Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Najua Kuna presha ya kipuuzi inayorushwa kwako, ohooo hata kama hamna Mabadiliko ,Ingieni tu Kwa uchaguzi.
Ohooo Kauli mbiu yako inalengo la kuleta machafuko!!.
Na Ma blaah blaah mengi.!!.
Sasa MH LISSU kataa katakata kuwapa CCM sababu za kuhalalisha uporaji wa Uchaguzi .
CCM wasikudanganye Et kwenye Wabunge na udiwani tutapambana , Sijui Urais mtauona kwenye runinga .. hizo ni maneno za watu walioshindwa.
Dunia imebadilika, Afrika , hamna Vyama vilivyoleta uhuru ambavyo Hadi Leo vinaongozwa havizidi vitano.
Hivo vyote vilivyoangushwa sio kwamba havikua na Dola, vilikua na Dola ila nyakati zikifika, zimefika
MH LISSU ,Kwa Sasa hamna tena Siasa za kucheka cheka, hayo maridhiano mlipoteza mwaka mzima mwishoni kabisaaa wakakataa.
CCM Haina Lugha yoyote unayoweza kuiongelea na wakaielewa zaidi ya Lugha ya Jino Kwa Jino.
Chama Cha Siasa lengo kuu ni kushika Nchi, Sasa huyo anayesema akupe Wabunge ila Urais uusikie redioni nadhani anataka kukugeuza uwe CCM B.
MH LISSU ni Heri uongoze chama Kwa miaka mitano bila hata Mbunge Mmoja Bungeni lakini ukiendeleza mapambano ya TUME HURU YA UCHAGUZI YENYE MABADILIKO lakini sio kuwaruhusu CCM walitumie jina lenu kimataifa kujinufaisha.
MH LISSU ,NO REFORMS ,NO ELECTION, Huu uwe misimamo wa chama usobadilika Wala kutetereka.
CCM NI DOLA NA DOLA NI CCM, Kila Mmoja wao anamlinda na kumtegemea Mwenzake.
Kuwashinda Hawa watu ni Lazima uwaingize kwenye matumizi ya nguvu kwa upinzani , ni matumizi ya nguvu pekee juu ya upinzani ndio yatakayoleta mabadiliko ya kweli.
👉MH LISSU , Unafahamika Duniani, Rais wa Marekan wa Sasa Ndio yule yule aliyemuwekea RC yule vikwazo ... MH LISSU,Tumia uhusiano wako na kukubalika kwako, kuhakikisha kwamba, nchi hiii inapigwa vikwazo vya kutosha, top officials wote wa CCM na dola, wanapigwa vikwazo kwelikweli.
Hawa watu wakishapigwa Vikwazo, na Nchi ikapigwa vikwazo, Wananchi watajielewa na watakuunga mkono hata kama ni 2028 huko !!.
CCM inawaza kusaidiwa na Urusi na Uchina, Hawa sahizi watapotea kaja TRUMP kiboko yao, ni mwendo wa vikwazo, mpaka YESU anarudi HAMNA TAIFA LITAKALOENDA KINYUME NA MAREKANI.
Ulaya sahizi wameufyata kabisaaa , ni mwendo wa kumsikiliza TRUMP TU.
Hivo ,rai yangu kwa mh lissu, kwa miaka hii mitano ya trump kua rais wa dunia, ionyeshe dunia kua upinzani Tanzania unaonewa sana, unadhulumiwa .
Ninaamini trump hatoliacha hilo, Trump alinusurika kuuwawa kwa risasi, lissu ulinusurika kuwawa kwa risasi, hilo tu linatosha kukupa thamani kubwa itakayokupa mchango mkubwa toka kwa trump/ marekani.
Usiingie kwenye uchaguzi bila mabadiliko, walazimishe watumie nguvu juu yako!!
Ohooo Kauli mbiu yako inalengo la kuleta machafuko!!.
Na Ma blaah blaah mengi.!!.
Sasa MH LISSU kataa katakata kuwapa CCM sababu za kuhalalisha uporaji wa Uchaguzi .
CCM wasikudanganye Et kwenye Wabunge na udiwani tutapambana , Sijui Urais mtauona kwenye runinga .. hizo ni maneno za watu walioshindwa.
Dunia imebadilika, Afrika , hamna Vyama vilivyoleta uhuru ambavyo Hadi Leo vinaongozwa havizidi vitano.
Hivo vyote vilivyoangushwa sio kwamba havikua na Dola, vilikua na Dola ila nyakati zikifika, zimefika
MH LISSU ,Kwa Sasa hamna tena Siasa za kucheka cheka, hayo maridhiano mlipoteza mwaka mzima mwishoni kabisaaa wakakataa.
CCM Haina Lugha yoyote unayoweza kuiongelea na wakaielewa zaidi ya Lugha ya Jino Kwa Jino.
Chama Cha Siasa lengo kuu ni kushika Nchi, Sasa huyo anayesema akupe Wabunge ila Urais uusikie redioni nadhani anataka kukugeuza uwe CCM B.
MH LISSU ni Heri uongoze chama Kwa miaka mitano bila hata Mbunge Mmoja Bungeni lakini ukiendeleza mapambano ya TUME HURU YA UCHAGUZI YENYE MABADILIKO lakini sio kuwaruhusu CCM walitumie jina lenu kimataifa kujinufaisha.
MH LISSU ,NO REFORMS ,NO ELECTION, Huu uwe misimamo wa chama usobadilika Wala kutetereka.
CCM NI DOLA NA DOLA NI CCM, Kila Mmoja wao anamlinda na kumtegemea Mwenzake.
Kuwashinda Hawa watu ni Lazima uwaingize kwenye matumizi ya nguvu kwa upinzani , ni matumizi ya nguvu pekee juu ya upinzani ndio yatakayoleta mabadiliko ya kweli.
👉MH LISSU , Unafahamika Duniani, Rais wa Marekan wa Sasa Ndio yule yule aliyemuwekea RC yule vikwazo ... MH LISSU,Tumia uhusiano wako na kukubalika kwako, kuhakikisha kwamba, nchi hiii inapigwa vikwazo vya kutosha, top officials wote wa CCM na dola, wanapigwa vikwazo kwelikweli.
Hawa watu wakishapigwa Vikwazo, na Nchi ikapigwa vikwazo, Wananchi watajielewa na watakuunga mkono hata kama ni 2028 huko !!.
CCM inawaza kusaidiwa na Urusi na Uchina, Hawa sahizi watapotea kaja TRUMP kiboko yao, ni mwendo wa vikwazo, mpaka YESU anarudi HAMNA TAIFA LITAKALOENDA KINYUME NA MAREKANI.
Ulaya sahizi wameufyata kabisaaa , ni mwendo wa kumsikiliza TRUMP TU.
Hivo ,rai yangu kwa mh lissu, kwa miaka hii mitano ya trump kua rais wa dunia, ionyeshe dunia kua upinzani Tanzania unaonewa sana, unadhulumiwa .
Ninaamini trump hatoliacha hilo, Trump alinusurika kuuwawa kwa risasi, lissu ulinusurika kuwawa kwa risasi, hilo tu linatosha kukupa thamani kubwa itakayokupa mchango mkubwa toka kwa trump/ marekani.
Usiingie kwenye uchaguzi bila mabadiliko, walazimishe watumie nguvu juu yako!!