Pre GE2025 Lissu ni kweli Dkt. Slaa sio tishio kwa serikali lakini hana adabu. Huwezi kumzushia Rais mambo ya kijinga

Pre GE2025 Lissu ni kweli Dkt. Slaa sio tishio kwa serikali lakini hana adabu. Huwezi kumzushia Rais mambo ya kijinga

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Joined
Nov 27, 2024
Posts
43
Reaction score
127
Dkt Slaa amedai kuwa Rais aliongea na Mbowe na akampa mzigo wa kumsaidia kushinda uenyekiti wa Chadema, watanzania wamesoma habari hizo, wameona, wamesikia na wanaambiana kwenye vijiwe vya kahawa, navyomfahamu Mhe.Dkt Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania sio mtu anayependa sana kujibu hoja za taka taka, amekuwa akisingiziwa kwa mengi sana lakini mama wa watu yeye anahangaika na kuboresha maisha ya watu na kuitangaza nchi in the international arena.

Hata wewe Lissu hutamsikia Mhe Rais akikujibu, atakayekuwa anakujibu wewe ni mbabe wa vita Steven Wassira injini ya bodi, Mhe Rais ana mambo mengi ya kufanya katika nchi hii, we kakae fungate siku 5 iwe mwezi au mwaka lakini lazima uwatimizie Wana Chadema wako ile ahadi kuwa no reform no election, huku mwamba Wassira kashakwambia huko umepotea.

Mshaurini Dkt Slaa awe na kauli nzuri dhidi ya serikali, hakuna serikali inayokataa kukosolewa, lakini ukosoaji lazima uwe constructive, huwezi kumsingizia kiongozi wa nchi kwa mambo yenu wenyewe ndani ya Chadema ili TU mpate wafusasi wa kuwaunga mkono.

Tuliambiwa na Mzee Nyerere Baba wa Taifa kuwa ukiona kiongozi anatafuta influence kwa wananchi kwa kutumia ukabila, urangi, ubaguzi, uongo, kufitinisha watu kama alivyofanya Lissu hadi akamshinda Mbowe, kulaghai watu basi kiongozi hafai.

Kila mtu anajua Lissu ameshindwa uchaguzi kwa sababu za kufitinisha, kugombanisha watu, kupakazia watu maneno ya uongo, hapo hapo Slaa naye akajifanya kudai kuwa Mhe Rais anaongea na Mbowe Kila siku na amempa mzigo wa kushinda uchaguzi, maneno ambayo ni Mahakama TU ndio itaamua.

Kwa hiyo katika hili tuiachie Mahakama, wenyewe mnasemaga the court will prove beyond any reasonable doubt kama ana hatia ama la.

Ukisema huwezi kumshtakiwa Dkt Slaa kwa sababu sio tishio kwa serikali kwani wewe Lissu una utishio Gani kwa serikali wewe?

Hadi mama yetu amekuruhusu kurudi nchini uendelee na maisha Yako na Siasa zako za majitaka maana yake serikali ya CCM inakuona wewe wa kawaida sana.

Walikuwepo akina Mrema, Mtikila, Kassanga Tumbo, Abdulrahman Babu, Mabere Marando, Prince Bagenda, Dkt Lamwai, Ringo Tenga nk, where are they now? Wewe Lissu na Maalim Self nani ameisumbua serikali, wewe hata robo hujafikia.

Pia soma
 
Anaisumbuaje serikali ?
Kuongea
Kutetea
Kupinga
Kuanika

Anaisumbua vipi ?.
 
Dkt Slaa amedai kuwa Rais aliongea na Mbowe na akampa mzigo wa kumsaidia kushinda uenyekiti wa Chadema, watanzania wamesoma habari hizo, wameona, wamesikia na wanaambiana kwenye vijiwe vya kahawa, navyomfahamu Mhe.Dkt Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania sio mtu anayependa sana kujibu hoja za taka taka, amekuwa akisingiziwa kwa mengi sana lakini mama wa watu yeye anahangaika na kuboresha maisha ya watu na kuitangaza nchi in the international arena.

