WALE WA UDOM TAARIFA NI KWAMBA, JOINING INSTRUCTION ITAPATIKANA KUPITIA WEBSITE YA CHUO CHETU YAANI The University of Dodoma, HIVYO NI VYEMA KUITEMBELEA MARA KWA MARA, PIA KUNA UTARATIBU UNAANDALIWA WA KUFIKIA CHUO MOJA KWA MOJA NA KUNA MABASI YATAWEZA KUTANGAZWA AMBAYO YATAFIKA MPAKA CHUO, PIA UKITAKA KULALA HOTEL PIA ZIPO THOUGH HOSTEL ZA KUMWAGA.
MY TAKE. KAMA NI KUANZA KUWEKA HELA KWENYE KIBUBU MUDA NDO HUU.
dah. Wamenichagua japo kwa kozi nisiyotaka, tunaoelekea kule tutambuane jamani
:A S 465:ka vp mxababishe na za mzumbe,ifm,ardhi,sua.& udiii.....!!!!!!!:israel:gdtym###
oi aje? ivi UDOM 2nachek vp kk,mbn me bd utata?
kwahyo chuo mwezi wa kumi au?
Wadogo wsijali UDOM iko poa tu kwa kozi zote ila mshindwe nyie tu. Msiache kutembelea website ya UDOM kujua nini kinaendelea. Website hiyo ni The University of Dodoma. WELCOME THE UNIVERSITY OF DODOMA ,tanzania.