actually,Nchi ngum sana hii , leo ndo umekua mshauri wa Chadema , kikifa si ndo nafuu ya ccm hapa shida ipo wapi?
muerevu punguza mihemko na makasiriko bas, si ungekomaa kwenye hoja tu jinsi uonavyo mambo yalivyo?πOna hili tahira sasa la ccm
Iko hivi ccm na maviongoz yake yote yaking'oka hapo ndipo taifa hili litapga hatua kimaendeleo matatzo ya taifa hili si chadema wala si lissu wala mbowe
Ajabu ww mwanaccm unakomaa na chadema tu vyama vngne havipo si vpo na havina hao akina lissu na mbowe vpo wapi sasa.
Kwani kugawanyika kwa chadema na kukosa nguvu si ndo vzr kwenu ccm au. Hapa unataka mdanganya nani sasa.
Kutokana na uhuru wa mtu kutoa maoni yake humu jukwaani, basi andiko lako limesomeka. Lakini kwa jinsi uhalisia na ukweli wa mambo ulivyo, natambua hata akili yako mwenyewe inakusuta kwa hili andiko lako.CHADEMA iko dhaifu kama ilivyo, na inaendelea kudhoofika, kumong'onyoka na kugawanyika vipande vipande kwa haraka sana, kwa sababu ya manguli hawa wawili waandamizi, kila moja anajigamba kwamba ndie mwenye nguvu zaidi ya mwingine, ama ndie mwenye sauti.
Haki ya nafasi au cheo fulani, ushawishi na wafuasi wengi zaidi ya mwingine hali inayosananisha mvutano wa ndani kwa ndani.
Mambo haya hayasemwi lakini yapo ndani ya CHADEMA, yanafukuta na yanafanyika kimya kimya na kila upande ukiogopa na kuoinea haya, aibu na wivu upande mwingine. Na miongoni mwa wanaopata tabu zaidi Kisiasa mioyoni mwao, ni wale amabao wamejizuia, wamejitenga au hawajaamua wawe upande gani kati ya upande wa Mwemyekiti au Makamu Mwenyekiti taifa.
Soma Pia:
CHADEMA ndani Kwa ndani kunafukuta
Ndani ya chadema ni mvurugano tu, wapo walio bora na wasio bora, ndiyo shida kuu!
Hawa, wamekua wapweke, wamaekua kama yatima ndani ya chama chao wenyewe, walichokijenga kwa moyo, hali na mali, na kukipigania kufa na kupona kwa muda mrefu sana. Wengi wao hivi sasa, wameshaanza kuhamia vyama vingine vya Kisiasa, na wengine wengi kwa maelfu yao wanatafakari na kujipanga kufanya hivyo hivyo, endapo mafahali hawa hawatabanduka kwenye nafasi zao au kumaliza mivutano yao ya chini kwa chini na kubadilika.
Kisiasa,hata kama aking'atuka moja wao pekee, na mwingine akabaki uongozoni, bado hali ya cold war yani vita baridi ndani ya CHADEMA na hasa miongoni mwa pande za mafahali hawa wawili kuhujumiana itaendelea CHADEMA, na kwahivyo, chama kitaendelea kuteketea na kua dhaifu zaidi kadiri siku, miezi na miaka inavyosonga.
CHADEMA inahitaji damu mpya, fikra pevu mpya, uelekeo, mawazo, mipango, maono na pumzi mpya kuimarika tena na kua na nguvu. Vinginevyo hali hii ya kutokuaminiana au kutokua na uhakika hata ya nani atakua Mgombea Uraisi wake Uchaguzi ujao, itaendelea kukigharimu, kukipasua zaidi chama hicho na kuwatia hofu Wanachama wake.
Haya ni maoni na mtazamo wangu kitaalamu juu ya Siasa za CHADEMA kwa uchache sana.
unafikiria nini kuhusu mustakabali wa baadae wa Siasa za chama hicho?
MUNGU IBARIKI TANZANIA
Hizi ndio sera za CCMsasa mama dorcas si ungejikita kwenye hoja tu?
vipi malejesho, ushapeleka maana muda ndio huuπ
akili yangu haiwez kunisuta, nimejipanga kueleza ukweli kinagaubaga bila kujibakiza...Kutokana na uhuru wa mtu kutoa maoni yake humu jukwaani, basi andiko lako limesomeka. Lakini kwa jinsi uhalisia na ukweli wa mambo ulivyo, natambua hata akili yako mwenyewe inakusuta kwa hili andiko lako.
