Patriot
JF-Expert Member
- Feb 11, 2008
- 5,705
- 4,703
Kazi nzuri bw. Lissu, bila kujali maamuzi ya wapiga kura na bila kujali ubora wa sera ambao kwa kweli kila chama kuna udhaifu.
Lakini, wako wapi unaowategemea kushika nafasi za ubunge? Sioni wagombea wa CHADEMA katika harakati zao za kampeni!
Je, hakuna matumaini ya ushindi au ukubwa wa kampeni zako umewafunika wagombea un´bunge?
Lakini, wako wapi unaowategemea kushika nafasi za ubunge? Sioni wagombea wa CHADEMA katika harakati zao za kampeni!
Je, hakuna matumaini ya ushindi au ukubwa wa kampeni zako umewafunika wagombea un´bunge?