Pre GE2025 Lissu usikubali kamwe Kuingia kwenye Uchaguzi , bila Mabadiliko ya Tume huru ya Uchaguzi, Usikubali kamwe, CCM haiaminiki Kwa Maneno tu!

Pre GE2025 Lissu usikubali kamwe Kuingia kwenye Uchaguzi , bila Mabadiliko ya Tume huru ya Uchaguzi, Usikubali kamwe, CCM haiaminiki Kwa Maneno tu!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Carlos The Jackal

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2017
Posts
25,725
Reaction score
78,589
Najua Kuna presha ya kipuuzi inayorushwa kwako, ohooo hata kama hamna Mabadiliko ,Ingieni tu Kwa uchaguzi.

Ohooo Kauli mbiu yako inalengo la kuleta machafuko!!.

Na Ma blaah blaah mengi.!!.

Sasa MH LISSU kataa katakata kuwapa CCM sababu za kuhalalisha uporaji wa Uchaguzi .

CCM wasikudanganye Et kwenye Wabunge na udiwani tutapambana , Sijui Urais mtauona kwenye runinga .. hizo ni maneno za watu walioshindwa.

Dunia imebadilika, Afrika , hamna Vyama vilivyoleta uhuru ambavyo Hadi Leo vinaongozwa havizidi vitano.

Hivo vyote vilivyoangushwa sio kwamba havikua na Dola, vilikua na Dola ila nyakati zikifika, zimefika

MH LISSU ,Kwa Sasa hamna tena Siasa za kucheka cheka, hayo maridhiano mlipoteza mwaka mzima mwishoni kabisaaa wakakataa.

CCM Haina Lugha yoyote unayoweza kuiongelea na wakaielewa zaidi ya Lugha ya Jino Kwa Jino.

Chama Cha Siasa lengo kuu ni kushika Nchi, Sasa huyo anayesema akupe Wabunge ila Urais uusikie redioni nadhani anataka kukugeuza uwe CCM B.

MH LISSU ni Heri uongoze chama Kwa miaka mitano bila hata Mbunge Mmoja Bungeni lakini ukiendeleza mapambano ya TUME HURU YA UCHAGUZI YENYE MABADILIKO lakini sio kuwaruhusu CCM walitumie jina lenu kimataifa kujinufaisha.


MH LISSU ,NO REFORMS ,NO ELECTION, Huu uwe misimamo wa chama usobadilika Wala kutetereka.

CCM NI DOLA NA DOLA NI CCM, Kila Mmoja wao anamlinda na kumtegemea Mwenzake.

Kuwashinda Hawa watu ni Lazima uwaingize kwenye matumizi ya nguvu kwa upinzani , ni matumizi ya nguvu pekee juu ya upinzani ndio yatakayoleta mabadiliko ya kweli.


👉MH LISSU , Unafahamika Duniani, Rais wa Marekan wa Sasa Ndio yule yule aliyemuwekea RC yule vikwazo ... MH LISSU,Tumia uhusiano wako na kukubalika kwako, kuhakikisha kwamba, nchi hiii inapigwa vikwazo vya kutosha, top officials wote wa CCM na dola, wanapigwa vikwazo kwelikweli.

Hawa watu wakishapigwa Vikwazo, na Nchi ikapigwa vikwazo, Wananchi watajielewa na watakuunga mkono hata kama ni 2028 huko !!.

CCM inawaza kusaidiwa na Urusi na Uchina, Hawa sahizi watapotea kaja TRUMP kiboko yao, ni mwendo wa vikwazo, mpaka YESU anarudi HAMNA TAIFA LITAKALOENDA KINYUME NA MAREKANI.

Ulaya sahizi wameufyata kabisaaa , ni mwendo wa kumsikiliza TRUMP TU.

Hivo ,rai yangu kwa mh lissu, kwa miaka hii mitano ya trump kua rais wa dunia, ionyeshe dunia kua upinzani Tanzania unaonewa sana, unadhulumiwa .

Ninaamini trump hatoliacha hilo, Trump alinusurika kuuwawa kwa risasi, lissu ulinusurika kuwawa kwa risasi, hilo tu linatosha kukupa thamani kubwa itakayokupa mchango mkubwa toka kwa trump/ marekani.

Usiingie kwenye uchaguzi bila mabadiliko, walazimishe watumie nguvu juu yako!!
 
