Lissu ni kama ‘steringi’ katika muvi ya ‘action’

Lissu ni kama ‘steringi’ katika muvi ya ‘action’

lee Vladimir cleef

JF-Expert Member
Joined
Feb 5, 2013
Posts
9,571
Reaction score
35,475
Movie ilanza steringi alitoka kazini na dereva wake, alipofika maeneo ya nyumbai akashambuliwa na maadui kwa kila Aina ya silaha.

Maadui wakakimbia wakajua wamemuua, wamemaliza.

Wakaenda kwenye kambi Yao wakasherehekea, huku wakimpa taarifa kubwa la maadui kuwa wmemaliza kazi. Kitongoji chote na miji ya jirani kukawa na simani,hofu na kukata tamaa,wakazi was kitongoji wakawa wakilia kimyakimya,kwani Genge la maadui lilikua na Tabia ya kutesa watu kwenye kitongoji na vijijini.

Steringi ndio alikua akiwapa moyo na akiweza kuwakemea maadui, alikwamisha dili za maadui.

Kubwa la maadui likaendelea kutamba kila Aina ya Tambo na kuendelea kukosesha raha Wana kitongoji na wanavijiji.
Habari za steingi ndio zikawa zimefika mwisho.

Siku zikawa zinapita na taarifa tofautitofauti zikawa zinaibuka kidogokidogo kuwa steringi hajafa ,kubwa la maadui likawa na mashaka, lakini lilipofatilia taarifa likaambiwa hajiwezi kwa lolote,Ni kwamba hawezi hata kusimama,hivyo hawezi hata kurusha ngumu,kwisha habari yake.

Wanakijiji na wanakitongoji wakata tamaa. Majambazi yakaendelea kutamba kitongoji na vijiji vya jirani, kila yalichotaka yalichukua kibabe,Tena yalichukua hadharani bila kuogopa mtu Wala kitu.

Kila majambazi yakionekana kwa mbali yanakuja na magari Yao, wanakitongoji walikimbilia ndani, majumbani mwao, walifunga milango na kuzuia na vitu vizito milangoni na kwenda madirishani kuchungulia majambazi watafanya Nini.

Wakazi walikata tamaa kabisa,hofu,mashaka na uoga vilitamalaki.

Baada ya miaka takriban mitatu hivi,wakazi wa kitongoji na vijiji wakiwa kwenye shughulizao mbalimbali za kujitafutia maisha,wengine wakiwa mashambani,wengine masokoni na wengine kwenye shughuli nyingine wakamuona mtu mmoja kwa mbaaaaaaali,akija kwa kutembea huku akichechemea,alikua akija kutokea njia itelemshayo ikishuka toka kilimani.

Alikua akitembea kwa kujikongoja na kibegi chake mgongoni. Watu waliokua huko atokeako wakawa wakimfananisha,wakaanza kuoneshana,wengine wakamsogelea kila na yeye alipokua akisoge.

Waliendela kumsogelea naye akija taratibu kwa upole zaidi.
Wakazi wakaanza kupiga makelele ya kumtambua,watu wengine wakamzunguka kuhakikisha kama ndiye yeye.

Baada ya kugundua Kuna wengine walifurahi na wengine waliogopa,walijua majambazi wakijua karudi wakuja kuamsha timbwili la kufa mtu ili kummaliza hivyo kupelekea kitongoji kuteketea.wengi walirudi majumbani,na wengine walitoroka kwenda Miki ya mbali ili kuepuka maangamizi.

Ikumbukwe kwamba kuna Marafiki wa steringi walisalimu amri na kujiunga na maadui,hivyo kupelekea maadui kuwa na Siri nyinginza steringi na za kitongoji,na ukizingatia kuwa steringi anachechemea amevunjwa vunjwa viingo, wakazi wakawa hawana matumaini tena ya hata kujaribu kukabiliana na Genge la maadui.

Wengi walinywea,wengine walijificha na Kama nilivyosema hapo juu wengi walisepa.

Steringi akaanza kuwaelimisha wakazi wachache Sana waliokua na ujasiri kidogo wa kubaki na na kumsikiliza ,aliwaambia kuwa,yeye amekuja kuwakomboa kutoka mikono ya majambazi,katika hao wachache waliobaki kumsikiliza na wengine kumshangaa kwa kuokoka kwakwe,wachache wao Tena wakaona huyu kachanganyikiwa huyu,pengine like Shambulio limempa uchizi,baadhi Yao wakondoka,likabaki kundi dogo sana likimsikiliza na kumuunga mkono.

