sonofobia
JF-Expert Member
- Jun 21, 2015
- 1,171
- 4,295
Lissu amefunguka mbele ya wanahabari kuwa haogopi kuitwa msaliti kwa kuwa anatembea na risasi mgongoni hawezi kuogopa maneno ya mitandaoni.
Leo amesema hayo mbele ya Mbowe.
Kumbuka maneno ya kumuita Lissu msaliti yanadaiwa kutolewa na kiongozi mkubwa kwenye chama kwenye CHADEMA majibizano Whatsapp. Niliwai kuweka hapa hizo conversations lakini mods walizifuta. Leo Lissu amejibu mashambulizi ya yule kijana wa Mbowe anaeuza mayai
Leo amesema hayo mbele ya Mbowe.
Kumbuka maneno ya kumuita Lissu msaliti yanadaiwa kutolewa na kiongozi mkubwa kwenye chama kwenye CHADEMA majibizano Whatsapp. Niliwai kuweka hapa hizo conversations lakini mods walizifuta. Leo Lissu amejibu mashambulizi ya yule kijana wa Mbowe anaeuza mayai

