Lissu: Samia Suluhu Hassan has finally revealed her true colors

Lissu: Samia Suluhu Hassan has finally revealed her true colors

Shujaa Mwendazake

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
4,016
Reaction score
6,759
"Samia Suluhu Hassan has finally revealed her true colors. It's Magufulism without Magufuli & it's unacceptable. We can't, & we won't, accept the continuation of the illegal ban on lawful political activity imposed by the departed dictator. She'd be denounced & openly opposed!"- Tundu Lissu

Tl.PNG
 
Ila kuna mambo mengine ni upuuzi,yani mambo yoote anayofanya Samia yeye Lissu kaona la mikutano ya hadhara ya siasa ndo true color ya Rais Mama Sasha? juzi tu alimsifia kua mama ni mwema sababu ndio kiongozi mkubwa pekee aliyeenda kumjulia hali Nairobi.Aache wenge basi.
Kila mtu anampima kutoka kwenye angle yako na atatoa maoni yake, tatizo nini? Wanasiasa wanata mikutano, wamekataliwa ulitaka wamsifu kwa kumtema Chalamila? Au ulitaka wamsufu kwa kumuondoa Jeri James kutoka UVCCM?
 
Nchi hii sasa hivi kila mtu anaangalia maslahi yake.

Wahariri wanaitwa Ikulu wanaenda kutangaza shida zao za ruzuku, matangazo na teuzi.

Wanasiasa na wao wanataka waende ikulu kutangaza shida zao.

Kila kundi linataka kukutana na Rais kutangaza shida zao.

Na mimi nina shida zangu, mwaka huu siwezi kuwa msukule wa kuwekwa nyuma ya agenda ya mtu yeyote.
 
Tatizo la watanzania kubwa ni kujenga matumaini makubwa kwa viongozi wanasiasa ambao hata kumbukumbu ziko wazi kwamba ni watu wabaya. Huyu Rais alishakuwa waziri, alikuwa makamu mwenyekiti wa bunge la katiba, akawa makamu wa Rais na akatoka waziwazi na kutamba jinsi watakavyoharibu uchaguzi.

Leo hii eti wanaharakati na wapinzani wanamsifia weee, utasikia mama anaupiga mwingi! Uko wapi? Fao la kujitoa kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii hajagusa, paye kapunguza asilimia moja tu na hakuna nyongeza ya mshahara, ajira zimejaa madudu Kama siku za Mwendazake. Wasaidizi wake karibia wote ni wale wale. Sioni jipya la kusifia. Wakosoaji endeleeni na kazi yenu, acheni kujipendekeza. Yule ni CCM na haitabadilika.
 
Huyu waziri wa mambo ya nje ni mshamba sana, hajiulizi hizo hela za kuweza kuendesha nchi kwa miezi 6 bila makusanyo zimetoka wapi? Tanzania ilifikaje uchumi wa kati?

Mentality ya huyu waziri ni ili Tanzania iendelee lazima tujipendekeze kwa mataifa mengine.
 
Kila mtu anampima kutoka kwenye angle yako na atatoa maoni yake, tatizo nini? Wanasiasa wanata mikutano, wamekataliwa ulitaka wamsifu kwa kumtema Chalamila? Au ulitaka wamsufu kwa kumuondoa Jeri James kutoka UVCCM?
Watulie waache kumsumbua mama wa watu, kama ni mikutano mbona ya ndani wanafanya bila kusumbuliwa na polisi kama enzi zile za Msukuma...ngoja twende na Mama mdogo mdogo wengine watulie kwanza hadi 2025.
 
Mama yetu anajitahidi sana sana lakini kama alivyosema Mbowe hakuna kitu kikubwa kama kupatanisha taifa kwanza ya kitu chochote!! Hata economy!! Huwezi kwenda nje ya nchi kujipatanisha na majirani kabla ya nyumbani kwako. Mama ana wema sana lakini sijui ni kwa nini amekosea! This is a divided country!

Within ccm itself and between CCM and those withIn opposition plus those with no parties/and or patriots within ccm who believe in justice and human rights!!! Huu ni ukweli ntupu!

Mama hapo amekosea kidogo. Kwa yaliyotendeka nchi hii angefanya reconcilliation kwanza. Haitoshi kuhubiri tu upendo wakati half the country has been bullied fir 5 years and some are in exile, others in jail before her eyes!
 