Kaa kutumia haohao wachache waliobaki akaanza kuwapa mikakati ya kulifutilia mbali Genge la majambazi,
Aliwapa mbinu,mipango na njia atakazo zitumia kuliangamiza Genge Hilo.

Alianzisha mafunzo yanukakamavu na mbinu za kukabiliana Ana kwa Ana,uso kwa uso,mkono kwa mkono kwa uchache wao,na udhaifu wao dhidi ya maadui wenye kila Aina ya zana ,fedha na hila.

Steringi akapanga watu wake vizuri kila Kona kukusanya taarifa na na kutoa ishala pale adui anapokuja ili kuanza kuangamiza adui mmoja baada ya mwingine.

Kweli bana.adui aktuma ujumbe wa vitisho,maadui wakaja wakapata kipigo kimoja matata Sana,wakarudi mbio kutoa taarifa kwa kubwa lao na kuongeza idadi ya wapiganaji wake.

Wakaja Mara ya pili wakiwa wengi zaidi,wakapata pigo Kali kuliko la kwanza ,maadui wakachanganyikiwa,baada ya kuona vipigo wanavyopewa maadui,wakazi wa kitongoji na vijiji wakanza kufungua milango,na kujitokeza,wale waliokimbia wakaanza kurudi na hatimae Steringi akapata uungwaji mkono na wanakijiji na wanakitongoji wengi.

Ndipo mashambulizi yakabadilika na kuelekea kwa adui kwa nguvu.Hivi Sasa Stringing na watu wake wanakomboa Kijiji kimoja kila baada ya kingine, na sasa hivi Steringi Yuko kwenye eneo la maadui anapiga vibaya Sana.

Watu imani imerudi wengi wamesema watajitokeza kwa wingi kwenda kuteketeza makazi ya Kubwa la maadui.
Siku iliyopangwa kuvamia ngome ya Kubwa la maadui Ni tarehe 28-10-2020.
 
Kama Lissu ndiyo 'Raisi' wa Tanzania kwa 2020-2025 basi Mim nasema Ndugu Dkt. Magufuli ndiyo 'Rais' wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Genta I bet! Magufuli is not our President 2020 - 2025. Kwa niliyosikia yanayoendelea ndani ya Chama cha mapinduzi tena kwa usiri mkubwa sana. No way. Hashindi. Mbaya zaidi wakubwa waneshakuwashia taa nyekundu. Anayopitia haya na tofauti na aliyopitia Kabila hadi akaamua kutoka na Aliyopitia Nkurunziza hadi nae akaamua aage tu!!

Mambo ni magumu sana kwa Magu, usione kina bashiru wanajilopokea tu hovyo huko Kagera
 
Genta I bet! Magufuli is not our President 2020 - 2025. Kwa niliyosikia yanayoendelea ndani ya Chama cha mapinduzi tena kwa usiri mkubwa sana. No way. Hashindi. Mbaya zaidi wakubwa waneshakuwashia taa nyekundu. Anayopitia haya na tofauti na aliyopitia Kabila hadi akaamua kutoka na Aliyopitia Nkurunziza hadi nae akaamua aage tu!!

Mambo ni magumu sana kwa Magu, usione kina bashiru wanajilopokea tu hovyo huko Kagera

Siku hizi na Wewe umeanza kuwa na Ratiba ya Kuvuta Bange / Bangi Mkuu?
 
Kama Lissu ndiyo 'Raisi' wa Tanzania kwa 2020-2025 basi Mim nasema Ndugu John P. Magufuli ndiyo 'Rais' wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Maccm wapeni semina wagombea wenu wanayoyaongea huku chini ni mambo ya aibu mnoo..
Unakuta Diwani naye anazungumzia mambo ya kununua ndege, sasa Diwani na ndege wapi na wapi.
Labda kama ni diwani wa Kipawa
 
Movie ilanza steringi alitoka kazini na dereva wake,alipofika maeneo ya nyumbai akashambuliwa na maadui kwa kila Aina ya silaha.

Maadui wakakimbia wakajua wamemuua,wammaliza.

Wakaenda kwenye kambi Yao wakasherehekea,huku wakimpa taarifa kubwa la maadui kuwa wmemaliza kazi.
Kitongoji chote na miji ya jirani kukawa na simani,hofu na kukata tamaa,wakazi was kitongoji wakawa wakilia kimyakimya,kwani Genge la maadui lilikua na Tabia ya kutesa watu kwenye kitongoji na vijijini.

Steringi ndio alikua akiwapa moyo na akiweza kuwakemea maadui,alikwamisha dili za maadui.