Kidogo ingalileta mantiki kama ungaliweza kuonyesha ni viongozi wapi vijana ambao wapo sasa ndani ya CDM ambao wanaweza kuhimili misukosoko ya kisiasa kama viongozi hawa wawili magwiji na manguli. Usichukulie uongozi ndani ya chama makini cha kisiasa kamq CDM ni sawa na nafasi ya ukiranja katika shule za msingi.
Ccm. CHAIN YA FAMILIA IKING'ATUKA TUUUCHADEMA iko dhaifu kama ilivyo, na inaendelea kudhoofika, kumong'onyoka na kugawanyika vipande vipande kwa haraka sana, kwa sababu ya manguli hawa wawili waandamizi, kila moja anajigamba kwamba ndie mwenye nguvu zaidi ya mwingine, ama ndie mwenye sauti.
Haki ya nafasi au cheo fulani, ushawishi na wafuasi wengi zaidi ya mwingine hali inayosananisha mvutano wa ndani kwa ndani.
Mambo haya hayasemwi lakini yapo ndani ya CHADEMA, yanafukuta na yanafanyika kimya kimya na kila upande ukiogopa na kuoinea haya, aibu na wivu upande mwingine. Na miongoni mwa wanaopata tabu zaidi Kisiasa mioyoni mwao, ni wale amabao wamejizuia, wamejitenga au hawajaamua wawe upande gani kati ya upande wa Mwemyekiti au Makamu Mwenyekiti taifa.
Soma Pia:
CHADEMA ndani Kwa ndani kunafukuta
Ndani ya chadema ni mvurugano tu, wapo walio bora na wasio bora, ndiyo shida kuu!
Hawa, wamekua wapweke, wamaekua kama yatima ndani ya chama chao wenyewe, walichokijenga kwa moyo, hali na mali, na kukipigania kufa na kupona kwa muda mrefu sana. Wengi wao hivi sasa, wameshaanza kuhamia vyama vingine vya Kisiasa, na wengine wengi kwa maelfu yao wanatafakari na kujipanga kufanya hivyo hivyo, endapo mafahali hawa hawatabanduka kwenye nafasi zao au kumaliza mivutano yao ya chini kwa chini na kubadilika.
Kisiasa,hata kama aking'atuka moja wao pekee, na mwingine akabaki uongozoni, bado hali ya cold war yani vita baridi ndani ya CHADEMA na hasa miongoni mwa pande za mafahali hawa wawili kuhujumiana itaendelea CHADEMA, na kwahivyo, chama kitaendelea kuteketea na kua dhaifu zaidi kadiri siku, miezi na miaka inavyosonga.
CHADEMA inahitaji damu mpya, fikra pevu mpya, uelekeo, mawazo, mipango, maono na pumzi mpya kuimarika tena na kua na nguvu. Vinginevyo hali hii ya kutokuaminiana au kutokua na uhakika hata ya nani atakua Mgombea Uraisi wake Uchaguzi ujao, itaendelea kukigharimu, kukipasua zaidi chama hicho na kuwatia hofu Wanachama wake.
Haya ni maoni na mtazamo wangu kitaalamu juu ya Siasa za CHADEMA kwa uchache sana.
unafikiria nini kuhusu mustakabali wa baadae wa Siasa za chama hicho?
MUNGU IBARIKI TANZANIA
Wewe upio kwenye vichochoro vya LUMUMBA ukivizia viposho vya buku7 Huna unachojua mjinga poli wewekwamba WENJE achukue nafasi ya Lisu na Mbowe uongozini right?π
Mnaota nyieCHADEMA ife tu na kusambaratika kama kioo kilichopigwa pasuka. Kwa sababu haiwezekani chama kazi yake imekuwa ni kupinga kila kitu na kila jambo linalofanywa na serikali pasipo hoja za msingi.
chama makini na imara hakiwezi kulalamika kuingiliwa na mamluki ispokua chama dhaifu, hiyo lazima uelewe....Ccm. CHAIN YA FAMILIA IKING'ATUKA TUUU
CCM INAKUWA CHAMA BORAA.
