mwanamwana
JF-Expert Member
- Aug 1, 2011
- 1,309
- 4,798
Ndio vyombo vya dola vimepanga matokeo yawe hivyo?Hawa wabunge wa viti maalum utawatoa angani? Wakati huna uwezo wa kupata hata Jimbo Moja?😏
Lusu ikungi alikozaliwa hawataki kumsikia, Jimbo litatokea wapi?Ndio vyombo vya dola vimepanga matokeo yawe hivyo?
Ni Tiss ndio wamekuja na suryey hii?Lusu ikungi alikozaliwa hawataki kumsikia, Jimbo litatokea wapi?
TISS ni nini kirefu chake?Ni Tiss ndio wamekuja na suryey hii?
Team ya Saidia Serekali.TISS ni nini kirefu chake?
🤣 Ban ilikuwa inakunyemeleaTeam ya Saidia Serekali.
Kuhusu nini boss. Hili sio jukwaa la ccm, ni jukwaaa huru.🤣 Ban ilikuwa inakunyemelea
Unauliza maswali kama msimbe halafu unajichekesha kikike🤣 Ban ilikuwa inakunyemelea
Alooh 🤣Unauliza maswali kama msimbe halafu unajichekesha kikike