Uchaguzi 2020 Lissu umati usikudanganye, wengi hawajajiandikisha

Uchaguzi 2020 Lissu umati usikudanganye, wengi hawajajiandikisha

Bahati nzuri mwaka huu kuna kura nyingi sana za kimya kimya toka CCM kwenda Upinzani tofauti na kipindi cha Edward.Halafu waliosaliti kipindi cha Lowassa wamejichanganya na wasaliti wa kipindi hiki.Kura za CCM tu lazima mgawane na wapinzani bado kura za watu wengine.
Wanaccm wengi moyoni ni wapinzani ingawa wanavaa nguo za kijani kulinda mali zao binafsi na pia kuepuka kubambikiwa kesi endapo wataonekana kuunga mkono wapinzani
 
Afadhali ya Lowassa kuliko huyu, huyu ni mwepesi sana kwani siasa ni zaidi ya mbwembwe za uwakili.
Wewe ndiyo una mbwembwe za kujifariji kwa kuabudu zidumu fikra zisizo sahihi za mtukufu mwenyekiti wa CCM mpaka mpaka kujitoa fahamu kufananisha mwaka 2015 na sasa mwaka 2020, Tambueni kuwa mwaka 2020 watu wana machungu mengi wametaabika sana wameonewa mno wamebambikiwa kesi ni tofauti na kipindi cha lowasa
 
Watanzania wapo smart Sana. Lissu anadhani kufokafoka jukwaani ndio kuishinda CCM, atachemsha. Chadema ya 2020 mdebwedo kabisa,hoja zenu wananchi walio wengi hawazielewi.Ni chama kinachotaka madaraka tu ili kitekeleze agenda zao ovu. Najua mmeshashindwa, kabisa. JPM 5 tena.
Watanzania wa wapi unawasemea? Labda watanzania wa hapo gheto unapovuta Bangi na kujitoa fahamu, lakini watanzania wenye Akili timamu wanamuelewa vizuri Tundu lisu, wamechoka na udhalimu unyanyasaji uonevu wa utawala wenu, CCM bila uchakachuaji bila wizi wa kura ni weupe sana
 
Madhara ya zile nyavu kisayansi nadhani unayajua.

Hizi nchi za kiafrika zinahitaji marais wenye maamuzi magumu.
Maamuzi magumu ni kutafuna trilion 1.5 kienyeji kisha kumtoa CAG kafara kwa njia haramu za kishetani? Maamuzi magumu ni kujenga chato Airport kienyeji pasipo idhini ya bunge?
 
Watu wa sekta ya madini wataziba Pengo la kura zenu, maisha yataendelea fresh tu.

Usisahau wale wenye vyeti original waliochukua nafasi ya wale wa vyeti vya stationary, hao pia wataziba Pengo lenu wapendwa wavuvi.
Sekita ya madini bado kuna mapungufu mengi vilio ni vingi, ajila hakuna wasomi wengi hawana ajila, wavivu ni CCM wana uvivu wa kufikiri kuliko vivu zote Duniani
 
Nchi ina miaka 59 hakuna maendeleo licha ya kuwa na rasilimali nyingi kuliko mataifa mengi Duniani, pesa za viwanda pesa za maendeleo pesa za walipa kodi inatumika kuidhoofisha chadema kuua upinzani kuwabambikia kesi kufanya mambo ya hovyo yasiyo na tija kwa Taifa, kama siyo CCM mda huu Tanzania ingekuwa ni Nchi tajiri kuliko mataifa mengi Duniani na ingekuwa na kura ya veto
 
Wafuasi wa CHADEMA na Lissu wamekuwa wakipagawa na kuota kwamba, uchaguzi wa October utawapatia ushindi na kwa mara ya kwanza toka tujipatie Uhuru nchi itaongozwa na upinzani.

Hii ni kutokana na Umati ambao umekuwa ukijitokeza kwenye kampeni za ugombea urais kwa mheshimiwa Tundu Lissu. Niwaambie wafuasi wa CHADEMA endeleeni kufurahia ngojera za mgombea wenu ila Urais mtaendelea kuusikia hadi 2925.

Sababu ya kwanza ni kwamba, watanzania wengi mnaowaona kwenye mikutano, hawajajiandikisha na hata hao waliojiandikisha, kwenye uchaguzi wa mwaka huu hawataamka kwenda kupiga hiyo kura kwa vile inajulikana wazi Mjomba Magu anarudi pale Chamwino na Magogoni.

