Uchaguzi 2020 Lissu pumzika, katika kipindi hiki cha week moja, nchi na Dunia itakusemea kuliko ambavyo ungesema wewe

Uchaguzi 2020 Lissu pumzika, katika kipindi hiki cha week moja, nchi na Dunia itakusemea kuliko ambavyo ungesema wewe

Msaidieni ndugu yenu asije sema anaonewa badae kwa vitu vidogo sana.

Mtu anaweza kukudhulumu 10,000 wewe kwa hasira ukamkata shingo akafa, utakua umetenda kosa la mauaji,10,000 ilikua n haki yako kabisa ila ungeweza tumia busara kudai hela yako uliyodhulumiwa kuliko hasira ambazo zinaenda ku cost maisha yako yote yaliyo salia duniani. Lissu anaweza kuwa na haki lakini msipo msaidia njia sahihi ya kudai haki mnaenda kumsababishia matatizo yatayomcost maisha yake yote.
Tangu lini CCM mkampenda Lissu??? Huo ushauri wako kaa nao!!

Umeona ujumbe wenu kutoka kamati ya wizara ya mambo ya nje ya Bunge la Marekani????

Subirini kifuatacho sasa!!! Dadeki
 
Kazi muhimu na pengine ngumu kuliko zote iliyobaki kwa watanzania wakisaidiwa na dunia Ni kupata tume ambayo itamtangaza mshindi aliyeshinda kihalali. Kama Kuna taasisi au taifa ambalo linaitakia mema Tanzania Basi lisaidie hapo
Tayari dunia imeshaamua. CCM wasubiri kufungasha tu
 
Wacha Vimsemeeeee ila Ikulu haendi kwa kusemewa anaenda kwa kupigiwa kura na wapiga kura hanaaaa hahahahaha patamu hapi.
Kwa iyo unafikiri magufuli atashinda kwa kura???😂😂😂😂

Mahindi wa uchaguzi wa mwaka huu ni Tundu Antiphas Lissu. Na amini amini nakwambia, huyo ndo Raisi wako wa Jamhuri ya Muungano Tanzania 2020-2025
 
Tangu lini CCM mkampenda Lissu??? Huo ushauri wako kaa nao!!

Umeona ujumbe wenu kutoka kamati ya wizara ya mambo ya nje ya Bunge la Marekani????

Subirini kifuatacho sasa!!! Dadeki

ccm ndio washauri,sio nyinyi wakata viuno mnaowaza vurugu muda wote.

nimemuona lissu jana akiongea,uso wake na hata tone yake,inaonyesha amekubali kabisa haoni haja ya kulumbana na tume,mbali na kwamba wanekosea amefanya kuwakumbusha tu udhaifu waliouonyesha.

kisha akasema ana kikao na kamati ya chama chake,asikie itasema kitu gani,kwahiyo usishangae hili la mleta mada likatokea.

ccm wanahitaji akili nyingi zenye utulivu,ila ukitumia nguvu kama wao,hutawaweza wana kila kitu.
 
Kwa iyo unafikiri magufuli atashinda kwa kura???[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Mahindi wa uchaguzi wa mwaka huu ni Tundu Antiphas Lissu. Na amini amini nakwambia, huyo ndo Raisi wako wa Jamhuri ya Muungano Tanzania 2020-2025

sasa unakwenda vitani huku ukijua unashinda ila ushindi atapewa mwingine,unakwenda kushindana ili iweje???
 
ccm ndio washauri,sio nyinyi wakata viuno mnaowaza vurugu muda wote...
Kwani Umemuona Lissu akizungumza kwenye situation ngapi??? Mbona ni kawaida sana Lissu kuzungumza vile?

Sasa wewe unaangalia tone au ujumbe Alioutoa??? Sie tunaangalia ujumbe wake kuwa anaendelea na kampeni kesho!
 
Chadema Wana uhakika kuwa CCM huwa wanaiba kura wakati wa uchaguzi. Habari na Siri Kama hii Ni vigumu Sana kutoijuwa watu Kama mzee Kingunge, Lowassa, Sumaye, Msindai, Nyarandu, na wengine ambao waliwahi kukihama chama na kujiunga na Chadema. Hawa Ni watu wanaojua huwa inafanyikaje.
 
Back
Top Bottom