List of Shame: Mrema na Slaa wazungumzia Vigogo wa Ufisadi Tanzania

Mzee Mwanakijiji

Platinum Member
Joined
Mar 10, 2006
Posts
33,771
Reaction score
41,027
Hatimaye leo wapinzani wamefanya kile ambacho wamekuwa wakikitishia mara kwa mara kuwa wanawajua kwa majina vigogo wa ufisadi.Wamewataja kwa majina.

Habari zitafuatia...



LIST OF SHAME:-






Vielelezo vya Madai ya Ufisadi vya Dk. Slaa vyapelekwa kwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali



MKONO AJIBU TUHUMA ZA UFISADI.


 
Mwanakijiji kwa saa za GMT itakuwa saa ngapi hiyo? maana dunia duara hii ndugu yangu
wengine tupo mbali na ikweta
 
Ben

Ben usiseme pesa ya serikali, SEMA PESA ZA WANANCHI ,Serikali haina pesa,ingekuwa ina pesa nani angeihoji kwa matumizi yake?
 
Last edited by a moderator:
Mwanzo ilikuwa wametajwa sasa hivi wanazungumziwa

Mbona mazingaombwe yashaanza hata kabla watu hawaja kaa sawa?
 
Hakuna atakaye katwa mikono.
Kwa nini?
Kwa sababu Tanzania hatuna adhabu ya kukata mikono, Unless sentensi hiyo imebeba maana fasihi.

Haki na Sheria katika mahakama zetu zinatosha kuwabana.

Sivyo tuunde Mahakama Maalumu ya Wahujumu uchumi yenye Jopo la Majaji kutoka nchi mbali mbali zenye uzoefu wa kutia adabu Maharamia wa Kitaifa.
 
Kwenye GMT -5 Majina siyo yanazungumzwa zungumzwa... orodha itakuwa hewani.. pia tutaungana na Bw. Tundu Lissu ambaye atazungumzia mambo ya kisheria hususan suala la kuweza kumshtaki Rais aliyetoka madarakani kwa makosa aliyoyafanya akiwa madarakani ambayo ni ya kiuhalifu....
 
Ben usiseme pesa ya serikali, SEMA PESA ZA WANANCHI ,Serikali haina pesa,ingekuwa ina pesa nani angeihoji kwa matumizi yake?

Basi hela zetu na babu zetu.Kwa vyovyote vile hakuna short kati kwa njia ya demokrasia na kwa utawala unaooongozwa under rule of law ndipo tutakapwerza kufanya kama walivyofanya wazambia kwa rais wao wa zamani Chiluba,au kama Ex-president wa Philipenes Joseph Estrada

Still we can do better,tuna imani sana kwani bado Mungu hajatutupa.We have a dream
 
Yeah,hapo ndipo tutakapofaidi matunda ya demokrasia ya kweli.Lakini kama wananchi wetu wataacha kuwa wasahaulifu tu
 
Tunakuja hewani.. wenye kutaka maswali nitakuwa nacheki hapa.
 
Kama majina yametajwa na Dr. Slaa kwanini tusubiri hiyo live yenu... publish name... story zingine baadaye!
 
Majina bado tu? Tunataka kuwajua hao mafisadi


It is about high time, wa-Tanzania tukaanza kuongea siasa ya kweli, kwa kuwasema wazi hao mafisadi na waliyoyafanya,

ndio maana mimi siku hizi situmii majina ya el na en sijui, nimeamua liwalo na liwe, ni kuwataja kwa majina yao ya kweli tu, maana either we are with them mafisadi, au we are not!

na kama we are not basi dawa ni Kumkoma Nyani Giladi Let Chip Fall Where They May! Liwalo na liwe enough!
 
mkjj,

Napena kuuliza hivi,

Kumekuwa na tuhuma nying dhidi ya serikali pamoja na taasisi zake lakini serikali imeendelea kuzipuuza au kutoa ahadi zisizo kuwa na ufanisi,na pale ambapo zimejibiwa majibu yake yamekuwa sio ya kuridhisha.

Je ni hatua gani viongozi wa upinzani pamoja na wanasheria wanaweza kuzichukua ili kurekebisha hali iliyopo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…