Pili, vyama vya upinzani vyote vimeshapoteza mvuto kwa wananchi na kuikubali CCM na mgombea wake, kwa yale Serikali ya CCM iliyoyafanya na yanaonekana kwa macho na hata kuyagusa kwa mkono.

Tatu, Viongozi wa vyama vya upinzani wameshapoteza imani kwa wananchi na hasa Wasomi na waelewa wa mambo,ambao miaka michache iliyopita ndiyo tulikuwa tukiunga mkono mageuzi, kwa kuona CCM ni ya watu wasiojielewa. Kupotea kwa imani hii kumetokana na viongozi wenyewe wa vyama vya upinzani kufanya kama taasisi zao, na si za wananchi. Tazama Mbowe na Chadema, Zitto na ACT, hawana tofauti na Mzee Mrema wa TLP, au NCCR ya Mbatia.Ndiyo maana Dr Slaa aliyaona haya mapema akaamua kukaa pembeni.Chadema na wafuasi wenu msijidanganye.

Watu waliojiandikisha kupiga kura Million 29 ni zaidi ya asilimia 90% ya watu wote wenye sifa ya kuwa wapiga kura yaani watu wenye miaka 18 na zaidi.

Hivyo, watu wengi sana wajiandikisha kupiga kura na watu ambao hawajajiandikisha kupiga kura ni chini ya asilimia 10 %.
 
Haiwezekani wapiga kura wawe milioni 29 halafu wengi katika umati wa TAL wawe hawajajiandikisha
 
Wafuasi wa CHADEMA na Lissu wamekuwa wakipagawa na kuota kwamba, uchaguzi wa October utawapatia ushindi na kwa mara ya kwanza toka tujipatie Uhuru nchi itaongozwa na upinzani.

Hii ni kutokana na Umati ambao umekuwa ukijitokeza kwenye kampeni za ugombea urais kwa mheshimiwa Tundu Lissu. Niwaambie wafuasi wa CHADEMA endeleeni kufurahia ngojera za mgombea wenu ila Urais mtaendelea kuusikia hadi 2925.

Sababu ya kwanza ni kwamba, watanzania wengi mnaowaona kwenye mikutano, hawajajiandikisha na hata hao waliojiandikisha, kwenye uchaguzi wa mwaka huu hawataamka kwenda kupiga hiyo kura kwa vile inajulikana wazi Mjomba Magu anarudi pale Chamwino na Magogoni.

Pili, vyama vya upinzani vyote vimeshapoteza mvuto kwa wananchi na kuikubali CCM na mgombea wake, kwa yale Serikali ya CCM iliyoyafanya na yanaonekana kwa macho na hata kuyagusa kwa mkono.

Tatu, Viongozi wa vyama vya upinzani wameshapoteza imani kwa wananchi na hasa Wasomi na waelewa wa mambo,ambao miaka michache iliyopita ndiyo tulikuwa tukiunga mkono mageuzi, kwa kuona CCM ni ya watu wasiojielewa. Kupotea kwa imani hii kumetokana na viongozi wenyewe wa vyama vya upinzani kufanya kama taasisi zao, na si za wananchi. Tazama Mbowe na Chadema, Zitto na ACT, hawana tofauti na Mzee Mrema wa TLP, au NCCR ya Mbatia.Ndiyo maana Dr Slaa aliyaona haya mapema akaamua kukaa pembeni.Chadema na wafuasi wenu msijidanganye.
Sawa, basi tulieni hivo hivo tupige kura na zihesabiwe bila kuchakachua muone kama CCM itapata asilimia 30
 
Ndiyo hawajajiandikisha lakini watamuunga mkono katika maandamano kama walivyo wachangia wakati wa Akwilina angalia hilo kwa makini
 
Wacha UPUUZI wako wewe! Huo utafiti wako kwamba hawajajiandikisha uliufanya lini na katika mikoa ipi ambayo Lissu ameshapita!?

Wafuasi wa CHADEMA na Lissu wamekuwa wakipagawa na kuota kwamba, uchaguzi wa October utawapatia ushindi na kwa mara ya kwanza toka tujipatie Uhuru nchi itaongozwa na upinzani.

Hii ni kutokana na Umati ambao umekuwa ukijitokeza kwenye kampeni za ugombea urais kwa mheshimiwa Tundu Lissu. Niwaambie wafuasi wa CHADEMA endeleeni kufurahia ngojera za mgombea wenu ila Urais mtaendelea kuusikia hadi 2925.

