Lakini awe makini sana, Wasije wakam "mbwereseronera" aache kuzunguka zunguka kwenye kiti cha mfalme!Safi sana. Huyu Lisu ana damu ya kimapinduzi kweli kweli
Hayo mambo yako ccm tu, chadema ni chama cha kidemokrasia.Lakini awe makini sana, Wasije wakam "mbwereseronera" aache kuzunguka zunguka kwenye kitu cha mfalme!
Lissu amefunguka mbele ya wanahabari kuwa haogopi kuitwa msaliti kwa kuwa anatembea na risasi mgongoni hawezi kuogopa maneno ya mitandaoni.
Leo amesema hayo mbele ya Mbowe.
Kumbuka maneno ya kumuita Lissu msaliti yanadaiwa kutolewa na kiongozi mkubwa kwenye chama kwenye majibizano Whatsapp. Niliwai kuweka hapa hizo conversations lakini mods walizifuta. Leo Lissu amejibu mashambulizi ya yule kijana wa Mbowe anaeuza mayai
Weka hiyo video ya lisu usijekuta na wewe ni kiraka tu🤔Lissu amefunguka mbele ya wanahabari kuwa haogopi kuitwa msaliti kwa kuwa anatembea na risasi mgongoni hawezi kuogopa maneno ya mitandaoni.
Leo amesema hayo mbele ya Mbowe.
Kumbuka maneno ya kumuita Lissu msaliti yanadaiwa kutolewa na kiongozi mkubwa kwenye chama kwenye majibizano Whatsapp. Niliwai kuweka hapa hizo conversations lakini mods walizifuta. Leo Lissu amejibu mashambulizi ya yule kijana wa Mbowe anaeuza mayai
Mbona chairpasonel wa CCM Tumeshabadilisha mara chungu nzimaHayo mambo yako ccm tu, chadema ni chama cha kidemokrasia.
Mbadilishe na Samia sasa au chapisheni fomu zaidi ya moja za kugombea urais ndani ya chama.Mbona chairpasonel wa CCM Tumeshabadilisha mara chungu nzima
nadhani ana damu ya usaliti wa chama na taifa kwa ujumla in favor of mabwenyenye ya magharibiSafi sana. Huyu Lisu ana damu ya kimapinduzi kweli kweli
exit gear hiyo ya kimkakatiLissu amefunguka mbele ya wanahabari kuwa haogopi kuitwa msaliti kwa kuwa anatembea na risasi mgongoni hawezi kuogopa maneno ya mitandaoni.
Leo amesema hayo mbele ya Mbowe.
Kumbuka maneno ya kumuita Lissu msaliti yanadaiwa kutolewa na kiongozi mkubwa kwenye chama kwenye CHADEMA majibizano Whatsapp. Niliwai kuweka hapa hizo conversations lakini mods walizifuta. Leo Lissu amejibu mashambulizi ya yule kijana wa Mbowe anaeuza mayai
View attachment 3173732
Kama alivyo Samia, ameuza Ngorongoro na bandari kwa waarabu.nadhani ana damu ya usaliti wa chama na taifa kwa ujumla in favor of mabwenyenye ya magharibi
Mwenyekiti/Rais chini ya CCM ni mwiko kuhudumu kwa zaidi ya miaka kumi au misimu miwili ya kiutawala madarakani /Mbadilishe na Samia sasa au chapisheni fomu zaidi ya moja za kugombea urais ndani ya chama.
Maana hata katiba ya ccm haisemi fomu iwe moja.