Uchaguzi 2020 Lissu umati usikudanganye, wengi hawajajiandikisha

Uchaguzi 2020 Lissu umati usikudanganye, wengi hawajajiandikisha

Wafuasi wa CHADEMA na Lissu wamekuwa wakipagawa na kuota kwamba, uchaguzi wa October utawapatia ushindi na kwa mara ya kwanza toka tujipatie Uhuru nchi itaongozwa na upinzani.

Hii ni kutokana na Umati ambao umekuwa ukijitokeza kwenye kampeni za ugombea urais kwa mheshimiwa Tundu Lissu. Niwaambie wafuasi wa CHADEMA endeleeni kufurahia ngojera za mgombea wenu ila Urais mtaendelea kuusikia hadi 2925.

Sababu ya kwanza ni kwamba, watanzania wengi mnaowaona kwenye mikutano, hawajajiandikisha na hata hao waliojiandikisha, kwenye uchaguzi wa mwaka huu hawataamka kwenda kupiga hiyo kura kwa vile inajulikana wazi Mjomba Magu anarudi pale Chamwino na Magogoni.

Pili, vyama vya upinzani vyote vimeshapoteza mvuto kwa wananchi na kuikubali CCM na mgombea wake, kwa yale Serikali ya CCM iliyoyafanya na yanaonekana kwa macho na hata kuyagusa kwa mkono.

Tatu, Viongozi wa vyama vya upinzani wameshapoteza imani kwa wananchi na hasa Wasomi na waelewa wa mambo,ambao miaka michache iliyopita ndiyo tulikuwa tukiunga mkono mageuzi, kwa kuona CCM ni ya watu wasiojielewa. Kupotea kwa imani hii kumetokana na viongozi wenyewe wa vyama vya upinzani kufanya kama taasisi zao, na si za wananchi. Tazama Mbowe na Chadema, Zitto na ACT, hawana tofauti na Mzee Mrema wa TLP, au NCCR ya Mbatia.Ndiyo maana Dr Slaa aliyaona haya mapema akaamua kukaa pembeni.Chadema na wafuasi wenu msijidanganye.

Sawa hawajajiandikisha ila wale wanafunzi wa shule ya msingi na secondari mnaowakuanya kwa magufuli ndo wamejiandikisha.
Acha kuharisha umekula maharagwe ya wapi?
 
Wanafunzi wa darasa la pili na la tatu bila kusahau chekechea wanaohudhuria mikutano ya Sizonje Una uhakika gani kama wamejiandikisha au wewe ni mchepuko wa the late shekh yahya kwamba unaweza kutabir? Akili mbofu sura mbof.
 
Lowasa alishinda uchaguzi, kamati ya makamba akishirikiana na tume kuchakachua kura
Asingeweza kushinda kwa kuhutubia jukwaani dakika mbili tu. Huku akiwaambia watu waende kutazama sera zake kwenye tovuti ya chama!!.

Nimesimama jukwaani tangu saa nne asubuhi wewe saa kumi unakuja kuniambia nikasome sera kwenye tovuti, Lowassa hakushinda.
 
Kama umati ingekua kura basi mafuriko ya Lowassa yangempa urais. Kwa kawaida watu huwa wanajitokeza kwenye mikutano wakati mwingine kusikiliza kuna lipi jipya. Baada ya hapo kila mmoja anakwenda kuchagua kilicho moyoni. Kwa hali ilivyo, magufuli ana advantage kubwa sana ya kushinda kwa mbali sana, kwasbb kazi yake alioifanya kwa miaka 5 kila mmoja ameiona tofauti na Lissu ambae anaahidi vitu ambavyo ukivisikiliza kwa kina havitekelezeki.
Wakajenge kibanda chao cha Ufipa kwanza, kulikoni kutudanganya wataleta hili, au lile huku wakiwa hawawezi kupaka rangi hata ofisi yao.
 
Lowassa alipigiwa mpaka deki katika barabara aliyokatiza kule Mwanza ulipo fikra siku ya uchaguzi akabaki akishangaa.

Watanzania ni sawa sawa na “wajumbe”, wanaweza kukukarimu mpaka ukajiona unaishi mawinguni.
Leo nimeona mbeya nako wanapiga deki kwa ajili ya jiwe, ina maana na yeye hatapata?
 
Wale wanafunzi mnaowasomba kwa malori ya wafanyabiashara ndio wamejiandikisha?
 
Lowassa alipigiwa mpaka deki katika barabara aliyokatiza kule Mwanza ulipo fikra siku ya uchaguzi akabaki akishangaa.

Watanzania ni sawa sawa na “wajumbe”, wanaweza kukukarimu mpaka ukajiona unaishi mawinguni.

