johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Channel ten na Uhuru Radio ๐Duh aiseee uchochezi huo
HayaNgoja kwanza tusome upepo๐ผ
labda auze Mikocheni na yule mzungu wa ulayaTundu Lissu tupe ahadi ukishinda Utaanzisha Chadema TV & Radio, Mbowe japo alikuwa na Disco kama Kusaga lakini ameshindwa kwa miaka 20
Sifurahishwi na utaratibu wa Mbowe na Tundu Lissu kila siku kupishana kwenye Vituo vya Tv vinavyomilikiwa na Wanaccm kufanya Kampeni za kunadi Sera zao
Labda Mh Tundu Antipasi Lissu utujulishe una mpango wowote wa kuanzisha Channel ten ya CHADEMA?
Nimekaa pale ๐ผ
Mbona hadi yule Dalali Msama ana Kituo Cha TV? ๐๐๐๐labda auze Mikocheni na yule mzungu wa ulaya
HVI VYA MITANDAONIMbona hadi yule Dalali Msama ana Kituo Cha TV? ๐๐๐๐
Msama TV yake ya mitandaoni?HVI VYA MITANDAONI
Hivi vyama vya siasa vya Marekani na Ulaya vina vituo vyao vya TV?Tundu Lissu tupe ahadi ukishinda Utaanzisha Chadema TV & Radio, Mbowe japo alikuwa na Disco kama Kusaga lakini ameshindwa kwa miaka 20
Sifurahishwi na utaratibu wa Mbowe na Tundu Lissu kila siku kupishana kwenye Vituo vya Tv vinavyomilikiwa na Wanaccm kufanya Kampeni za kunadi Sera zao
Labda Mh Tundu Antipasi Lissu utujulishe una mpango wowote wa kuanzisha Channel ten ya CHADEMA?
Nimekaa pale ๐ผ
Alitakiwa kuchangisha mil 30 hakupata hata jero seuze za kuanzisha tv na redioTundu Lissu tupe ahadi ukishinda Utaanzisha Chadema TV & Radio, Mbowe japo alikuwa na Disco kama Kusaga lakini ameshindwa kwa miaka 20
Sifurahishwi na utaratibu wa Mbowe na Tundu Lissu kila siku kupishana kwenye Vituo vya Tv vinavyomilikiwa na Wanaccm kufanya Kampeni za kunadi Sera zao
Labda Mh Tundu Antipasi Lissu utujulishe una mpango wowote wa kuanzisha Channel ten ya CHADEMA?
Nimekaa pale ๐ผ
Umekaa paleee na lita ya ulanzi plus bagia za Kalenga.Hongo mwagito!Tundu Lissu tupe ahadi ukishinda Utaanzisha Chadema TV & Radio, Mbowe japo alikuwa na Disco kama Kusaga lakini ameshindwa kwa miaka 20
Sifurahishwi na utaratibu wa Mbowe na Tundu Lissu kila siku kupishana kwenye Vituo vya Tv vinavyomilikiwa na Wanaccm kufanya Kampeni za kunadi Sera zao
Labda Mh Tundu Antipasi Lissu utujulishe una mpango wowote wa kuanzisha Channel ten ya CHADEMA?
Nimekaa pale ๐ผ
Lisu anataka ruzuku ishuke mpk jimboni mambo ya kujitolea hayapo sehemu yoyote dunianiTundu Lissu tupe ahadi ukishinda Utaanzisha Chadema TV & Radio, Mbowe japo alikuwa na Disco kama Kusaga lakini ameshindwa kwa miaka 20
Sifurahishwi na utaratibu wa Mbowe na Tundu Lissu kila siku kupishana kwenye Vituo vya Tv vinavyomilikiwa na Wanaccm kufanya Kampeni za kunadi Sera zao
Labda Mh Tundu Antipasi Lissu utujulishe una mpango wowote wa kuanzisha Channel ten ya CHADEMA?
Nimekaa pale ๐ผ
Hili nalo neno haswaChama tawala hakiwezi kukubali!
Kupata licence tu itakuwa ni shida na hata ikipatikana masharti sasa!
Mwisho wake ni kufungwa na kupigwa marufuku!
Itapata usajili toka Marekani au hapa hapa Tanzania ? Ngoja tuone kama hata barua yenyewe itapokelewa na TCRA. Na je sheria zinaruhusu vyama kuwa na TV/redio ?Tundu Lissu tupe ahadi ukishinda Utaanzisha Chadema TV & Radio, Mbowe japo alikuwa na Disco kama Kusaga lakini ameshindwa kwa miaka 20
Sifurahishwi na utaratibu wa Mbowe na Tundu Lissu kila siku kupishana kwenye Vituo vya Tv vinavyomilikiwa na Wanaccm kufanya Kampeni za kunadi Sera zao
Labda Mh Tundu Antipasi Lissu utujulishe una mpango wowote wa kuanzisha Channel ten ya CHADEMA?
Nimekaa pale ๐ผ