Pre GE2025 Lissu: Nikishindwa nafasi ya Uenyekiti CHADEMA nitabaki kuwa mwanachama wa kawaida, siendi popote

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Bila Mbowe saa hizi huyu chizi angekuwa shimo la tewa !
Na kama hujui nini maana ya shimo la tewa nenda ka google !
 
Sawa tunasubiri kwa hamu Kuna kama ahadi Yako ni yakweli
 
Kama Uchaguzi wa Uenyekiti Taifa ukiwa HURU na HAKI basi Lissu abaki CHADEMA, lakini ikibainika kufanyiwa "Zengwe" au "Changa la macho" ni bora kwenda Sauti ya Watanzania tukaijenge iwe Taasisi Imara, kama ilivyojengwa TANU kutoka katika TAA.
 
Yawezekana pia hao jamaa wanaelewana na wamepanga watuzuge kwamba eti hawaelewani !
Kila kitu kinawezekana chini ya jua !
Na Ndivyo Ilivyo Hakuna Kitokeacho Kwa Bahati Mbaya Bali Ni Mipango,,Hao Nyuma Ya Pazia Wanagonga glasi Za Mvinyo Kwa Pesa za Ruzuku,,mbele Ya Kamera Wanawapigisha Tizi Wanyonge
 
Nenda tu CCM baba tuneshakuelewa! Kile kikao chenu cha Belgium hakikuwa bure!
 
Muongo huyo. Atabaki vipi kwenye chama wakati anam-trash talk kila mtu kwenye chama? Anawapopoa mawe wenzie kwenye chama, halafu anasema atabaki humo humo? Utabaki namna gani kwenye kambi unayoinyea sasa hivi? Amaogopa kusema wazi kuwa ataondoka kwa kuwa bado anagombea uenyekiti, maana angesema ataondoka ingempunguzia kura.
Lisu ni zezeta wa kutupwa!
 
Vipi hii ishu ya mbowe na lisu ikiwa ni SCRIPT then wote wawili wana manufaa makubwa na CDM kujifia. Watu wa vitengo wanakuwaga na strategy ambazo hakuna anayeweza kuzing'amua
 
Wanajua wanachokifanya na uchaguzi ni kumpa Lissu uenyekiti ndo maana wanachezezha jukwaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…