sio hotels pekee na pia robo ya ardhi kenya nzima anamiliki kenyatta😂😂😂👇👇1. Great Rift Valley Lodge and Golf Resort
2. Kipungani Explorer
3. Mara Explorer
4. Samburu Interpids Luxury Tented Camp
5. Mara Interpids Luxury Tented Camp
6. Voyager Ziwani
7. Voyager Beach Resort
List of 7 luxurious hotels owned by Uhuru’s family [Photos]
ndio huyu uhuru 😂😂👇👇👇👇Uhuru is a black man. Meanwhile, endeleeni kufirwa na Wahindi na Waarabu.
alaf yeye fisadi anataka kuzuia ufisadi atawezea wapi😂😂😂😂😂Ni hatari sana pale mkuu wa familia anakuwa fisadi!
ni wazungu settlers wanaotumia arable land kupanda maua huku wakiwaacha wakenya kila mwaka na njaaAhaaa haaa haaa
Hata kuna siku nikawa nawaambia waKenya waliokuwa wanafurahia kilimo cha horticulture na floriculture. Nikawaambia go and lift the veil to see who are owning those horticulture companies.
hata mwenye modern coast sio mzawa wa kenya ni mtu kutoka pakistan😂😂😂😂Bora wa bongo ni wazawa, tajiri namba moja wa kenya is a mideastern sijui burnese, wekeni list ya matajiri kwenu. Nyani haoni kundule
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna JS Hotel TanzaniaOwned by Uhuru Family.
The Untold Wealth of Kenyatta Family - JamiiForumsndio huyu uhuru 😂😂👇👇👇👇
mtu mmoja anamiliki robo nzima ya nchi alaf wengine muko nairobi kwenye slums ambazo hata nguruwe hawez kuishi👇👇
View attachment 855078
aliekwambia hayo maneno nani au umeyatoa kwenye kitabu kipi???Hawa ni wa asia siyo watanzania.Watanzania ukimilki mali ni fisadi wanasema watu walime wajenge viwanda huku wanakatazwa wasiwe na hekari
Anzisha huo uzi asap, watoto wa mababu zenu wamejazana kibera, ilhali tajiri namba moja wlsio mzawa wala raia wa Kenya.Nitaweka wazawa weusi watoto wa mababu zetu, sio kama nyie nchi imemilikiwa na Waarabu ambao mababu zao walikuja na kuwatesa kwenye utumwa wa kila aina.
Bhimji Depar Shah - WikipediaWakolominje na watu wa Chato....Watanganyika wenye asili ya Kibantu wale hututambia humu kwamba waliikomboa Afrika, kumbe kwenye nchi yao hawana chochote maana Waarabu na Wahindi wamewamiliki....hehehe mtapata tabu sana nyie....hadi huruma na ndio maana wengi wenu mnaihama nchi na kuja kuwa omba omba Kenya.
Manu Chandaria - WikipediaNitaweka wazawa weusi watoto wa mababu zetu, sio kama nyie nchi imemilikiwa na Waarabu ambao mababu zao walikuja na kuwatesa kwenye utumwa wa kila aina.
Naushad Merali - WikipediaNitaweka wazawa weusi watoto wa mababu zetu, sio kama nyie nchi imemilikiwa na Waarabu ambao mababu zao walikuja na kuwatesa kwenye utumwa wa kila aina.