Lissu,Mzee Mbowe akikushinda umekwisha kisiasa

Makupa

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2011
Posts
6,822
Reaction score
4,034
Hakuna ubishi ya kwamba Lissu ni moja ya akili kubwa tulizonazo hapa nchini ukiondoa mapungufu ambayo hakunaga binadamu asiekuwa na mapungufu.

Kitendo cha Lissu kutaka kuwa Mwenyekiti wa chama chake na kuanza kuonekana kutishia utawala wa mzee Mbowe na dalili mbaya kwa chama na Lissu pia.
Mzee Mbowe atatutumia machawa na atabakia madarakani ,Je Lissu atakaposhindwa hata ile kiu yake ya kutaka kugombea urais ndio itakuwa imefika Mwisho .
 
Huko chini nimekagua na nimeona hakuna comment ya maana. Kwa hiyo ndugu msomaji ishia hapa hapa tu ili kuepuka kupoteza muda
 
Anamachaguo mengi tu,si lazima akae hapo hapo tu,he think outside the box.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…