900 Itapendeza zaidi
JF-Expert Member
- Nov 19, 2017
- 7,704
- 9,186
Wananchi tunasubiri tu hiyo oct28 Lisu azoe kura zote hizo 10% tumwachie meko angalau apate zile za makada wa ccm anaokula naoUmeandika point sana mkuu. Lissu hana nafasi ya kushinda hata 10℅
Mwambie lissu mbeligiji ajiandae kisaikolojia ,hali ni ngumu sana, hatosadiki atachokutana nachoWananchi tunasubiri tu hiyo oct28 Lisu azoe kura zote hizo 10% tumwachie meko angalau apate zile za makada wa ccm anaokula nao
mwabieni meko mwenyewe aendelea tu na ule mpango wake wa kuchukua kimada kule zenji alipe na mahari kabisa in advance ili amfariji baada ya matokea asije kufa kwa presha mzee wa watu akiona Lisu anachukua nchiMwambie lissu mbeligiji ajiandae kisaikolojia ,hali ni ngumu sana, hatosadiki atachokutana nacho
Wacha kudanganya watu humu, vijiji gani umevihoji nyuma ya keyboard?Eti ndo rais,tatizo lenu mnapenda sana kukabidhi akili zenu kwa watu wasiokuwa na tija,
NAE atawaacha baada ya uchaguzi mtabaki na nani?Lowasa yuko ccm mzee achakuota. Tuko na Lisu mwanademokarsia ya ukweli na haki
Lissu lazima akimbilie ubeligiji baada ya uchaguzi ,keep calm ,you will seeLowasa yuko ccm mzee achakuota. Tuko na Lisu mwanademokarsia ya ukweli na haki