Hata wewe Lissu hutamsikia Mhe Rais akikujibu, atakayekuwa anakujibu wewe ni mbabe wa vita Steven Wassira injini ya bodi, Mhe Rais ana mambo mengi ya kufanya katika nchi hii, we kakae fungate siku 5 iwe mwezi au mwaka lakini lazima uwatimizie Wana Chadema wako ile ahadi kuwa no reform no election, huku mwamba Wassira kashakwambia huko umepotea.

Mshaurini Dkt Slaa awe na kauli nzuri dhidi ya serikali, hakuna serikali inayokataa kukosolewa, lakini ukosoaji lazima uwe constructive, huwezi kumsingizia kiongozi wa nchi kwa mambo yenu wenyewe ndani ya Chadema ili TU mpate wafusasi wa kuwaunga mkono.

Tuliambiwa na Mzee Nyerere Baba wa Taifa kuwa ukiona kiongozi anatafuta influence kwa wananchi kwa kutumia ukabila, urangi, ubaguzi, uongo, kufitinisha watu kama alivyofanya Lissu hadi akamshinda Mbowe, kulaghai watu basi kiongozi hafai.

Kila mtu anajua Lissu ameshindwa uchaguzi kwa sababu za kufitinisha, kugombanisha watu, kupakazia watu maneno ya uongo, hapo hapo Slaa naye akajifanya kudai kuwa Mhe Rais anaongea na Mbowe Kila siku na amempa mzigo wa kushinda uchaguzi, maneno ambayo ni Mahakama TU ndio itaamua.

Kwa hiyo katika hili tuiachie Mahakama, wenyewe mnasemaga the court will prove beyond any reasonable doubt kama ana hatia ama la.

Ukisema huwezi kumshtakiwa Dkt Slaa kwa sababu sio tishio kwa serikali kwani wewe Lissu una utishio Gani kwa serikali wewe?

Hadi mama yetu amekuruhusu kurudi nchini uendelee na maisha Yako na Siasa zako za majitaka maana yake serikali ya CCM inakuona wewe wa kawaida sana.

Walikuwepo akina Mrema, Mtikila, Kassanga Tumbo, Abdulrahman Babu, Mabere Marando, Prince Bagenda, Dkt Lamwai, Ringo Tenga nk, where are they now? Wewe Lissu na Maalim Self nani ameisumbua serikali, wewe hata robo hujafikia.
Noted lkn wewe ni chawa mkubwa. Una point lakini punguza uchawa
 
Yaani umechanganya Wali,Mawe,Nyanya chungu na mafuta ya taa humo humo

Inawezekana ni kweli amemtuhumu Rais hayo unayoyasema ila kwa mujibu wa Katiba, hiyo TUHUMA ina dhamana..ndipo hoja ya Mwenyekiti Lissu ilipo
 
Dkt Slaa amedai kuwa Rais aliongea na Mbowe na akampa mzigo wa kumsaidia kushinda uenyekiti wa Chadema, watanzania wamesoma habari hizo, wameona, wamesikia na wanaambiana kwenye vijiwe vya kahawa, navyomfahamu Mhe.Dkt Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania sio mtu anayependa sana kujibu hoja za taka taka, amekuwa akisingiziwa kwa mengi sana lakini mama wa watu yeye anahangaika na kuboresha maisha ya watu na kuitangaza nchi in the international arena.

Hata wewe Lissu hutamsikia Mhe Rais akikujibu, atakayekuwa anakujibu wewe ni mbabe wa vita Steven Wassira injini ya bodi, Mhe Rais ana mambo mengi ya kufanya katika nchi hii, we kakae fungate siku 5 iwe mwezi au mwaka lakini lazima uwatimizie Wana Chadema wako ile ahadi kuwa no reform no election, huku mwamba Wassira kashakwambia huko umepotea.

Mshaurini Dkt Slaa awe na kauli nzuri dhidi ya serikali, hakuna serikali inayokataa kukosolewa, lakini ukosoaji lazima uwe constructive, huwezi kumsingizia kiongozi wa nchi kwa mambo yenu wenyewe ndani ya Chadema ili TU mpate wafusasi wa kuwaunga mkono.

Tuliambiwa na Mzee Nyerere Baba wa Taifa kuwa ukiona kiongozi anatafuta influence kwa wananchi kwa kutumia ukabila, urangi, ubaguzi, uongo, kufitinisha watu kama alivyofanya Lissu hadi akamshinda Mbowe, kulaghai watu basi kiongozi hafai.

