Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndivyo mnavyodanganyana huko CCM-Samia? Kwamba tai nyekundu ni ishara ya mamlaka? Mamlaka ya kumwaga damu au?Najua hawa jamaa ni wa mikoani na hawajui protocol za mavazi kimamlaka. Tai nyekundu ni ishara ya mamlaka na huvaliwa na the topmost kimamlaka. Kama the top boss yupo, wa chini yake anatakiwa asivae tai nyekundu. Hili nalo mpaka mfundishwe?
View attachment 3252839
Tunataka viongozi wachapa kazi, hayo ya mavazi si kipaombele kwenye nchi yenye shida ya matundu ya Vyoo zaidi ya miaka 60 ya UhuruNajua hawa jamaa ni wa mikoani na hawajui protocol za mavazi kimamlaka. Tai nyekundu ni ishara ya mamlaka na huvaliwa na the topmost kimamlaka. Kama the top boss yupo, wa chini yake anatakiwa asivae tai nyekundu. Hili nalo mpaka mfundishwe?
View attachment 3252839
HAO WEZI AKINA MADELU NA HICHO KIBIBI WAO WANAFUATA PROTOCOL ZIMETUSAIDIA NN ZAID YA KUONGEZA WIZI NA UMASKINI NCHIN? MUHIMU SIO PROTOKAL MUHIMU NI WELEDINajua hawa jamaa ni wa mikoani na hawajui protocol za mavazi kimamlaka. Tai nyekundu ni ishara ya mamlaka na huvaliwa na the topmost kimamlaka. Kama the top boss yupo, wa chini yake anatakiwa asivae tai nyekundu. Hili nalo mpaka mfundishwe?
View attachment 3252839
Hiyo kwamba tai nyekundu ni mamlaka imeandikwa wapi?Najua hawa jamaa ni wa mikoani na hawajui protocol za mavazi kimamlaka. Tai nyekundu ni ishara ya mamlaka na huvaliwa na the topmost kimamlaka. Kama the top boss yupo, wa chini yake anatakiwa asivae tai nyekundu. Hili nalo mpaka mfundishwe?
View attachment 3252839
Kwani makamu Mwenyekiti sio mamlaka?Najua hawa jamaa ni wa mikoani na hawajui protocol za mavazi kimamlaka. Tai nyekundu ni ishara ya mamlaka na huvaliwa na the topmost kimamlaka. Kama the top boss yupo, wa chini yake anatakiwa asivae tai nyekundu. Hili nalo mpaka mfundishwe?
View attachment 3252839