List of Bilioneaz in Africa. Kenya hata top 100 hakuna

Mbona Simuoni ' Gharib' ......Mzee Anatajwa tajwa Sana 'Msukule' uliotokea Simba.
Wanambania nini Sasa? Si Wamuweke hata Uuzaji Wa ' Foronya Za Magodoro'..!
 
Mbona Simuoni ' Gharib' ......Mzee Anatajwa tajwa Sana 'Msukule' uliotokea Simba.
Wanambania nini Sasa? Si Wamuweke hata Uuzaji Wa ' Foronya Za Magodoro'..!
We mkunya au msimbazi? Hapa ni kenya vs Tanzania. Sasa gsm anaingiaje?
 
Huyo mhindi naona anaendelea kuwashikisha, uzuri wa Bongo ukijua kujimix na kugharamikia mambo ya Simba/Yanga unaachiwa ujichukulie hadi uvimbiwe.
Tatizo kwenye ndani ya nchi hautakuta Mtanganyika mweusi ndani ya matajiri kumi bora, huwa mpo mpo bora maisha yaende, huwa mnatia huruma sana, wahindi, wasouth na waarabu wanachuma na kuacha mahandaki matupu.
 
πŸ˜ƒπŸ˜ƒ Ilibaki kidogo nikutag
 
Wala list za forbes zisiwatishe naamini Kenya kuna matajiri wengi wenye USD 1 bilion wengi tu, sema walio wengi hua hawapendi hizo orodha lakini wana pesa ya kutosha
 
Kwa hiyo kati ya Mo na Jiesiemu nani ana mpunga kuliko mwenzake?
 
Vilaza kwa ubora wao, jamaa wanajikaranga wenyewe πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
 
Hawaelewi GDP kubwa inakopotelea πŸ˜πŸ˜‹

View attachment 2096097
Yaani nyie ni mifukara mtu moja amewashika kende nyote, no balance, nyie wajakazi tu na mashabiki wa Yanga na Simba, mengine ni kuzuba zuba tu, yaani mpo mpo tu, watanzania weusi mko wapi? hauoni ni aibu kwa taifa πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
 
Hata nyie Wahindi ndiyo wanadhibiti uchumi wenu.

 
Tzn is the most inclusive Country,tafuta swaga nyingine Mzee wa GDP kubwa πŸ˜ƒπŸ˜ƒ
 
Huyo mweusi inajulikana chanzo cha utajiri wake, dhuluma na wizi wa baba.
 
Tzn is the most inclusive Country,tafuta swaga nyingine Mzee wa GDP kubwa πŸ˜ƒπŸ˜ƒ
Most inclusive kwa lipi? ama ni makaratasi ya CCM., yaani nyote mmewekwa ndani ya gunia la ufukara eti inclusive.., angalia maisha yenu pale Dar ilivyo.., hiyo ndio inclusive.., vijijini ufukara uko pia wazi sana.., Tanzania ni ya wakora wa CCM na wanabiashara wanao lisha wanasiasa wa CCM., nyie wengine ni vijakazi tu na wengine mpo mpo tu, la sivyo, just before covid19 lockdown world bank haingewataja kwa sentensi moja na Nigeria, DRC na Ethiopia kama nchi yenye watu wengi mifukara wa kutupwa., hiyo inclusivity iko wapi, ama nyote ni fukara on average? πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
 
πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ Tanzania shida yao itakua ni laana ya ukoo hivi, mababu walikosea mahali πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…