Kila mtu anajua Lissu ameshindwa uchaguzi kwa sababu za kufitinisha, kugombanisha watu, kupakazia watu maneno ya uongo, hapo hapo Slaa naye akajifanya kudai kuwa Mhe Rais anaongea na Mbowe Kila siku na amempa mzigo wa kushinda uchaguzi, maneno ambayo ni Mahakama TU ndio itaamua.

Kwa hiyo katika hili tuiachie Mahakama, wenyewe mnasemaga the court will prove beyond any reasonable doubt kama ana hatia ama la.

Ukisema huwezi kumshtakiwa Dkt Slaa kwa sababu sio tishio kwa serikali kwani wewe Lissu una utishio Gani kwa serikali wewe?

Hadi mama yetu amekuruhusu kurudi nchini uendelee na maisha Yako na Siasa zako za majitaka maana yake serikali ya CCM inakuona wewe wa kawaida sana.

Walikuwepo akina Mrema, Mtikila, Kassanga Tumbo, Abdulrahman Babu, Mabere Marando, Prince Bagenda, Dkt Lamwai, Ringo Tenga nk, where are they now? Wewe Lissu na Maalim Self nani ameisumbua serikali, wewe hata robo hujafikia.

Pia soma
Kwani Mzee Slaa anamzushia uzushi mzushi. Ni uzushi upi? Kama ni uzushi, kwanini wasiupuuzie? Mijitu mizushi zushi kwa kukuza uzushi, sina hamu.
 
Dkt Slaa amedai kuwa Rais aliongea na Mbowe na akampa mzigo wa kumsaidia kushinda uenyekiti wa Chadema, watanzania wamesoma habari hizo, wameona, wamesikia na wanaambiana kwenye vijiwe vya kahawa, navyomfahamu Mhe.Dkt Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania sio mtu anayependa sana kujibu hoja za taka taka, amekuwa akisingiziwa kwa mengi sana lakini mama wa watu yeye anahangaika na kuboresha maisha ya watu na kuitangaza nchi in the international arena.

Hata wewe Lissu hutamsikia Mhe Rais akikujibu, atakayekuwa anakujibu wewe ni mbabe wa vita Steven Wassira injini ya bodi, Mhe Rais ana mambo mengi ya kufanya katika nchi hii, we kakae fungate siku 5 iwe mwezi au mwaka lakini lazima uwatimizie Wana Chadema wako ile ahadi kuwa no reform no election, huku mwamba Wassira kashakwambia huko umepotea.

Mshaurini Dkt Slaa awe na kauli nzuri dhidi ya serikali, hakuna serikali inayokataa kukosolewa, lakini ukosoaji lazima uwe constructive, huwezi kumsingizia kiongozi wa nchi kwa mambo yenu wenyewe ndani ya Chadema ili TU mpate wafusasi wa kuwaunga mkono.

Tuliambiwa na Mzee Nyerere Baba wa Taifa kuwa ukiona kiongozi anatafuta influence kwa wananchi kwa kutumia ukabila, urangi, ubaguzi, uongo, kufitinisha watu kama alivyofanya Lissu hadi akamshinda Mbowe, kulaghai watu basi kiongozi hafai.

Kila mtu anajua Lissu ameshindwa uchaguzi kwa sababu za kufitinisha, kugombanisha watu, kupakazia watu maneno ya uongo, hapo hapo Slaa naye akajifanya kudai kuwa Mhe Rais anaongea na Mbowe Kila siku na amempa mzigo wa kushinda uchaguzi, maneno ambayo ni Mahakama TU ndio itaamua.

Kwa hiyo katika hili tuiachie Mahakama, wenyewe mnasemaga the court will prove beyond any reasonable doubt kama ana hatia ama la.

Ukisema huwezi kumshtakiwa Dkt Slaa kwa sababu sio tishio kwa serikali kwani wewe Lissu una utishio Gani kwa serikali wewe?

Hadi mama yetu amekuruhusu kurudi nchini uendelee na maisha Yako na Siasa zako za majitaka maana yake serikali ya CCM inakuona wewe wa kawaida sana.

