Lissu ni mpango wa Mwenyezi Mungu

Lissu ni mpango wa Mwenyezi Mungu

Li ngunda ngali

JF-Expert Member
Joined
Jun 22, 2023
Posts
707
Reaction score
2,572
Kwa faida ya wasio-fahamu, Antipas Lissu ni Mwamini mtiifu wa Kanisa Takatifu la Mitume yaani Kanisa Katoliki la Roma.

Vilevile, kwa maokozi mengi aliyookolewa na MWENYEZI Mungu hakika Tundu ni wazi ni Mpango wa MWENYEZI Mungu mwenyewe.

Na ndiyo maana hata Mbowe aliitisha suluhu baina Yao kwa kutumia Viongozi wa Kanisa Takatifu la Mitume.

KWA NAMNA YA KIPEKEE KABISA, LISSU PAMOJA NA UAMINI WAKE WA UTII KWA KANISA, BADO HUKEMEA YALE YOTE YALETAYO MASUMBUFU KWA WANANCHI YAKALIWAYO KIMYA NA KANISA. HAKIKA LISSU NI KIONGOZI WA WOTE.

NB: Sitawaambia kila kitu.
 
Kwa faida ya wasio-fahamu, Antipas Lissu ni Mwamini mtiifu wa Kanisa Takatifu la Mitume yaani Kanisa Katoliki la Roma.

NB: Sitawaambia kila kitu.
Sisi hatutumie Dini yake kama kigezo cha kumpenda, ila hoja zake hata alio mpiga lisasi 16 alikua mkatoliki mwenzie, mama samia ambaye ni Muislamu akaenda hospitali Nairobi kumjulia hali, Mkatoliki kaenda kanisani Chato kuudhuria Misa ya mama Maria......
 
Kwa maana hiyo unataka kutwambia kuwa Mbowe ni mpango wa shetani?
Kwa hiyo wakatoliki wote tumuunge mkono Lisu?
 
Sisi hatutumie Dini yake kama kigezo cha kumpenda, ila hoja zake hata alio mpiga lisasi 16 alikua mkatoliki mwenzie, mama samia ambaye ni Muislamu akaenda hospitali Nairobi kumjulia hali, Mkatoliki kaenda kanisani Chato kuudhuria Misa ya mama Maria......
umenena point
 
Kwa maana hiyo unataka kutwambia kuwa Mbowe ni mpango wa shetani?
Kwa hiyo wakatoliki wote tumuunge mkono Lisu?
sio lazima, wengine bakini ccm, cuf, act, chauma, tlp, nccr maadam ni vyama vya kitaifa kwa watanzania. Ila hatuchagui mtu kwa misingi ya dini na dhehebu lake
 
Kwa faida ya wasio-fahamu, Antipas Lissu ni Mwamini mtiifu wa Kanisa Takatifu la Mitume yaani Kanisa Katoliki la Roma...
Wakristo haswa waroma mna mbwembwe, mlivimba kujifanya ole wake Samia asaini mkataba wa WARAABU WA BANDARI (DP W) serikali ikasaini mkabata na hamna mlichofanya chochote,

Sasa huyo Lissu kuwa mkatoliki ndio kwamba atashinda iwe isiwe au vipi Ati??!
 
Kwa faida ya wasio-fahamu, Antipas Lissu ni Mwamini mtiifu wa Kanisa Takatifu la Mitume yaani Kanisa Katoliki la Roma.

Vilevile, kwa maokozi mengi aliyookolewa na MWENYEZI Mungu hakika Tundu ni wazi ni Mpango wa MWENYEZI Mungu mwenyewe.

Na ndiyo maana hata Mbowe aliitisha suluhu baina Yao kwa kutumia Viongozi wa Kanisa Takatifu la Mitume.

KWA NAMNA YA KIPEKEE KABISA, LISSU PAMOJA NA UAMINI WAKE WA UTII KWA KANISA, BADO HUKEMEA YALE YOTE YALETAYO MASUMBUFU KWA WANANCHI YAKALIWAYO KIMYA NA KANISA. HAKIKA LISSU NI KIONGOZI WA WOTE.

NB: Sitawaambia kila kitu.
Huyo Mungu wala sina haja naye.
 
Back
Top Bottom