Na Pia Ni Ukichaa na Uwenda wazimuItakuwa ni ukichaa na uwendawazimu wa hali ya juu sana kumpa mtu kama lissu kuongoza CHADEMA.Ni bora kuokota mtu jalalani anayeokota Makopo kuliko kumpa uenyekiti lissu
Hahaha hahaha namuonea huruma mwache afaidi mbege za mwisho mwisho make hataziona tena chama kinaenda Kwenye himaya ya lissu.Lucas jana hapo Machame alilewa sana hadi Kulala Chini ya migomba Sema tu Machame siyo Pwani 🐼
Atahamia Kwa Lisu kwa sababu safari yake ilianzia kwa Tulia akaenda kwa Kafulila baadaye akahamia kwa Makonda na sasa yuko Mikocheni Makao makuu 😃Hahaha hahaha namuonea huruma mwache afaidi mbege za mwisho mwisho make hataziona tena chama kinaenda Kwenye himaya ya lissu.
hata msipompa kwani ni lazima? Endeleeni na mfalme wenu mbowe asiye na mvuto wa kisiasa tenaTAL anahaki ya kugombea. Lakini nawaibia siri kwamba akina Msigwa na kikundi chake ndio walimshauri TAL aache kugombea nafasi ya umakamu na agombee nafasi ya Mwenyekiti.
Na ndio maana unakuta TAL kama anakitu kinafukuta moyoni. Kama ni kuleta mabadiliko atayaleta hata akiwa mjumbe au mwanachama wa kawaida.
Pia mabadiliko kwenye chama hayaletwi na mtu mmoja, bali kwa kushirikiana na wenzako kwa pamoja, ambao kwa sasa anawananga. Huyu pimbi labda kama ataleta mabadiliko kwa kufanya udikteta kwenye chama. Jicho la 3 linaonyesha push ya kuutaka uwenyekiti haina nia ya kukijenga chama. Nasemaje huyu hawezi pewa chama yaani hata iweje (inyeshe mvua, liwake jua hata kama ni ukame kabisa), kupewa chama Big No. Awafuate akina Msigwa rafiki zake. Mzee mwenzangu johnthebaptist unaniyelewa lakini!
hahahaaa
ni ubaya ubwela
Halafu chawa wake eti wanatuaminisha ktk chama hakuna mwenye uwezo zaidi ya mbowe
Lissu ni super giant opposition politician, ni jitu kubwa kisiasa, CCM wanaliogopa, hawalali usingizi mzuri wanaona ni jinamizi la kutisha. Wameona fursa iliyopatikana chadema kugnmbea uenyekiti wamshughulikie huko ndani ya chadema ili asipande juu na kuja kuwapelekesha mchakachaka kwenye uchaguzi mkuu ujao,Itakuwa ni ukichaa na uwendawazimu wa hali ya juu sana kumpa mtu kama lissu kuongoza CHADEMA.Ni bora kuokota mtu jalalani anayeokota Makopo kuliko kumpa uenyekiti lissu
Wewe chawa sikiliza, vyama vya siasa sio mali za watu binafsi ni mali za ummaHao wenye uwezo wakaanzishe vyama vyao, mbona Zitto aliweza na chama chake kipo vizuri hadi sasa? Lissu wiki mbili Tanzania miezi 6 Ubelgiji unaweza vipi kumkabidhi chama? Huyo huyo Lissu ni makamu mwenyekiti lakini anayoyatamka hayana tofauti na wapiga ramli chonganishi.
Simkubali Mbowe na pia binafsi sitopendelea chama kiwe chini ya mpayukaji Lissu.
msilete siasa za ccm ndani ya chademaWengi hawajajua sababu hii..
Lissu alitakiwa aenguliwe kijanja..
mkuu nawe unaijua chadema ?,Itakuwa ni ukichaa na uwendawazimu wa hali ya juu sana kumpa mtu kama lissu kuongoza CHADEMA.Ni bora kuokota mtu jalalani anayeokota Makopo kuliko kumpa uenyekiti lissu
Wewe chawa sikiliza, vyama vya siasa sio mali za watu binafsi ni mali za umma
Umesharukia kwa Mbowe sasa umeona Makonda,Kafulila na Samia wamekupotezea unajaribu bahati yako kwa Sultan Mbowe sasa lakini ogopa teknolojiaItakuwa ni ukichaa na uwendawazimu wa hali ya juu sana kumpa mtu kama lissu kuongoza CHADEMA.Ni bora kuokota mtu jalalani anayeokota Makopo kuliko kumpa uenyekiti lissu
Mnaumia sana machawa wa ccm,na mmesimama kidete kumtetea Mbowe wenuItakuwa ni ukichaa na uwendawazimu wa hali ya juu sana kumpa mtu kama lissu kuongoza CHADEMA.Ni bora kuokota mtu jalalani anayeokota Makopo kuliko kumpa uenyekiti lissu
Siku hizi hakuna cha pwani wala bara,kama aliangusha gari lazima wamemtafuna tu na lile sondo lake kama demu watamuachaje.Lucas jana hapo Machame alilewa sana hadi Kulala Chini ya migomba Sema tu Machame siyo Pwani 🐼
Ila wewe jamaa huwa mwehu sana.Lucas jana hapo Machame alilewa sana hadi Kulala Chini ya migomba Sema tu Machame siyo Pwani 🐼
😂😂aiseeLisu alivuruga biashara ya Nyalandu 2020
This time anategemewa " Dr Big Stars PhD" Vita ni Kali kweli kweli
Mbege bongo?Mbowe jiandae kufungua banda la mbege ujanja ujanja wa kutegemea ruzuku za chama ndo umefika hatima.
Ndesapesa huyo,sio mchezo.Lucy Owenya ndiye Mwenye Fedha kuliko mwanachama yoyote wa Chadema
Utajiri wa Mbowe ni Sawa na Sugu tu tofauti mmoja anauza Maua mwingine anauza maparachichi