Walikuwepo akina Mrema, Mtikila, Kassanga Tumbo, Abdulrahman Babu, Mabere Marando, Prince Bagenda, Dkt Lamwai, Ringo Tenga nk, where are they now? Wewe Lissu na Maalim Self nani ameisumbua serikali, wewe hata robo hujafikia.

Pia soma
Good message. Na mimi ningelikuwa mwenye mamlaka, huyo Dk. Slaa angelipotea!!!
 
Dkt Slaa amedai kuwa Rais aliongea na Mbowe na akampa mzigo wa kumsaidia kushinda uenyekiti wa Chadema, watanzania wamesoma habari hizo, wameona, wamesikia na wanaambiana kwenye vijiwe vya kahawa, navyomfahamu Mhe.Dkt Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania sio mtu anayependa sana kujibu hoja za taka taka, amekuwa akisingiziwa kwa mengi sana lakini mama wa watu yeye anahangaika na kuboresha maisha ya watu na kuitangaza nchi in the international arena.

Hata wewe Lissu hutamsikia Mhe Rais akikujibu, atakayekuwa anakujibu wewe ni mbabe wa vita Steven Wassira injini ya bodi, Mhe Rais ana mambo mengi ya kufanya katika nchi hii, we kakae fungate siku 5 iwe mwezi au mwaka lakini lazima uwatimizie Wana Chadema wako ile ahadi kuwa no reform no election, huku mwamba Wassira kashakwambia huko umepotea.

Mshaurini Dkt Slaa awe na kauli nzuri dhidi ya serikali, hakuna serikali inayokataa kukosolewa, lakini ukosoaji lazima uwe constructive, huwezi kumsingizia kiongozi wa nchi kwa mambo yenu wenyewe ndani ya Chadema ili TU mpate wafusasi wa kuwaunga mkono.

Tuliambiwa na Mzee Nyerere Baba wa Taifa kuwa ukiona kiongozi anatafuta influence kwa wananchi kwa kutumia ukabila, urangi, ubaguzi, uongo, kufitinisha watu kama alivyofanya Lissu hadi akamshinda Mbowe, kulaghai watu basi kiongozi hafai.

Kila mtu anajua Lissu ameshindwa uchaguzi kwa sababu za kufitinisha, kugombanisha watu, kupakazia watu maneno ya uongo, hapo hapo Slaa naye akajifanya kudai kuwa Mhe Rais anaongea na Mbowe Kila siku na amempa mzigo wa kushinda uchaguzi, maneno ambayo ni Mahakama TU ndio itaamua.

Kwa hiyo katika hili tuiachie Mahakama, wenyewe mnasemaga the court will prove beyond any reasonable doubt kama ana hatia ama la.

Ukisema huwezi kumshtakiwa Dkt Slaa kwa sababu sio tishio kwa serikali kwani wewe Lissu una utishio Gani kwa serikali wewe?

Hadi mama yetu amekuruhusu kurudi nchini uendelee na maisha Yako na Siasa zako za majitaka maana yake serikali ya CCM inakuona wewe wa kawaida sana.

Walikuwepo akina Mrema, Mtikila, Kassanga Tumbo, Abdulrahman Babu, Mabere Marando, Prince Bagenda, Dkt Lamwai, Ringo Tenga nk, where are they now? Wewe Lissu na Maalim Self nani ameisumbua serikali, wewe hata robo hujafikia.

Pia soma
Inawezekana kweli amekosa ama amezusha. Ila watanzania mnataka kuishi kwa mujibu wa katiba na sheria zake au kwa mujibu wa perception ya mtu kwamba umekosa adabu hivyo hata sheria isipo apply kwako ikapindishwa kukukomoa poa tu?
Hebu iwe kwamba kila anayetuhumiwa ashughulikiwe kwa mujibu wa sheria. Kama kosa lake linaweza kumfanya apate dhamana basi na aipate wakati kesi ikiendelea.
Yale mambo ya mtu wakati mwingine anasota mahakamani halafu polisi wanasema upelelezi haujakamilika kila mara nalo ni jipu. Sasa unanikamataje kama hujakamilisha upelelezi na huna ushahidi halafu nakaa rumande, kisha baadaye unaamua tu kuwa hutaki kuendelea na kesi hiyo.
Shida ya kupindisha sheria ukachekelea, ukiwa hujashika hatamu aliyeshika akapindisha unaanza kulalamika pia.
 