Kwenye hilo wala usitie shaka. Ndo mana tulipimgania humu kumkapenia awe Mwenyekiti wa Chadema.

Lissu ni mtu mwenye misimamo na akili kweli. Sio mtu wa kushawishiwa kwa ulaghai au vipande vya fedha ili asaliti lengo kuu.

Nikutoe wasiwasi. Lissu yuko tayari kufa kusimamia msimamo wa chama chake.
 
Ni mjinga pekee na mpuuzi ndio anayeweza kufikiria kua Kwa CCM hii yenye Wabunge wanaotumia Hela Kila siku kusifia ,ili waonekane, Wapitishwe, Et itawatupilia mbali Wabunge wake.

Ni mjinga wa mwishooo kabisaaaaaaaa ndo anaweza kuamin hilo.

CCM hii bila Mabadiliko ya Tume ya Uchaguzi ,kamwe haiwezi kutikiswa.

Maana CCM ni DOLA , ni obviously hawawez kubali Mabadiliko Kwa njia ya mazungumzo tu na Ahadi hewa za midomoni.


LISSU KAJA WAKATI SAHIHI.
 
Maana hata kwenye uchaguzi wa mitaa tulidanganywa uchaguzi utakuwa wa R4 kilichofuata nilijuta kushiriki huo uchaguzi
 
Kwenye hilo wala usitie shaka. Ndo mana tulipimgania humu kumkapenia awe Mwenyekiti wa Chadema.

Lissu ni mtu mwenye misimamo na akili kweli. Sio mtu wa kushawishiwa kwa ulaghai au vipande vya fedha ili asaliti lengo kuu.

Nikutoe wasiwasi. Lissu yuko tayari kufa kusimamia msimamo wa chama chake.
Itakua ni Heri kabisaa.

Na Haina tofauti ya Bunge la 2020-2025.

Kama CHADEMA haikua na Mbunge na HAIKUFA.

LISSU asiingie uchaguzini na CHADEMA ITAIMARIKA.
 
Maana hata kwenye uchaguzi wa mitaa tulidanganywa uchaguzi utakuwa wa R4 kilichofuata nilijuta kushiriki huo uchaguzi
CCM wahuni yaan Mkijichanganya, Hamtaamini, alafu watasemaz Simnaona uchaguzi wameingia, umekua wa huru nahaki na bado tumewashinda.
 
Naunga mkono hoja.

No reforms, no election ndiyo move ya ukombozi mpya wa Taifa hili.

Lazima hii operesheni iwape elimu wananchi ili waudharau uchaguzi feki, na wawadharau watakaopatikana kutokana na uchaguzi huu feki ili kuandaa mazingira ya mass action huko mbeleni.
 
Ni mjinga pekee na mpuuzi ndio anayeweza kufikiria kua Kwa CCM hii yenye Wabunge wanaotumia Hela Kila siku kusifia ,ili waonekane, Wapitishwe, Et itawatupilia mbali Wabunge wake.

Ni mjinga wa mwishooo kabisaaaaaaaa ndo anaweza kuamin hilo.

CCM hii bila Mabadiliko ya Tume ya Uchaguzi ,kamwe haiwezi kutikiswa.

Maana CCM ni DOLA , ni obviously hawawez kubali Mabadiliko Kwa njia ya mazungumzo tu na Ahadi hewa za midomoni.


LISSU KAJA WAKATI SAHIHI.
Nchi hii chini ya ccm haijawahi kufanya uchaguzi wa haki hata mara moja!! Chaguzi zote zilizofanywa ni Mazingaombwe tu!! Sasa kama hivyo ndivyo hakuna sababu ya kushiriki uchaguzi kabla ya kuondoa hayo mazingaombwe!! AMA sivyo mtakwenda kuhalalisha dhuluma inayofanywa na ccm kwa wananchi.
 
Kwenye hilo wala usitie shaka. Ndo mana tulipimgania humu kumkapenia awe Mwenyekiti wa Chadema.

Lissu ni mtu mwenye misimamo na akili kweli. Sio mtu wa kushawishiwa kwa ulaghai au vipande vya fedha ili asaliti lengo kuu.

Nikutoe wasiwasi. Lissu yuko tayari kufa kusimamia msimamo wa chama chake.
Siyo tayari kufa tu ni mzimu unao tembea, chezea mzimu wewe.
 
Lissu go,Heche goo mna back up kubwa ya wananchi na somo limeanza kueleweka barabara.

