Uchaguzi 2020 Lissu nimekusikiliza mwanzo mwisho ila haujasema kwanini tukuchague wewe na sio Magufuli

Show ya wasanii imefana kweli

Ova
Wenzako ndio wameanza safari we baki kusikiliza hadithi za hekaya za abunuwasi za idadi ya risasi zilizo mwilini na vyuma Ndani ya mwili
 
Rejea majimbo 18 CCM umepita bila kupingwa...anzia hapo kufanya analysis jomba
NEC inawasaidia wananchi kupiga kura?

Kazi ya kupigia watu kura na kuwafanya viongozi ni ya wananchi sio ya NEC!

NEC is doing illegal business,sio kazi yake!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…