Good message. Na mimi ningelikuwa mwenye mamlaka, huyo Dk. Slaa angelipotea!!!
Ndiyo maana huna mamlaka maana kuwa na mamlaka kunahitaji uvumilivu kama huna uvumilivu na kuweza kupotezea baadhi ya vitu utaua wangapi?
Kama kuna rais aliwahi kuwa na kifua cha kuvumilia matusi, kejeli na mengi ni kikwete. Jamaa sijui alikuwa hafuatilii anavyotukanwa mitandaoni au mitandao ya kijamii ilikuwa haijaanza kutumiwa na wengi kama sasa.
 
Ndiyo maana huna mamlaka maana kuwa na mamlaka kunahitaji uvumilivu kama huna uvumilivu na kuweza kupotezea baadhi ya vitu utaua wangapi?
Kama kuna rais aliwahi kuwa na kifua cha kuvumilia matusi, kejeli na mengi ni kikwete. Jamaa sijui alikuwa hafuatilii anavyotukanwa mitandaoni au mitandao ya kijamii ilikuwa haijaanza kutumiwa na wengi kama sasa.
Huyo rais wako hatukanwi. Anaambwa ukweli kuwa ni wa hovyoo.
 
Dkt Slaa amedai kuwa Rais aliongea na Mbowe na akampa mzigo wa kumsaidia kushinda uenyekiti wa Chadema, watanzania wamesoma habari hizo, wameona, wamesikia na wanaambiana kwenye vijiwe vya kahawa, navyomfahamu Mhe.Dkt Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania sio mtu anayependa sana kujibu hoja za taka taka, amekuwa akisingiziwa kwa mengi sana lakini mama wa watu yeye anahangaika na kuboresha maisha ya watu na kuitangaza nchi in the international arena.

Hata wewe Lissu hutamsikia Mhe Rais akikujibu, atakayekuwa anakujibu wewe ni mbabe wa vita Steven Wassira injini ya bodi, Mhe Rais ana mambo mengi ya kufanya katika nchi hii, we kakae fungate siku 5 iwe mwezi au mwaka lakini lazima uwatimizie Wana Chadema wako ile ahadi kuwa no reform no election, huku mwamba Wassira kashakwambia huko umepotea.

Mshaurini Dkt Slaa awe na kauli nzuri dhidi ya serikali, hakuna serikali inayokataa kukosolewa, lakini ukosoaji lazima uwe constructive, huwezi kumsingizia kiongozi wa nchi kwa mambo yenu wenyewe ndani ya Chadema ili TU mpate wafusasi wa kuwaunga mkono.

Tuliambiwa na Mzee Nyerere Baba wa Taifa kuwa ukiona kiongozi anatafuta influence kwa wananchi kwa kutumia ukabila, urangi, ubaguzi, uongo, kufitinisha watu kama alivyofanya Lissu hadi akamshinda Mbowe, kulaghai watu basi kiongozi hafai.

Kila mtu anajua Lissu ameshindwa uchaguzi kwa sababu za kufitinisha, kugombanisha watu, kupakazia watu maneno ya uongo, hapo hapo Slaa naye akajifanya kudai kuwa Mhe Rais anaongea na Mbowe Kila siku na amempa mzigo wa kushinda uchaguzi, maneno ambayo ni Mahakama TU ndio itaamua.

Kwa hiyo katika hili tuiachie Mahakama, wenyewe mnasemaga the court will prove beyond any reasonable doubt kama ana hatia ama la.

Ukisema huwezi kumshtakiwa Dkt Slaa kwa sababu sio tishio kwa serikali kwani wewe Lissu una utishio Gani kwa serikali wewe?

Hadi mama yetu amekuruhusu kurudi nchini uendelee na maisha Yako na Siasa zako za majitaka maana yake serikali ya CCM inakuona wewe wa kawaida sana.

Walikuwepo akina Mrema, Mtikila, Kassanga Tumbo, Abdulrahman Babu, Mabere Marando, Prince Bagenda, Dkt Lamwai, Ringo Tenga nk, where are they now? Wewe Lissu na Maalim Self nani ameisumbua serikali, wewe hata robo hujafikia.

