Nikukumbushe
JF-Expert Member
- Jun 4, 2013
- 2,602
- 408
Mpaka sasa shujaa ni Dr.Slaa na hakuna hata anayefuata kwa karibu wengine wanaigiza tu
Ninamkubali sana dr slaa kila jina lake likitajwa hua ninajihisi mzalendo zaidi MUNGU AMPE MAISHA MAREFU
Labda kama definition ya shujaa imebadilika...
Yeeees I agree with you!! Dr. Slaa is hero!!!!
Hilo liko wazi Big! Nani asiyelijua hilo. Akina kangi hawa ooh nitasoma wauza madawa ya kulevya,kumbe mikwara tu.
Ukibisha kuhusu ushujaa wa Dr Slaa wewe na shetani ni kitu kimoja
Kwel kabisa
Mkuu huu ni msiba.Labda kama definition ya shujaa imebadilika...
Hivi kuna mwanasiasa muongo na mlaghai kama Dr.Slaa?Dr. Slaa ana uhakika na anachokisema. Hawezi kuongea uongo hata siku moja.
Hivi kuna mwanasiasa muongo na mlaghai kama Dr.Slaa?
Slaa ni raia mwema tu wa Tz anapewa sifa za bure hakuna la maana alichofanya kwenye nchi hii labda huko kanisani ndo anafahamika kwa uchotwaji wa fedha
Mkuu wasamehe hawa bavicha, akili zao zimeshikiliwa na Mbowe &Slaa! Wana mahaba niueeHivi kuna mwanasiasa muongo na mlaghai kama Dr.Slaa?
Kumpeleka mahakamani chizi, nawe utaonekana chiziJe,ile list of shame ni ya uongo? Kama ni uongo,mbona hamjampeleka mahakamani?