Pre GE2025 Lissu: Nikishindwa nafasi ya Uenyekiti CHADEMA nitabaki kuwa mwanachama wa kawaida, siendi popote

Pre GE2025 Lissu: Nikishindwa nafasi ya Uenyekiti CHADEMA nitabaki kuwa mwanachama wa kawaida, siendi popote

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu,

Lissu amesema ikitokea ameshindwa nafasi ya uenyekiti CHADEMA hapo Januari, atabaki kuwa mwanachama wa kawaida CHADEMA, hatoenda kokote, watabanana humo humo.

Pia soma: Pre GE2025 - Wilbroad Slaa amuunga mkono Lissu kugombea Uenyekiti CHADEMA, asema taifa linamhitaji Lissu kwa sasa

Lissu amejibu swali hilo kwenye session ya Clubhouse leo usiku mwingi December 24, 2024 alipoulizwa kama atatimkia kwenye chama kingine au ataenda kulima nyanya ikitokea atashindwa nafasi ya Uenyekiti, ambapo mbivu na mbichi zitajulikana Januari.
 
Wakuu,

Lissu amesema ikitokea ameshindwa nafasi ya uenyekiti CHADEMA hapo Januari, atabaki kuwa mwanachama wa kawaida CHADEMA, hatoenda kokote, watabanana humo humo.

Lissu amejibu swali hilo kwenye session ya Clubhouse leo usiku mwingi December 24, 2024 alipoulizwa kama atatimkia kwenye chama kingine au ataenda kulima nyanya ikitokea atashindwa nafasi ya Uenyekiti, ambapo mbivu na mbichi zitajulikana Januari.
Kazi kubwa sana ipo kaziniii
 
Wakuu,

Lissu amesema ikitokea ameshindwa nafasi ya uenyekiti CHADEMA hapo Januari, atabaki kuwa mwanachama wa kawaida CHADEMA, hatoenda kokote, watabanana humo humo.

Lissu amejibu swali hilo kwenye session ya Clubhouse leo usiku mwingi December 24, 2024 alipoulizwa kama atatimkia kwenye chama kingine au ataenda kulima nyanya ikitokea atashindwa nafasi ya Uenyekiti, ambapo mbivu na mbichi zitajulikana Januari.
Anajua kuwa Mbowe atamshinda tu😁
 
Wakuu,

Lissu amesema ikitokea ameshindwa nafasi ya uenyekiti CHADEMA hapo Januari, atabaki kuwa mwanachama wa kawaida CHADEMA, hatoenda kokote, watabanana humo humo.

Lissu amejibu swali hilo kwenye session ya Clubhouse leo usiku mwingi December 24, 2024 alipoulizwa kama atatimkia kwenye chama kingine au ataenda kulima nyanya ikitokea atashindwa nafasi ya Uenyekiti, ambapo mbivu na mbichi zitajulikana Januari.
Huyu jamaa ni next level, pia na roho ngumu
 
Wakuu,

Lissu amesema ikitokea ameshindwa nafasi ya uenyekiti CHADEMA hapo Januari, atabaki kuwa mwanachama wa kawaida CHADEMA, hatoenda kokote, watabanana humo humo.

Lissu amejibu swali hilo kwenye session ya Clubhouse leo usiku mwingi December 24, 2024 alipoulizwa kama atatimkia kwenye chama kingine au ataenda kulima nyanya ikitokea atashindwa nafasi ya Uenyekiti, ambapo mbivu na mbichi zitajulikana Januari.
Lissu ni muadilifu Sana, Hana tamaa ya cheo kama mbowe Wanachadema wampiganie
 
Wakuu,

Lissu amesema ikitokea ameshindwa nafasi ya uenyekiti CHADEMA hapo Januari, atabaki kuwa mwanachama wa kawaida CHADEMA, hatoenda kokote, watabanana humo humo.

Lissu amejibu swali hilo kwenye session ya Clubhouse leo usiku mwingi December 24, 2024 alipoulizwa kama atatimkia kwenye chama kingine au ataenda kulima nyanya ikitokea atashindwa nafasi ya Uenyekiti, ambapo mbivu na mbichi zitajulikana Januari.
Anapita mulemule kwa Mch. Msigwa!!
 
Wakuu,

Lissu amesema ikitokea ameshindwa nafasi ya uenyekiti CHADEMA hapo Januari, atabaki kuwa mwanachama wa kawaida CHADEMA, hatoenda kokote, watabanana humo humo.

Lissu amejibu swali hilo kwenye session ya Clubhouse leo usiku mwingi December 24, 2024 alipoulizwa kama atatimkia kwenye chama kingine au ataenda kulima nyanya ikitokea atashindwa nafasi ya Uenyekiti, ambapo mbivu na mbichi zitajulikana Januari.
Safi sana 🙌👏👍🙏
 
Back
Top Bottom