Pia soma
Alisema ana ushhahidi mpeni nafasi autoe
 
Ndiyo maana huna mamlaka maana kuwa na mamlaka kunahitaji uvumilivu kama huna uvumilivu na kuweza kupotezea baadhi ya vitu utaua wangapi?
Kama kuna rais aliwahi kuwa na kifua cha kuvumilia matusi, kejeli na mengi ni kikwete. Jamaa sijui alikuwa hafuatilii anavyotukanwa mitandaoni au mitandao ya kijamii ilikuwa haijaanza kutumiwa na wengi kama sasa.
Bila shaka wewe ni mashabiki wa Trump.
 
Dkt Slaa amedai kuwa Rais aliongea na Mbowe na akampa mzigo wa kumsaidia kushinda uenyekiti wa Chadema, watanzania wamesoma habari hizo, wameona, wamesikia na wanaambiana kwenye vijiwe vya kahawa, navyomfahamu Mhe.Dkt Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania sio mtu anayependa sana kujibu hoja za taka taka, amekuwa akisingiziwa kwa mengi sana lakini mama wa watu yeye anahangaika na kuboresha maisha ya watu na kuitangaza nchi in the international arena.

Hata wewe Lissu hutamsikia Mhe Rais akikujibu, atakayekuwa anakujibu wewe ni mbabe wa vita Steven Wassira injini ya bodi, Mhe Rais ana mambo mengi ya kufanya katika nchi hii, we kakae fungate siku 5 iwe mwezi au mwaka lakini lazima uwatimizie Wana Chadema wako ile ahadi kuwa no reform no election, huku mwamba Wassira kashakwambia huko umepotea.

Mshaurini Dkt Slaa awe na kauli nzuri dhidi ya serikali, hakuna serikali inayokataa kukosolewa, lakini ukosoaji lazima uwe constructive, huwezi kumsingizia kiongozi wa nchi kwa mambo yenu wenyewe ndani ya Chadema ili TU mpate wafusasi wa kuwaunga mkono.

Tuliambiwa na Mzee Nyerere Baba wa Taifa kuwa ukiona kiongozi anatafuta influence kwa wananchi kwa kutumia ukabila, urangi, ubaguzi, uongo, kufitinisha watu kama alivyofanya Lissu hadi akamshinda Mbowe, kulaghai watu basi kiongozi hafai.

Kila mtu anajua Lissu ameshindwa uchaguzi kwa sababu za kufitinisha, kugombanisha watu, kupakazia watu maneno ya uongo, hapo hapo Slaa naye akajifanya kudai kuwa Mhe Rais anaongea na Mbowe Kila siku na amempa mzigo wa kushinda uchaguzi, maneno ambayo ni Mahakama TU ndio itaamua.

Kwa hiyo katika hili tuiachie Mahakama, wenyewe mnasemaga the court will prove beyond any reasonable doubt kama ana hatia ama la.

Ukisema huwezi kumshtakiwa Dkt Slaa kwa sababu sio tishio kwa serikali kwani wewe Lissu una utishio Gani kwa serikali wewe?

Hadi mama yetu amekuruhusu kurudi nchini uendelee na maisha Yako na Siasa zako za majitaka maana yake serikali ya CCM inakuona wewe wa kawaida sana.

Walikuwepo akina Mrema, Mtikila, Kassanga Tumbo, Abdulrahman Babu, Mabere Marando, Prince Bagenda, Dkt Lamwai, Ringo Tenga nk, where are they now? Wewe Lissu na Maalim Self nani ameisumbua serikali, wewe hata robo hujafikia.

Pia soma
Kukosoa ni kukosoa tu why umpangie sometimes inabid kutumia lugha ngumu ili ueleweke
 
MWALIMU NYERERE ANAMALIZA KWA USHAIRI KWENYE KITABU CHAKE.

UONGOZI WETU NA HATMA YA TANZANIA.

Ole wake Tanzania Tusipoisaidia
Niwezalo nimelifanya kushauri na kuonya nimeonya.

tahadhali nimetoa ushauri na kuonya nimeshatoka kitini zaidi nifanye nini.

Namlilia Jaalia atumulikie njia Tanzania ailinde WAOVU wasiishinde.

Amina Tena Amina Amina Tena amina


UONGOZI WETU NA HATMA YA TANZANIA.
MWALIMU JK NYERERE
 
Back
Top Bottom