NA CHADEMA MBOYE NA LISSU WAKIENDELEA KUWEPO
CCM WATAENDELEA KUPUMULIA MASHINE
NDIO MAANA WAKATI WOTE WANAPANDIKIZA MAMMLUKI NDANI YA CHADEMA.
HAWAONDOKI HATA SIKU MOJA
NCHII HII INAWAHITAJII Mboye na lisuu
Kuliko mtu yeyotee
Ni bora mh Mboye awepo kuliko Kamati kuu ya CCM na UVCCM NA UWT na hayo makundi yotee
Mimi ni kada mtiifu sana ndani ya CCM
SEMA MWELEKEO WAKE Unanipa mashaka
Secretariat ya CCM mkoa wa Morogoro
Wameshindwa kujaza uwanja hadi kuzui wanafuzi kuendelea na masomo kwelii.
Seriously
Mbona nakuona LUMUMBA unatoka kufanya usafi chooni dada au nimekufananisha?mimi niko live JF baadae baadae nanenane Dodoma gentleman π
Outsider wanajua Sana Mambo ya ndani ya chadema! Kwanini mi ccm inaumia Sana Mbowe na lisu kuendelea kuongoza chadema?CHADEMA iko dhaifu kama ilivyo, na inaendelea kudhoofika, kumong'onyoka na kugawanyika vipande vipande kwa haraka sana, kwa sababu ya manguli hawa wawili waandamizi, kila moja anajigamba kwamba ndie mwenye nguvu zaidi ya mwingine, ama ndie mwenye sauti.
Haki ya nafasi au cheo fulani, ushawishi na wafuasi wengi zaidi ya mwingine hali inayosananisha mvutano wa ndani kwa ndani.
Mambo haya hayasemwi lakini yapo ndani ya CHADEMA, yanafukuta na yanafanyika kimya kimya na kila upande ukiogopa na kuoinea haya, aibu na wivu upande mwingine. Na miongoni mwa wanaopata tabu zaidi Kisiasa mioyoni mwao, ni wale amabao wamejizuia, wamejitenga au hawajaamua wawe upande gani kati ya upande wa Mwemyekiti au Makamu Mwenyekiti taifa.
Soma Pia:
CHADEMA ndani Kwa ndani kunafukuta
Ndani ya chadema ni mvurugano tu, wapo walio bora na wasio bora, ndiyo shida kuu!
Hawa, wamekua wapweke, wamaekua kama yatima ndani ya chama chao wenyewe, walichokijenga kwa moyo, hali na mali, na kukipigania kufa na kupona kwa muda mrefu sana. Wengi wao hivi sasa, wameshaanza kuhamia vyama vingine vya Kisiasa, na wengine wengi kwa maelfu yao wanatafakari na kujipanga kufanya hivyo hivyo, endapo mafahali hawa hawatabanduka kwenye nafasi zao au kumaliza mivutano yao ya chini kwa chini na kubadilika.
Kisiasa,hata kama aking'atuka moja wao pekee, na mwingine akabaki uongozoni, bado hali ya cold war yani vita baridi ndani ya CHADEMA na hasa miongoni mwa pande za mafahali hawa wawili kuhujumiana itaendelea CHADEMA, na kwahivyo, chama kitaendelea kuteketea na kua dhaifu zaidi kadiri siku, miezi na miaka inavyosonga.
CHADEMA inahitaji damu mpya, fikra pevu mpya, uelekeo, mawazo, mipango, maono na pumzi mpya kuimarika tena na kua na nguvu. Vinginevyo hali hii ya kutokuaminiana au kutokua na uhakika hata ya nani atakua Mgombea Uraisi wake Uchaguzi ujao, itaendelea kukigharimu, kukipasua zaidi chama hicho na kuwatia hofu Wanachama wake.
Haya ni maoni na mtazamo wangu kitaalamu juu ya Siasa za CHADEMA kwa uchache sana.
unafikiria nini kuhusu mustakabali wa baadae wa Siasa za chama hicho?
MUNGU IBARIKI TANZANIA