Muhimu Kwa Sasa wawekeze pia kwenye social media kuelewesha wananchi wengine
 
Lissu go,Heche goo mna back up kubwa ya wananchi na somo limeanza kueleweka barabara.

Muhimu Kwa Sasa wawekeze pia kwenye social media kuelewesha wananchi wengine
Ndioo yaan Sijui kwann hawachangamki kutumia mitandao ya kijamii
 
Najua Kuna presha ya kipuuzi inayorushwa kwako, ohooo hata kama hamna Mabadiliko ,Ingieni tu Kwa uchaguzi.

Ohooo Kauli mbiu yako inalengo la kuleta machafuko!!.

Na Ma blaah blaah mengi.!!.

Sasa MH LISSU kataa katakata kuwapa CCM sababu za kuhalalisha uporaji wa Uchaguzi .

CCM wasikudanganye Et kwenye Wabunge na udiwani tutapambana , Sijui Urais mtauona kwenye runinga .. hizo ni maneno za watu walioshindwa.

Dunia imebadilika, Afrika , hamna Vyama vilivyoleta uhuru ambavyo Hadi Leo vinaongozwa havizidi vitano.

Hivo vyote vilivyoangushwa sio kwamba havikua na Dola, vilikua na Dola ila nyakati zikifika, zimefika

MH LISSU ,Kwa Sasa hamna tena Siasa za kucheka cheka, hayo maridhiano mlipoteza mwaka mzima mwishoni kabisaaa wakakataa.

CCM Haina Lugha yoyote unayoweza kuiongelea na wakaielewa zaidi ya Lugha ya Jino Kwa Jino.

Chama Cha Siasa lengo kuu ni kushika Nchi, Sasa huyo anayesema akupe Wabunge ila Urais uusikie redioni nadhani anataka kukugeuza uwe CCM B.

MH LISSU ni Heri uongoze chama Kwa miaka mitano bila hata Mbunge Mmoja Bungeni lakini ukiendeleza mapambano ya TUME HURU YA UCHAGUZI YENYE MABADILIKO lakini sio kuwaruhusu CCM walitumie jina lenu kimataifa kujinufaisha.


MH LISSU ,NO REFORMS ,NO ELECTION, Huu uwe misimamo wa chama usobadilika Wala kutetereka.

CCM NI DOLA NA DOLA NI CCM, Kila Mmoja wao anamlinda na kumtegemea Mwenzake.

Kuwashinda Hawa watu ni Lazima uwaingize kwenye matumizi ya nguvu kwa upinzani , ni matumizi ya nguvu pekee juu ya upinzani ndio yatakayoleta mabadiliko ya kweli.


👉MH LISSU , Unafahamika Duniani, Rais wa Marekan wa Sasa Ndio yule yule aliyemuwekea RC yule vikwazo ... MH LISSU,Tumia uhusiano wako na kukubalika kwako, kuhakikisha kwamba, nchi hiii inapigwa vikwazo vya kutosha, top officials wote wa CCM na dola, wanapigwa vikwazo kwelikweli.

Hawa watu wakishapigwa Vikwazo, na Nchi ikapigwa vikwazo, Wananchi watajielewa na watakuunga mkono hata kama ni 2028 huko !!.

CCM inawaza kusaidiwa na Urusi na Uchina, Hawa sahizi watapotea kaja TRUMP kiboko yao, ni mwendo wa vikwazo, mpaka YESU anarudi HAMNA TAIFA LITAKALOENDA KINYUME NA MAREKANI.

Ulaya sahizi wameufyata kabisaaa , ni mwendo wa kumsikiliza TRUMP TU.

Hivo ,rai yangu kwa mh lissu, kwa miaka hii mitano ya trump kua rais wa dunia, ionyeshe dunia kua upinzani Tanzania unaonewa sana, unadhulumiwa .

Ninaamini trump hatoliacha hilo, Trump alinusurika kuuwawa kwa risasi, lissu ulinusurika kuwawa kwa risasi, hilo tu linatosha kukupa thamani kubwa itakayokupa mchango mkubwa toka kwa trump/ marekani.

Usiingie kwenye uchaguzi bila mabadiliko, walazimishe watumie nguvu juu yako!!
 

Attachments

  • 5811771-84b12f6d5ff81d807821a183416ac2ed.mp4
    648.4 KB
Back
Top Bottom