Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 1,096
- 4,948
Nimependa na kukubali sana hatua ya Lisu kugombea uwenyekiti. Anagombea akija na siasa za akina Dr. Slaaa.
Anaibuka siku moja baada ya kuwa meza moja na mwenyekiti. Natamani kumwona nani atasimama nafasi ya makamu mwenyekiti
Mchuano huu unakwenda kufukua mjadala. Namwona Odemba ameanza mazungumzo yakuomba mdahalo wa wAgombea. Natamani aanze na wagombea wa makamu mwenyekiti then akutane na wenyeviti.
Naamini uchaguzi huu unakwenda kufufua fikra mpya. Wagombea wenye capacity ndani ya CCM wangetamani wapate fursa yakuwa sehemu ya mchakato huru kama anasimamia Mnyika ndani ya chama.
Ni muda sasa waushika madaraka wa qualities siyo uchawa. Nasubiri Tambo za Mbowe.
Anaibuka siku moja baada ya kuwa meza moja na mwenyekiti. Natamani kumwona nani atasimama nafasi ya makamu mwenyekiti
Mchuano huu unakwenda kufukua mjadala. Namwona Odemba ameanza mazungumzo yakuomba mdahalo wa wAgombea. Natamani aanze na wagombea wa makamu mwenyekiti then akutane na wenyeviti.
Naamini uchaguzi huu unakwenda kufufua fikra mpya. Wagombea wenye capacity ndani ya CCM wangetamani wapate fursa yakuwa sehemu ya mchakato huru kama anasimamia Mnyika ndani ya chama.
Ni muda sasa waushika madaraka wa qualities siyo uchawa. Nasubiri Tambo za Mbowe.