Duu mie nashindwa kuelewana na wewe Yasin21...ila kubali kataa kuna kitu kwa mabara mengine maana ukiniambia kupanda kwa kufuzu kwenda Euro hata kwao Chile ana point za kufuzu kwenda ile Copa ya mwaka jana mbona alikua 7 na Belgium akawa 3 au wa 5 hivi...na hizo mechi za kufuzu zina point chache kulinganisha na final yenyewee...hapa kuna namna kwa Ulaya tukatae tukubali...haya muangalie Iceland tokea 131 mpk huku juu kisa yale mashindano ama vipi nae?!!Mechi za kufuzu euro haikufanya chochote!??
Kweli kabisa..Belgium?!!
Na Chile jee?!!
Kuna namna hapa sio bureee....
ingengua hizo nafas ni fedha, tungeongoza kwa kuwa na fedha nyingi
chile amecheza na timu zenye nafasi za chini kwenye viwango vya fifaDuu mie nashindwa kuelewana na wewe Yasin21...ila kubali kataa kuna kitu kwa mabara mengine maana ukiniambia kupanda kwa kufuzu kwenda Euro hata kwao Chile ana point za kufuzu kwenda ile Copa ya mwaka jana mbona alikua 7 na Belgium akawa 3 au wa 5 hivi...na hizo mechi za kufuzu zina point chache kulinganisha na final yenyewee...hapa kuna namna kwa Ulaya tukatae tukubali...haya muangalie Iceland tokea 131 mpk huku juu kisa yale mashindano ama vipi nae?!!
Mpangilio uko hivi wa FIFA
1.Argentina
2.Belgium
3.Colombia
4 Germany
5. Chile
6 Portugal
7.France
8.Spain
9.Brazil
10 Italy
11 Wales
Kwa upande wa Afrika Mashariki yaani Tanzania, Kenya, Rwanda na Uganda, nchi ya Uganda imeonekana kuongoza kwa kuwa nafasi ya 69 ikifuatiwa na Kenya 86, Rwanda 111 na Tanzania ikiwa nafasi ya 123. Hii ni list mpya ambayo imetoka leo July 14 2016,