Kubwa la maadui likaendelea kutamba kila Aina ya Tambo na kuendelea kukosesha raha Wana kitongoji na wanavijiji.
Habari za steingi ndio zikawa zimefika mwisho.

Siku zikawa zinapita,na taarifa tofautitofauti zikawa zinaibuka kidogokidogo kuwa steringi hajafa,kubwa la maadui likawa na mashaka,lakini lilipofatilia taarifa likaambiwa hajiwezi kwa lolote,Ni kwamba hawezi hata kusimama,hivyo hawezi hata kurusha ngumu,kwisha habari yake.

Wanakijiji na wanakitongoji wakata tamaa.Majambazi yakaendelea kutamba kitongoji na vijiji vya jirani,kila yalichotaka yalichukua kibabe,Tena yalichukua hadharani bila kuogopa mtu Wala kitu.

Kila majambazi yakionekana kwa mbali yanakuja na magari Yao,wanakitongoji walikimbilia ndani,majumbani mwao,walifunga milango na kuzuia na vitu vizito milangoni na kwenda madirishani kuchungulia majambazi watafanya Nini.

Wakazi walikata tamaa kabisa,hofu,mashaka na uoga vilitamalaki.

Baada ya miaka takriban mitatu hivi,wakazi wa kitongoji na vijiji wakiwa kwenye shughulizao mbalimbali za kujitafutia maisha,wengine wakiwa mashambani,wengine masokoni na wengine kwenye shughuli nyingine wakamuona mtu mmoja kwa mbaaaaaaali,akija kwa kutembea huku akichechemea,alikua akija kutokea njia itelemshayo ikishuka toka kilimani.

Alikua akitembea kwa kujikongoja na kibegi chake mgongoni. Watu waliokua huko atokeako wakawa wakimfananisha,wakaanza kuoneshana,wengine wakamsogelea kila na yeye alipokua akisoge.

Waliendela kumsogelea naye akija taratibu kwa upole zaidi.
Wakazi wakaanza kupiga makelele ya kumtambua,watu wengine wakamzunguka kuhakikisha kama ndiye yeye.

Baada ya kugundua Kuna wengine walifurahi na wengine waliogopa,walijua majambazi wakijua karudi wakuja kuamsha timbwili la kufa mtu ili kummaliza hivyo kupelekea kitongoji kuteketea.wengi walirudi majumbani,na wengine walitoroka kwenda Miki ya mbali ili kuepuka maangamizi.

Ikumbukwe kwamba kuna Marafiki wa steringi walisalimu amri na kujiunga na maadui,hivyo kupelekea maadui kuwa na Siri nyinginza steringi na za kitongoji,na ukizingatia kuwa steringi anachechemea amevunjwa vunjwa viingo, wakazi wakawa hawana matumaini tena ya hata kujaribu kukabiliana na Genge la maadui.

Wengi walinywea,wengine walijificha na Kama nilivyosema hapo juu wengi walisepa.

Steringi akaanza kuwaelimisha wakazi wachache Sana waliokua na ujasiri kidogo wa kubaki na na kumsikiliza ,aliwaambia kuwa,yeye amekuja kuwakomboa kutoka mikono ya majambazi,katika hao wachache waliobaki kumsikiliza na wengine kumshangaa kwa kuokoka kwakwe,wachache wao Tena wakaona huyu kachanganyikiwa huyu,pengine like Shambulio limempa uchizi,baadhi Yao wakondoka,likabaki kundi dogo sana likimsikiliza na kumuunga mkono.

Kaa kutumia haohao wachache waliobaki akaanza kuwapa mikakati ya kulifutilia mbali Genge la majambazi,
Aliwapa mbinu,mipango na njia atakazo zitumia kuliangamiza Genge Hilo.

Alianzisha mafunzo yanukakamavu na mbinu za kukabiliana Ana kwa Ana,uso kwa uso,mkono kwa mkono kwa uchache wao,na udhaifu wao dhidi ya maadui wenye kila Aina ya zana ,fedha na hila.

Steringi akapanga watu wake vizuri kila Kona kukusanya taarifa na na kutoa ishala pale adui anapokuja ili kuanza kuangamiza adui mmoja baada ya mwingine.
Kweli bana.adui aktuma ujumbe wa vitisho,maadui wakaja wakapata kipigo kimoja matata Sana,wakarudi mbio kutoa taarifa kwa kubwa lao na kuongeza idadi ya wapiganaji wake.