Huyu waziri wa mambo ya nje ni mshamba sana, hajiulizi hizo hela za kuweza kuendesha nchi kwa miezi 6 bila makusanyo zimetoka wapi? Tanzania ilifikaje uchumi wa kati?

Mentality ya huyu waziri ni ili Tanzania iendelee lazima tujipendekeze kwa mataifa mengine.
Huyo waziri ni wa chama gani cha siasa hapo Tanzania?
 
Ila kuna mambo mengine ni upuuzi, yaani mambo yoote anayofanya Samia yeye Lissu kaona la mikutano ya hadhara ya siasa ndo true color ya Rais Mama Sasha? Juzi tu alimsifia kua mama ni mwema sababu ndio kiongozi mkubwa pekee aliyeenda kumjulia hali Nairobi. Aache wenge basi.
Kazi ya Lisu Ni siasa Sasa Samia anapokataza watu wasifanye siasa, Basi hafai kwa lolote. Tunataka Uhuru
 
Tatizo la watanzania kubwa ni kujenga matumaini makubwa kwa viongozi wanasiasa ambao hata kumbukumbu ziko wazi kwamba ni watu wabaya. Huyu Rais alishakuwa waziri, alikuwa makamu mwenyekiti wa bunge la katiba, akawa makamu wa Rais na akatoka waziwazi na kutamba jinsi watakavyoharibu uchaguzi.

Leo hii eti wanaharakati na wapinzani wanamsifia weee, utasikia mama anaupiga mwingi! Uko wapi? Fao la kujitoa kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii hajagusa, paye kapunguza asilimia moja tu na hakuna nyongeza ya mshahara, ajira zimejaa madudu Kama siku za Mwendazake. Wasaidizi wake karibia wote ni wale wale. Sioni jipya la kusifia. Wakosoaji endeleeni na kazi yenu, acheni kujipendekeza. Yule ni CCM na haitabadilika.
Umeandika vema. Alishasema hata upinzani ukishinda, CCM itaunda serikali. Halafu mtu ategemee lolote toka kwake.
 
"Samia Suluhu Hassan has finally revealed her true colors. It's Magufulism without Magufuli & it's unacceptable. We can't, & we won't, accept the continuation of the illegal ban on lawful political activity imposed by the departed dictator. She'd be denounced & openly opposed!"- Tundu Lissu
Ahahahahah masikini nikikumbuka Mbowe alivyo jieleza akidhani mama ndo atakuwa game changer! Katiba tu imeshapigwa pini.. Na wamesema uchaguzi hawashiriki bila katiba.

Nahisi atachanganikiwa zaidi...ahahah
 
Tatizo la watanzania kubwa ni kujenga matumaini makubwa kwa viongozi wanasiasa ambao hata kumbukumbu ziko wazi kwamba ni watu wabaya. Huyu Rais alishakuwa waziri, alikuwa makamu mwenyekiti wa bunge la katiba, akawa makamu wa Rais na akatoka waziwazi na kutamba jinsi watakavyoharibu uchaguzi.

Leo hii eti wanaharakati na wapinzani wanamsifia weee, utasikia mama anaupiga mwingi! Uko wapi? Fao la kujitoa kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii hajagusa, paye kapunguza asilimia moja tu na hakuna nyongeza ya mshahara, ajira zimejaa madudu Kama siku za Mwendazake. Wasaidizi wake karibia wote ni wale wale. Sioni jipya la kusifia. Wakosoaji endeleeni na kazi yenu, acheni kujipendekeza. Yule ni CCM na haitabadilika.
Hivi huyu si aliwahi kuzungumzia askari wa Tanzania kwenye ku-shoot au siyo huyu?

Nadhani alikuwa Temeke siku hiyo...ahahaha Lisu kimemshuka!!!
 
Hao hao ndio walikuwa wanapiga mapambio kuwa kaanza vizuri, Leo wamegeuka tena.
 
Hao hao ndio walikuwa wanapiga mapambio kuwa kaanza vizuri, Leo wamegeuka tena.
Kwa yale mazuri lazima tumsifie na pale alipoboronga lazima tumkosoe tena kwa nguvu zote.

Wakati wa Mwendazake kwenye kukosoa tulikuwa moto wa kuni. Wakati huu wa SASHA tutakuwa moto wa gesi.
 
Back
Top Bottom