Lowasa alishinda mkampora. Tati our uchaguzi wa nchi Hii ni wa hovyo sana,maana wapinzani wanashindana na ccm na tume kwa pomoja,kamwe hawawezi kushinda
 
Lowasa alishinda mkampora. Tati our uchaguzi wa nchi Hii ni wa hovyo sana,maana wapinzani wanashindana na ccm na tume kwa pomoja,kamwe hawawezi kushinda
Lowassa hakuwa vizuri kiafya alikuwa anaongea dakika mbili tu jukwaani. Asingeweza kushinda, watanzania walimpima na kuona hakuwa tayari.

Zile kura milioni sita alizopata ni ushahidi kuwa ana nyota kali sana lakini urais hakuwa tayari kufanya shughuli nzito zilizofanywa na JPM kwa miaka hii mitano.
 
Wafuasi wa CHADEMA na Lissu wamekuwa wakipagawa na kuota kwamba, uchaguzi wa October utawapatia ushindi na kwa mara ya kwanza toka tujipatie Uhuru nchi itaongozwa na upinzani.

Hii ni kutokana na Umati ambao umekuwa ukijitokeza kwenye kampeni za ugombea urais kwa mheshimiwa Tundu Lissu. Niwaambie wafuasi wa CHADEMA endeleeni kufurahia ngojera za mgombea wenu ila Urais mtaendelea kuusikia hadi 2925.

Sababu ya kwanza ni kwamba, watanzania wengi mnaowaona kwenye mikutano, hawajajiandikisha na hata hao waliojiandikisha, kwenye uchaguzi wa mwaka huu hawataamka kwenda kupiga hiyo kura kwa vile inajulikana wazi Mjomba Magu anarudi pale Chamwino na Magogoni.

Pili, vyama vya upinzani vyote vimeshapoteza mvuto kwa wananchi na kuikubali CCM na mgombea wake, kwa yale Serikali ya CCM iliyoyafanya na yanaonekana kwa macho na hata kuyagusa kwa mkono.

Tatu, Viongozi wa vyama vya upinzani wameshapoteza imani kwa wananchi na hasa Wasomi na waelewa wa mambo,ambao miaka michache iliyopita ndiyo tulikuwa tukiunga mkono mageuzi, kwa kuona CCM ni ya watu wasiojielewa. Kupotea kwa imani hii kumetokana na viongozi wenyewe wa vyama vya upinzani kufanya kama taasisi zao, na si za wananchi. Tazama Mbowe na Chadema, Zitto na ACT, hawana tofauti na Mzee Mrema wa TLP, au NCCR ya Mbatia.Ndiyo maana Dr Slaa aliyaona haya mapema akaamua kukaa pembeni.Chadema na wafuasi wenu msijidanganye.
Nonsense
 
Wafuasi wa CHADEMA na Lissu wamekuwa wakipagawa na kuota kwamba, uchaguzi wa October utawapatia ushindi na kwa mara ya kwanza toka tujipatie Uhuru nchi itaongozwa na upinzani.

Hii ni kutokana na Umati ambao umekuwa ukijitokeza kwenye kampeni za ugombea urais kwa mheshimiwa Tundu Lissu. Niwaambie wafuasi wa CHADEMA endeleeni kufurahia ngojera za mgombea wenu ila Urais mtaendelea kuusikia hadi 2925.

Sababu ya kwanza ni kwamba, watanzania wengi mnaowaona kwenye mikutano, hawajajiandikisha na hata hao waliojiandikisha, kwenye uchaguzi wa mwaka huu hawataamka kwenda kupiga hiyo kura kwa vile inajulikana wazi Mjomba Magu anarudi pale Chamwino na Magogoni.

Pili, vyama vya upinzani vyote vimeshapoteza mvuto kwa wananchi na kuikubali CCM na mgombea wake, kwa yale Serikali ya CCM iliyoyafanya na yanaonekana kwa macho na hata kuyagusa kwa mkono.

Tatu, Viongozi wa vyama vya upinzani wameshapoteza imani kwa wananchi na hasa Wasomi na waelewa wa mambo,ambao miaka michache iliyopita ndiyo tulikuwa tukiunga mkono mageuzi, kwa kuona CCM ni ya watu wasiojielewa. Kupotea kwa imani hii kumetokana na viongozi wenyewe wa vyama vya upinzani kufanya kama taasisi zao, na si za wananchi. Tazama Mbowe na Chadema, Zitto na ACT, hawana tofauti na Mzee Mrema wa TLP, au NCCR ya Mbatia.Ndiyo maana Dr Slaa aliyaona haya mapema akaamua kukaa pembeni.Chadema na wafuasi wenu msijidanganye.

Wale wanafunzi wa shule mnaobeba kwa malori waje mkutanoni na wengine kuja kumuona diamond na kujaza uwanja je wameandikishwa???
 
Uchaguzi wa Tanzania ni kwaajili ya kuwapa burudani wanachi tu, na baadhi kutengeneza hela. Hakuna uchaguzi wa kweli. CCM itashinda urais na 80 ya wabunge? 20% wataambulia upinzani ili kuwaridhisha wazungu ili waendelee kutupa misaada. Kama usipo elewa hili na kukubali matokeo basi unatafuta kujipa presha tu.
 
Back
Top Bottom