Sababu ya kwanza ni kwamba, watanzania wengi mnaowaona kwenye mikutano, hawajajiandikisha na hata hao waliojiandikisha, kwenye uchaguzi wa mwaka huu hawataamka kwenda kupiga hiyo kura kwa vile inajulikana wazi Mjomba Magu anarudi pale Chamwino na Magogoni.

Pili, vyama vya upinzani vyote vimeshapoteza mvuto kwa wananchi na kuikubali CCM na mgombea wake, kwa yale Serikali ya CCM iliyoyafanya na yanaonekana kwa macho na hata kuyagusa kwa mkono.

Tatu, Viongozi wa vyama vya upinzani wameshapoteza imani kwa wananchi na hasa Wasomi na waelewa wa mambo,ambao miaka michache iliyopita ndiyo tulikuwa tukiunga mkono mageuzi, kwa kuona CCM ni ya watu wasiojielewa. Kupotea kwa imani hii kumetokana na viongozi wenyewe wa vyama vya upinzani kufanya kama taasisi zao, na si za wananchi. Tazama Mbowe na Chadema, Zitto na ACT, hawana tofauti na Mzee Mrema wa TLP, au NCCR ya Mbatia.Ndiyo maana Dr Slaa aliyaona haya mapema akaamua kukaa pembeni.Chadema na wafuasi wenu msijidanganye.
 
Wafuasi wa CHADEMA na Lissu wamekuwa wakipagawa na kuota kwamba, uchaguzi wa October utawapatia ushindi na kwa mara ya kwanza toka tujipatie Uhuru nchi itaongozwa na upinzani.

Hii ni kutokana na Umati ambao umekuwa ukijitokeza kwenye kampeni za ugombea urais kwa mheshimiwa Tundu Lissu. Niwaambie wafuasi wa CHADEMA endeleeni kufurahia ngojera za mgombea wenu ila Urais mtaendelea kuusikia hadi 2925.

Sababu ya kwanza ni kwamba, watanzania wengi mnaowaona kwenye mikutano, hawajajiandikisha na hata hao waliojiandikisha, kwenye uchaguzi wa mwaka huu hawataamka kwenda kupiga hiyo kura kwa vile inajulikana wazi Mjomba Magu anarudi pale Chamwino na Magogoni.

Pili, vyama vya upinzani vyote vimeshapoteza mvuto kwa wananchi na kuikubali CCM na mgombea wake, kwa yale Serikali ya CCM iliyoyafanya na yanaonekana kwa macho na hata kuyagusa kwa mkono.

Tatu, Viongozi wa vyama vya upinzani wameshapoteza imani kwa wananchi na hasa Wasomi na waelewa wa mambo,ambao miaka michache iliyopita ndiyo tulikuwa tukiunga mkono mageuzi, kwa kuona CCM ni ya watu wasiojielewa. Kupotea kwa imani hii kumetokana na viongozi wenyewe wa vyama vya upinzani kufanya kama taasisi zao, na si za wananchi. Tazama Mbowe na Chadema, Zitto na ACT, hawana tofauti na Mzee Mrema wa TLP, au NCCR ya Mbatia.Ndiyo maana Dr Slaa aliyaona haya mapema akaamua kukaa pembeni.Chadema na wafuasi wenu msijidanganye.
Waliojiandikisha pamoja na waliokwenye mikuganonya ccm watampigia kura. Ninmashujaa wanohuduria mikutano na wafuasi wanaoogopa kujitokeza hadharani ila watampa kura. Goli la mkono linaenxa kushindwa
 
Wafuasi wa CHADEMA na Lissu wamekuwa wakipagawa na kuota kwamba, uchaguzi wa October utawapatia ushindi na kwa mara ya kwanza toka tujipatie Uhuru nchi itaongozwa na upinzani.

Hii ni kutokana na Umati ambao umekuwa ukijitokeza kwenye kampeni za ugombea urais kwa mheshimiwa Tundu Lissu. Niwaambie wafuasi wa CHADEMA endeleeni kufurahia ngojera za mgombea wenu ila Urais mtaendelea kuusikia hadi 2925.

Sababu ya kwanza ni kwamba, watanzania wengi mnaowaona kwenye mikutano, hawajajiandikisha na hata hao waliojiandikisha, kwenye uchaguzi wa mwaka huu hawataamka kwenda kupiga hiyo kura kwa vile inajulikana wazi Mjomba Magu anarudi pale Chamwino na Magogoni.

