachment 3204793
Lusungo Fundi Mchundo Retired
 
Ccm wampe lisu bilioni kumi aachane na siasa za Tanzania nadhani hatakataa.
 
1737143947999.jpg
 
Wakuu,

Baada ya kutuhumiwa na wanachama wenzake kuwa ni mropokaji na kwamba hawezi kutunza siri za chama, Tundu Lissu leo ame-fire back.

Lissu amesema kuwa tuhuma za kwamba yeye ni mropokaji zilianza mara tu baada ya kuanza kupinga maridhiano kati ya CHADEMA na Rais Samia na kwamba inashangaza sana kuwa ameshika nafasi nyingi ndani ya CHADEMA lakini hoja za kuwa mropokaji zimeanza miezi 2 iliyopita

Mlopokaji ni mlopokaji tu
 
Watu walikuwa wanampa benefit of the doubt. Ni hivi karibuni ndio ameonyesha kuwa yuko tayari kusema lolote lile hata kama yataathiri chama chake. Yeye na Msigwa ( hata akiwa bado CDM)wamefanya kazi nzuri zaidi ya kuibomoa CDM ( kwa kisingizio cha kumpa ukweli Mbowe) kuliko CCM. Hauchomi nyumba yako kwa sababu unahisi kuna nyoka ndani. Ki ukweli Lissu amewa disappoint watu wengi tu. Labda sio majority lakini wengi.

Amandla...
 
Back
Top Bottom