Uchaguzi 2020 Lissu umati usikudanganye, wengi hawajajiandikisha

Wanaomshabikia lissu hawajajiandikisha, wanaomshabikia magufuli wamejiandikisha.


Mnawajua vipi?

ukiwa ccm unakuwa mjinga fulani
 
Swali langu tu kwa mwenye uzi. Unajuaje kuwa hawajajiandikisha? Je wale wanaokusanyika kwa wagombea wengine wamejiandikisha? Au its only apply to lissu?
Based on what research umeona hawajajiandikisha?
 
Upuuzi mtupu umati wa lissu hawajajiandikisha ila kwa jiwe wamejiandikisha au sio.
Hujasikia huko kanda ya ziwa shule zilifungwa ili watu wajaze viwanja kama kirumba. Wengi walienda kumuona MONDI baada ya show wanataka kutoka bila kumsikiliza jiwe milango ikafungwa
 
Ujinga, kwani we ndo ulikuwa ukiandikisha wapiga kura, chuja unachotaka kuleta mbele ya watu wenye akili.
 
Lowassa alipigiwa mpaka deki katika barabara aliyokatiza kule Mwanza ulipo fikra siku ya uchaguzi akabaki akishangaa.

Watanzania ni sawa sawa na “wajumbe”, wanaweza kukukarimu mpaka ukajiona unaishi mawinguni.
Usi ishi kwa kukariri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…