List of Students Selected to Join undergraduate Programmes 2012-2013 UDOM

List of Students Selected to Join undergraduate Programmes 2012-2013 UDOM

Ukifika UDOM wakati wa orientation week utakutana na sentensi inasomeka ''WE DO NOT ENTERTAIN CHANGING OF YOUR DEGREE PROGRAM YOU HAVE BEEN SELECTED''

una maana udom hawakubali mtu ku change degree au ni vipi?
 
king rockie ATL kumbe nawe bdo ha ha ha hah
 
poa tu nitakamua iyo iyo hakuna kuremba, wa Udom tuje tutafutane si wengine wa visiwani wageni huko?

Mpaka sasa tuko wa3 me NingaR na wewe kuna mwingine ila nimemsahau.
 
Jamani wadau mnaojifanya kuwa nyie ndo tcu acheni hivo, watu wana mchecheto na kujua wamepangiwa wapi mnachokifanya sio sahihi
 
Jamani wadau mnaojifanya kuwa nyie ndo tcu acheni hivo, watu wana mchecheto na kujua wamepangiwa wapi mnachokifanya sio sahihi

Dah kweli dunia haina zuri yaani nimeweka na link but still unaniona mpuuzi. Dah
 
mhhhhhh kwa hiyo nimebak mwenye tu!!! au kuna mwingine ambaye hajapata??? mhhh...ila hongera mkuu!!!

mkuu !! Tuko wote mi najua nishamezwa na SUA but hawa jamaa wameniudhi kwelikweli yaani vyuo vingne washatoa wenyewe wanakuwa wababaishaji
 
Dah nimeisahau ila ya biashara ngoja atakuja kuweka mambo sawa.

daah mkubwa naona uko na furaha kwelikwel ila angalia usije uka change ukawa ngamia c'unajua tena kule ni jangwani afu mkuu umeenda kozi gani?
<<<Ze duduz>>>
 
kama ziko vyuon hawa wengine kama sua,mzumbe ifm wanangoja nini bhana ahahghghghhghghhghhg
sasa undhani mimi director au public relation officer wa vyuo hivyo???? wewe jipange usi quote reply za watu bila msingi bora u reply kwa kawaida tu
 
Back
Top Bottom