Maukiddo
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 206
- 111
Duu mie nashindwa kuelewana na wewe Yasin21...ila kubali kataa kuna kitu kwa mabara mengine maana ukiniambia kupanda kwa kufuzu kwenda Euro hata kwao Chile ana point za kufuzu kwenda ile Copa ya mwaka jana mbona alikua 7 na Belgium akawa 3 au wa 5 hivi...na hizo mechi za kufuzu zina point chache kulinganisha na final yenyewee...hapa kuna namna kwa Ulaya tukatae tukubali...haya muangalie Iceland tokea 131 mpk huku juu kisa yale mashindano ama vipi nae?!!Mechi za kufuzu euro haikufanya chochote!??