List of Students Selected to Join undergraduate Programmes 2012-2013 UDOM

List of Students Selected to Join undergraduate Programmes 2012-2013 UDOM

bachelor of science in physics.lakin mm skuomba..na cjui ukisoma unakua nani"!!
 
Kuna watu wameanza kuzikataa course zao.
 
bachelor of science in physics.lakin mm skuomba..na cjui ukisoma unakua nani"!!

kaka nikupe moyo tu..nenda kasome..mimi binafsi nlichagua bsci in maths..ila kutokana na kelele za wadau(wajinga) nkaitoa dakika za mwisho and to be honest inaniuma mpaka leo...SO LONG UNAIPENDA(HATA CHEMBE MOJA TU YA UPENDO) kaisome!!
 
kwahyo chuo mwezi wa kumi au?

Nadhani kaka lakini haiwezi kua exactly yaweza kua two or one week before tutaanza kutiririka lakini kwanza ishu ya joining instruction tusaidiane kuambiana utaratibu wakuu.
 
Nadhani kaka lakini haiwezi kua exactly yaweza kua two or one week before tutaanza kutiririka lakini kwanza ishu ya joining instruction tusaidiane kuambiana utaratibu wakuu.

kweli kk atakaepata hzo instructions tush2ane
 
oyaaaa wewe uliye kimbia ccm unajiamini nini??????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????
 
Jamani ndugu zangu kila niki jaribu kudown load nashidwa mpaka sasa najaribu wapiii!nsaidien post za udom japokuwa nahisi sipo vile!!!!!!!!!!!
 
Wale wa UDOM niliweka Students By Laws mmezisoma?? Pia nimejaribu kutuma E-mails Admission office naona zinafail. Nikipata info zaidi nutashare wakuu.
 
Bwana hongereni but kwenye mkopo serikal yetu hii cjui, jamaa ambaye amechaguliwa b.a of science in physics tz kuna uhaba wa waalim wa sayans so jiandae bhana
 
dah. Wamenichagua japo kwa kozi nisiyotaka, tunaoelekea kule tutambuane jamani
 
Back
Top Bottom