Ukifika UDOM wakati wa orientation week utakutana na sentensi inasomeka ''WE DO NOT ENTERTAIN CHANGING OF YOUR DEGREE PROGRAM YOU HAVE BEEN SELECTED''
una maana udom hawakubali mtu ku change degree au ni vipi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukifika UDOM wakati wa orientation week utakutana na sentensi inasomeka ''WE DO NOT ENTERTAIN CHANGING OF YOUR DEGREE PROGRAM YOU HAVE BEEN SELECTED''
una maana udom hawakubali mtu ku change degree au ni vipi?
Nipo mkuu, nawait ardhi ..
LORDVILLE vp mkuu bado uko kifungoni? mpigamsuli anaenda zake MUCCoBS, Me NingaR, king roja tutakua mji mkuu. Kuna wadau kama ze duduz hata jamvini simuoni ha ha ha ha ha.
king rockie ATL kumbe nawe bdo ha ha ha hah
Thanks Mkuu!! mbona ambao hawajapata bado wapo kama vile Ze duduz na mpigamsuli
ndivyo ilivyo unless wabadilike
Mpaka sasa tuko wa3 me NingaR na wewe kuna mwingine ila nimemsahau.
kwan hukuchagua sua??? naipa nafas sana sua japo linaweza tokea lolote nkajikuta ardhi!!
mhhhhhh kwa hiyo nimebak mwenye tu!!! au kuna mwingine ambaye hajapata??? mhhh...ila hongera mkuu!!!
Dah nimeisahau ila ya biashara ngoja atakuja kuweka mambo sawa.
sasa undhani mimi director au public relation officer wa vyuo hivyo???? wewe jipange usi quote reply za watu bila msingi bora u reply kwa kawaida tukama ziko vyuon hawa wengine kama sua,mzumbe ifm wanangoja nini bhana ahahghghghhghghhghhg