Wakaja Mara ya pili wakiwa wengi zaidi,wakapata pigo Kali kuliko la kwanza ,maadui wakachanganyikiwa,baada ya kuona vipigo wanavyopewa maadui,wakazi wa kitongoji na vijiji wakanza kufungua milango,na kujitokeza,wale waliokimbia wakaanza kurudi na hatimae Steringi akapata uungwaji mkono na wanakijiji na wanakitongoji wengi.
Ndipo mashambulizi yakabadilika na kuelekea kwa adui kwa nguvu.Hivi Sasa Stringing na watu wake wanakomboa Kijiji kimoja kila baada ya kingine, na sasa hivi Steringi Yuko kwenye eneo la maadui anapiga vibaya Sana.
Watu imani imerudi wengi wamesema watajitokeza kwa wingi kwenda kuteketeza makazi ya Kubwa la maadui.
Siku iliyopangwa kuvamia ngome ya Kubwa la maadui Ni tarehe 28-10-2020.
Duuuh! nimekupenda ghafla!!
 
Lissu muongomuongo tu, anapinga kila kitu kisicho upande wake, waongo utawajua tu
 
That was cowardly assassination attempt planned ...carried out by coward ameteurs..running away in haste rush without confirming the completion of the mission...what a grave mistake....!!!

..wale hawakuwa amateurs.

..bunduki iliyotumika pale na mazingira yale siyo rahisi kwa kila risasi mbili zinazofyatuliwa moja inapiga target.

..mission ile ilishakamilika ila ndiyo hivyo tena MUNGU akaingilia.
 
Movie ilanza steringi alitoka kazini na dereva wake, alipofika maeneo ya nyumbai akashambuliwa na maadui kwa kila Aina ya silaha.

Maadui wakakimbia wakajua wamemuua, wamemaliza.

Wakaenda kwenye kambi Yao wakasherehekea, huku wakimpa taarifa kubwa la maadui kuwa wmemaliza kazi. Kitongoji chote na miji ya jirani kukawa na simani,hofu na kukata tamaa,wakazi was kitongoji wakawa wakilia kimyakimya,kwani Genge la maadui lilikua na Tabia ya kutesa watu kwenye kitongoji na vijijini.

Steringi ndio alikua akiwapa moyo na akiweza kuwakemea maadui, alikwamisha dili za maadui.

Kubwa la maadui likaendelea kutamba kila Aina ya Tambo na kuendelea kukosesha raha Wana kitongoji na wanavijiji.
Habari za steingi ndio zikawa zimefika mwisho.

Siku zikawa zinapita na taarifa tofautitofauti zikawa zinaibuka kidogokidogo kuwa steringi hajafa ,kubwa la maadui likawa na mashaka, lakini lilipofatilia taarifa likaambiwa hajiwezi kwa lolote,Ni kwamba hawezi hata kusimama,hivyo hawezi hata kurusha ngumu,kwisha habari yake.

Wanakijiji na wanakitongoji wakata tamaa. Majambazi yakaendelea kutamba kitongoji na vijiji vya jirani, kila yalichotaka yalichukua kibabe,Tena yalichukua hadharani bila kuogopa mtu Wala kitu.

Kila majambazi yakionekana kwa mbali yanakuja na magari Yao, wanakitongoji walikimbilia ndani, majumbani mwao, walifunga milango na kuzuia na vitu vizito milangoni na kwenda madirishani kuchungulia majambazi watafanya Nini.

Wakazi walikata tamaa kabisa,hofu,mashaka na uoga vilitamalaki.

Baada ya miaka takriban mitatu hivi,wakazi wa kitongoji na vijiji wakiwa kwenye shughulizao mbalimbali za kujitafutia maisha,wengine wakiwa mashambani,wengine masokoni na wengine kwenye shughuli nyingine wakamuona mtu mmoja kwa mbaaaaaaali,akija kwa kutembea huku akichechemea,alikua akija kutokea njia itelemshayo ikishuka toka kilimani.

Alikua akitembea kwa kujikongoja na kibegi chake mgongoni. Watu waliokua huko atokeako wakawa wakimfananisha,wakaanza kuoneshana,wengine wakamsogelea kila na yeye alipokua akisoge.

Waliendela kumsogelea naye akija taratibu kwa upole zaidi.
Wakazi wakaanza kupiga makelele ya kumtambua,watu wengine wakamzunguka kuhakikisha kama ndiye yeye.