Pili, vyama vya upinzani vyote vimeshapoteza mvuto kwa wananchi na kuikubali CCM na mgombea wake, kwa yale Serikali ya CCM iliyoyafanya na yanaonekana kwa macho na hata kuyagusa kwa mkono.

Tatu, Viongozi wa vyama vya upinzani wameshapoteza imani kwa wananchi na hasa Wasomi na waelewa wa mambo,ambao miaka michache iliyopita ndiyo tulikuwa tukiunga mkono mageuzi, kwa kuona CCM ni ya watu wasiojielewa. Kupotea kwa imani hii kumetokana na viongozi wenyewe wa vyama vya upinzani kufanya kama taasisi zao, na si za wananchi. Tazama Mbowe na Chadema, Zitto na ACT, hawana tofauti na Mzee Mrema wa TLP, au NCCR ya Mbatia.Ndiyo maana Dr Slaa aliyaona haya mapema akaamua kukaa pembeni.Chadema na wafuasi wenu msijidanganye.
Nyinyi mbona mlijaza wanafunzi hatulalamiki...
 
Lowassa alipigiwa mpaka deki katika barabara aliyokatiza kule Mwanza ulipo fikra siku ya uchaguzi akabaki akishangaa.

Watanzania ni sawa sawa na “wajumbe”, wanaweza kukukarimu mpaka ukajiona unaishi mawinguni.
Lowasa mwaka 2015 aliibiwa kura usijitoe ufahamu. Dr Slaa mwaka2010 pia aliibiwa kura na JK. Mrema halikadhalika aliibiwa kura na Mkapa chini ya Mwl Nyerere mwaka 1995.
Miaka CCM iliyoshinda kihalali huku bara ni mwaka2000 na 2005 tu.
Huko Zanzibar CCM ndiyo haijawahi kushinda uchaguzi wa urais toka 1995 hadi 2015 zaidi ya kumpora Maalim Seif ushindi wake
 
Nyie umati wenu wamejiandikisha?, hizo ni hoja mufilisi. Mtaji wa mwanasiasa ni watu, kama unakiri TL ana umati mkubwa basi ujue anakubarika zaidi yenu.
 
Ahaaaa ahaaaa nimecheka kwa nguvu, kawaambie tume ya uchaguzi hiyo idadi ya wapiga kura ya kupika ya 29m+ itawatokea puani safari hii. Maana wapiga kura ni 29m, basi hakuna mtanzania yoyote mwenye miaka 18+ ambaye hajajiandikisha.
Hahahahaha, hii idadi wsmejidanganya wao
 
Wafuasi wa CHADEMA na Lissu wamekuwa wakipagawa na kuota kwamba, uchaguzi wa October utawapatia ushindi na kwa mara ya kwanza toka tujipatie Uhuru nchi itaongozwa na upinzani.

Hii ni kutokana na Umati ambao umekuwa ukijitokeza kwenye kampeni za ugombea urais kwa mheshimiwa Tundu Lissu. Niwaambie wafuasi wa CHADEMA endeleeni kufurahia ngojera za mgombea wenu ila Urais mtaendelea kuusikia hadi 2925.

Sababu ya kwanza ni kwamba, watanzania wengi mnaowaona kwenye mikutano, hawajajiandikisha na hata hao waliojiandikisha, kwenye uchaguzi wa mwaka huu hawataamka kwenda kupiga hiyo kura kwa vile inajulikana wazi Mjomba Magu anarudi pale Chamwino na Magogoni.

Pili, vyama vya upinzani vyote vimeshapoteza mvuto kwa wananchi na kuikubali CCM na mgombea wake, kwa yale Serikali ya CCM iliyoyafanya na yanaonekana kwa macho na hata kuyagusa kwa mkono.

Tatu, Viongozi wa vyama vya upinzani wameshapoteza imani kwa wananchi na hasa Wasomi na waelewa wa mambo,ambao miaka michache iliyopita ndiyo tulikuwa tukiunga mkono mageuzi, kwa kuona CCM ni ya watu wasiojielewa. Kupotea kwa imani hii kumetokana na viongozi wenyewe wa vyama vya upinzani kufanya kama taasisi zao, na si za wananchi. Tazama Mbowe na Chadema, Zitto na ACT, hawana tofauti na Mzee Mrema wa TLP, au NCCR ya Mbatia.Ndiyo maana Dr Slaa aliyaona haya mapema akaamua kukaa pembeni.Chadema na wafuasi wenu msijidanganye.
Mada ya hovyo tupilia huko.
 
Back
Top Bottom