Baada ya kugundua Kuna wengine walifurahi na wengine waliogopa,walijua majambazi wakijua karudi wakuja kuamsha timbwili la kufa mtu ili kummaliza hivyo kupelekea kitongoji kuteketea.wengi walirudi majumbani,na wengine walitoroka kwenda Miki ya mbali ili kuepuka maangamizi.

Ikumbukwe kwamba kuna Marafiki wa steringi walisalimu amri na kujiunga na maadui,hivyo kupelekea maadui kuwa na Siri nyinginza steringi na za kitongoji,na ukizingatia kuwa steringi anachechemea amevunjwa vunjwa viingo, wakazi wakawa hawana matumaini tena ya hata kujaribu kukabiliana na Genge la maadui.

Wengi walinywea,wengine walijificha na Kama nilivyosema hapo juu wengi walisepa.

Steringi akaanza kuwaelimisha wakazi wachache Sana waliokua na ujasiri kidogo wa kubaki na na kumsikiliza ,aliwaambia kuwa,yeye amekuja kuwakomboa kutoka mikono ya majambazi,katika hao wachache waliobaki kumsikiliza na wengine kumshangaa kwa kuokoka kwakwe,wachache wao Tena wakaona huyu kachanganyikiwa huyu,pengine like Shambulio limempa uchizi,baadhi Yao wakondoka,likabaki kundi dogo sana likimsikiliza na kumuunga mkono.

Kaa kutumia haohao wachache waliobaki akaanza kuwapa mikakati ya kulifutilia mbali Genge la majambazi,
Aliwapa mbinu,mipango na njia atakazo zitumia kuliangamiza Genge Hilo.

Alianzisha mafunzo yanukakamavu na mbinu za kukabiliana Ana kwa Ana,uso kwa uso,mkono kwa mkono kwa uchache wao,na udhaifu wao dhidi ya maadui wenye kila Aina ya zana ,fedha na hila.

Steringi akapanga watu wake vizuri kila Kona kukusanya taarifa na na kutoa ishala pale adui anapokuja ili kuanza kuangamiza adui mmoja baada ya mwingine.

Kweli bana.adui aktuma ujumbe wa vitisho,maadui wakaja wakapata kipigo kimoja matata Sana,wakarudi mbio kutoa taarifa kwa kubwa lao na kuongeza idadi ya wapiganaji wake.

Wakaja Mara ya pili wakiwa wengi zaidi,wakapata pigo Kali kuliko la kwanza ,maadui wakachanganyikiwa,baada ya kuona vipigo wanavyopewa maadui,wakazi wa kitongoji na vijiji wakanza kufungua milango,na kujitokeza,wale waliokimbia wakaanza kurudi na hatimae Steringi akapata uungwaji mkono na wanakijiji na wanakitongoji wengi.

Ndipo mashambulizi yakabadilika na kuelekea kwa adui kwa nguvu.Hivi Sasa Stringing na watu wake wanakomboa Kijiji kimoja kila baada ya kingine, na sasa hivi Steringi Yuko kwenye eneo la maadui anapiga vibaya Sana.

Watu imani imerudi wengi wamesema watajitokeza kwa wingi kwenda kuteketeza makazi ya Kubwa la maadui.
Siku iliyopangwa kuvamia ngome ya Kubwa la maadui Ni tarehe 28-10-2020.


Kati ya mwaka 2016 na 2017, nilikutana na watu wawili, mmoja ni rafiki yangu, na mwingine mtu wa makamo hivi ambaye sikumfahamu ila huyu rafiki alimtambulisha kuwa ni ndugu yake (uncle). Basi buana, tukapiga story mbili tatu, tuikuwa car wash. Sasa story ikafikia mambo ya siasa, huyu uncle wa rafiki yangu akasema Mecco atakuwa raisi wa awamu moja, sikumwelewa, ila sasa naanza kumwelewa. Sijui aliona nini kwa mbali vile
 
..wale hawakuwa amateurs.

..bunduki iliyotumika pale na mazingira yale siyo rahisi kwa kila risasi mbili zinazofyatuliwa moja inapiga target.

..mission ile ilishakamilika ila ndiyo hivyo tena MUNGU akaingilia.
Natamani kumjua mpiga risasi alipo
 



Apparently Stirling wenu akili zake azitoshi akiwa mtu anaepinga ujenzi wa miundombinu kwa madai ya maendeleo ya vitu.

Huko kwenye campaign baada ya kuelewa matwaka ya watanzania anatoa ahadi za kujenga miundombinu, hapo hapo anapinga Magu kufanya hiyo kazi.

Wafuasi wa CDM ni wa kwenda kupimwa akili wote hamnazo.
 
Back
Top Bottom